CHADEMA sasa chali

CHADEMA sasa chali

Ni kweli, watu wameichoka Chadema, oops! wameichoka CCM!
ccm%2Bkadi.jpg




Pix-1.1.jpg


tundu1.jpg


12019805_624280861046742_2180612672763689748_n.jpg


CPqcAu2WgAAYld_.jpg


kadi-za-ccm-mikononi-mwa-cuf1.jpg



18387_756331937811116_7463478862746658554_n.png


Untitled.jpg




 
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
Chadema wamekusanya zaidi ya hizo ni shida mtaisoma numba tarehe 25
 
Hata kichaa anaelewa kinacho endelea hapa Tanzania,huu uzi hupati hata jero.ccm bye bye!
 
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
Hiyo mikitano haikuzidi watu 2000, hao 3500 walitoka wapi?

Afu kwanini idadi mwisho ni 00?!
 
😂😂😂😂😂😂
 
Mtoa mada acha kudanganya watu ,ccm mwaka huu mna kazi kubwa lowasa shujaaa anakubalika tanzania nzima
 
CCM ushindi ni asubuh sana hawa UKAWA wataisoma plate number
 
Chadema wapoteana kweli, huku mtaani kwetu hawataki kusikia neno chadema.

Kama Magufuli mwenyewe tu anataka mabadiliko itakuwa mtaani kwenu! Kuna video itafute ya mzee wenu anaonyesha ishara ya mabadiliko inayotumiwa na UKAWA
 
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
 
Utakufa wewe na ukoo wako wa panya lakini jina chadema litakuwepo


swissme
 
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.

Kuna kitu huwa munakisahau nyie wenye mahaba niuwe wa CCM, kwamba CHADEMA ni zaidi ya wanachama. Wengi wanaounga mkono CHADEMA ni watu ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa, na hao ndo wengi kwa nchi yetu na ndio watakaoleta mabadiliko.
 
Back
Top Bottom