Chadema sasa chakomaa kisiasa- Arumeru Mashariki!!

ili ni jikwaa la wasomi...wote 2po uku kwa maendeleo ya taifa le2 changa lisio na dira...sio sehemu ya kuleta ushoga wa habar za danganya toto..kajpange tena..ccm mwachie bb yko
 
Hii mbinu chafu ya CCM haikubaliki kabisa. Mnadanganya ili 2kubali kutulia mtakapoiba kura e. Ibeni kura muone 2takavyowadoo.ushindi wa CDM ni ushindi ulioalalishwa na mungu mwenyewe so hamuwezi kuupinga.
 
jamaa aliye changia kuwa wapenzi wa chadema wanatoa ushuzi, naomba huwo ushuzi umnukie mpaka aitapike ccm
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.
Unaota ndoto za mchana, ua hiyo ni mipangilio ya wakubwa zako CCM!!!! Nakwambia Arumeru sio Igunga mahindi ya msaada hawayataki, kuchomoa ni ndoto hamtoki hapa!!!!!

 
Kwa nini watu wengine mnapenda kujidhalilisha kiasi hiki? who is going to buy this craaap!! Hiyo inaweza kutokea kwa CCM, kwa kuwa ndiyo mambo mliyozoea kuyafanya kusema uwongo, hata Rais wa nchi anadiriki kusimama hadharani kudanganya, mawaziri wasema uwongo, wabunge waongo, mpaka ww sijui mshika bendera nawe mwongo tu. Inasikitisha tumekuwa Taifa ambalo kwa sasa kuamini habari yoyote unayoisikia au kuisoma kwenye chombo cha habari ni utashi wako tu. Sijui tunaenda wapi.

utazeeka vibaya ndugu,umeanza umbeya mapema.
 
Hapa tu ndipo ninapo waonaga CDM kuanzia viongozi wao, wanachama wao na wapenzi wao kuwa hamnazo na wakishikwa pabaya hutoa u>s>h>u>z>i tu humu ndani


mnatamani tunvue mzinzi mwingine ijabu ili mpate la kusema... Mzinzi wenu kasemwa analala na waume wanne sijui ndivo mlivomtuma kutambika ili mshinde..maana hata igunga alikua anazini hovyo hovyo ili mshinde..
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

what is the source for this nonesense? Na lengo lako n nini haswa? Umepewa bei gani kupost hiyo habari yako?
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

Shauku yangu kubwa ni kumuona tu huyu jamaa. Yani angekuwa mti huyu angekuwa mpapai, haufai hata kwa mbao.
 
Bahati mbaya umeingia kwenye mtamdao wa watu wenye fikra makini ambao hawawezi kuyumbushwa na upuuzi wako huo! Umetumwa au umerogwa! Tunajadili mambo ya msingi humu si umbeaumbea wako.

 
Hahahaaaa, nahisi unatamani iwe hivyo lakini haitakaaa iwe! We are not cowards as you think... Hatujawahi kushindwa!!!
 
Bahati mbaya umeingia kwenye mtamdao wa watu wenye fikra makini ambao hawawezi kuyumbushwa na upuuzi wako huo! Umetumwa au umerogwa! Tunajadili mambo ya msingi humu si umbeaumbea wako.


WanaJF,
Simkatazi anayetaka kupoteza muda wake kusoma upuuzi huu aeendelee kuusoma na kuchangia. Hivi inaingia akilini Tathmini kufanyika "eneo la wazi". Kwa wanaofahamu USA River eneo lenyewe ni Rose Valley Guest House wala sijui inahusikaje afadhali hata angelitaje Ngome ya Chadema kwa kuwa si siri. Kimsingi nawaondolea hofu wanachama na wapenzi wetu. CCM ina kazi kweli hawajawahi kuona. Tangu tumegundua hila ya kuanzisha vituo hewa 55 hawana hamu tena. Leo tumeitaka polisi irudishe mara moja shahada 650 wanazoshikilia za watu waliodhamini ndugu zao zirejeshwe kwa wenyewe. Tunafanya kazi kisayansi si propaganda.
 
Hahahaaaa, nahisi unatamani iwe hivyo lakini haitakaaa iwe! We are not cowards as you think... Hatujawahi kushindwa!!!
 
Mi nadhani mtoa mada yupo sahihi, maana anajua kabisa CCM wamejipanga vipi kuiba na wananchi hawata uvumilia wizi wao wakati huu. Anaitoa in advance ili ikitokea wasema kweli CDM walikaa, amesahau kuwa CDM wanaongea point za maana with evidence na sio ***** wanaouwaza na kuuandika wao bila evidence.
 
nadhan hujamuelewa mtoa mada, kuna kitu anakimaanisha apa, hii naona ni vice versa be careful before kubisha

Kumsikiliza mtu kama huyu ni sawa na kumsikiliza mwendawazimu anayetangaza taarifa zisizo na kichwa wala miguu barabarani. Tumechoshwa na maneno yasiyo na fikra pevu, jaribuni kuwa binadamu kamili japo kwa muda mfupi. Inakuwa kama mtu usiye na familia kuanza kuandika na kushabikia upuuzi katika dunia ya sasa ya sayansi na teknolojia iliyopea, haijalishi hata kama mtu unaelimu ndogo au hujaelimika kabisa kwani kuona ni kuamini na si vinginevyo. Acheni kuleta hoja za kitoto katika jukwaa hili lenye kutukuka kwa umahiri wa uchambuzi na utoaji taarifa za kina.
 
Back
Top Bottom