Chagadema bye bye
Kweli nimesahau kuwa wewe ni jingalao, yaani jinga la CCM!Bado wanaweweseka na kipigo cha Arusha
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
Akili ya gamba ni bora ya mjusi.hawa tuambie in mtaa gan huo au mtaa wa saba?
unapajua musoma? Manake inaonekana umekodishwa na uknunuliwa hicho kisimu cha mchina ndo unasumbua watu subiri mb zikate. Mwambieni jk avunje baraza la mawaziri aone moto wake wapo mawaziri kibao wanasubiri goma liishe watorokee kwa kipenzi cha watanzania.lowasaaaaaaakuna kila dalili za chadema kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia ccm chukulia mfano ile ya nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, mtwara 1900, geita zaidi ya 3000 nk.