Unaota ndoto za mchana, ua hiyo ni mipangilio ya wakubwa zako CCM!!!! Nakwambia Arumeru sio Igunga mahindi ya msaada hawayataki, kuchomoa ni ndoto hamtoki hapa!!!!!Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.
Kwa nini watu wengine mnapenda kujidhalilisha kiasi hiki? who is going to buy this craaap!! Hiyo inaweza kutokea kwa CCM, kwa kuwa ndiyo mambo mliyozoea kuyafanya kusema uwongo, hata Rais wa nchi anadiriki kusimama hadharani kudanganya, mawaziri wasema uwongo, wabunge waongo, mpaka ww sijui mshika bendera nawe mwongo tu. Inasikitisha tumekuwa Taifa ambalo kwa sasa kuamini habari yoyote unayoisikia au kuisoma kwenye chombo cha habari ni utashi wako tu. Sijui tunaenda wapi.
Hapa tu ndipo ninapo waonaga CDM kuanzia viongozi wao, wanachama wao na wapenzi wao kuwa hamnazo na wakishikwa pabaya hutoa u>s>h>u>z>i tu humu ndani
Dawa ya kubwa jinga kama hili ni kuli-ignore.
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.
Bahati mbaya umeingia kwenye mtamdao wa watu wenye fikra makini ambao hawawezi kuyumbushwa na upuuzi wako huo! Umetumwa au umerogwa! Tunajadili mambo ya msingi humu si umbeaumbea wako.
nadhan hujamuelewa mtoa mada, kuna kitu anakimaanisha apa, hii naona ni vice versa be careful before kubisha