wamebaki walioajiliwa humu Jamiiforums kulitetea hili fisadi
Chadema bye bye
Ukweli jamni huku iringa chadema ikipita basi mungu yupo upande wao ila kiuhalisia watu hawataki kusikia neno chadema
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
mtaani kwenu sema wapi huko ambapo hawataki mabadiliko? sema sasa mbona unagopa?. mtu muongo bana
unalipwa shilingi gap???bora kulitetea lifisad limoja lililotubu kuliko ambaya yamebaki kwenye chama chenu! wapi chenge na tibaijuka!
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.