Chadema wapoteana
Chadema wamekusanya zaidi ya hizo ni shida mtaisoma numba tarehe 25Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
Hiyo mikitano haikuzidi watu 2000, hao 3500 walitoka wapi?Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
Chadema wapoteana kweli, huku mtaani kwetu hawataki kusikia neno chadema.
Chadema wapoteana kweli, huku mtaani kwetu hawataki kusikia neno chadema.
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
wewe ni mwalimu mzuri unafundisha kwa kutumia zana halisini kweli, watu wameichoka chadema, oops! Wameichoka ccm!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()