Chadema sasa chakomaa kisiasa- Arumeru Mashariki!!

Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

Ungekuwa karibu ningekuzaba vibao, maana hata uongo hujui kusema mara amekomaa kisiasa, mara aandae makundi ya vurugu, unataka kuwaaminisha nini wasomaji wa thread yako? Anayewatuma mwambieni awapeleke shule kwanza walau mjue hizi propaganda vizuri. No consistency na unachokiandika. Go to hell with your ccm
 
boooooooooo idiot siasa za maji taka pelekeni hukohuko kwa mashetani wenzako
 
Hata kama ni kutunga uongo,this is too much,CDM sehemu wanayo fanyia tathmini ni palepale kambini kwao Elephant Logde na kukikucha wanaendeleza Kampeni mpaka saa 12,we mtoa mada ni
Muongo
Mbea
Mshakunaku
Mnafiki
Gamba
Mwizi
Huwezi kuandika uongo hapa jamvini tukuangalie tu...
Ukiendelea hivyo,shauri yako.Andika thread yenye mambo yenye ukweli na watu wachangie...
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

Kaka sijui ni dada, upo kazini tumekubali maana sifa kubwa ya kuwa kiongozi wa ccm na serikali yake ni kuwa muongo, ukiwa ccm na ukawa mkweli hapo hapa kufai tembea mapema, so mkuwa tulia hapo hapo ccm b/se tayari unazo sifa wanazo zitaka.
 
:crazy: Yah man! They come cheap nowadays! We have just have to ask him(her) how much has been paid to him to spread those nonstarter smear campaigns in this area. Hapa humpati mtu! Wote wamekiona kitabu na wanajua kuliko wewe. Nenda Arumeru kajaribu kama utasikilizwa na kama utarudi in one piece. Hongera kwa kujaribu. Wewe kula mlungula wako uishie.
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.



Mini Market ipi ilioko karibu na Rose View? Au rose view ipi? Barabara ya Kwenda Jua Kali (Au dik dik usemavyo) wapi?
Hii habari umetungiwa na wenzio walioko pale Getaway Lodge na Bar Kwa Tango, na kwa uvivu wao wao wa kufikiri na Kutunga ndio wakabuni buni tu mazingira walioko.
Vuka lami shuka chini Elephant Bar ndio uulize lolote kuhusu CDM na viongozi wake kiume, sio unatungiwa tungiwa tu story na kuzileta hapa. Ulizoea kutudanganya lakini round hii imekula kwako, niko kwa ardhi ya kwetu niko hapa Meru naona kila kitu.


Waulize hao walokuhadithia hili, mbona hawakukuadithia kile kikao chao na wachungaji pale Getaway? Umeambiwa kuhusu zile elfu ishirini shirini walizopewa wachungaji?

Next time bora ukae kimya.
 
mkuu kweli kwa magamba hali imekuwa ngumu hata ubunifu kidogo umeshindwa umecopy na kupesti.
 
Naongea km mmeru na mpiga kura pure kutoka Mchai, yan km ccm mnajpenda jarbun kuchukua hl jmbo kwa wiz na nguvu km mlvyozoea! Hak ya nani, sjui huyo sioi wenu atawaöngoza akna nani! Kwanza ccm mme2tusi, ha2itak ccm yenu mbona hamna hamskii...? Kwel nyie n hamnazo! Vilaza tupu, si msome alama za nyakati??
 
mods basi jamani wekeni kitufe cha dislike itasaidia sana halafu mnaweka hapo pembeni idadi ya dislike mtu alizopata.
 
Mar 27







Mar 26

Taswira Za Mkutano Wa CCM Maji ya Chai Arumeru Mashariki



Written by haki | // 0 comments

vc3.jpg
Mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari
Mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akiomba kura kwa wananchi waliofurika kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Maji ya Chai jimboni humo, jana. eneo hilo linadaiwa kuwa ndiyo ngome ya CHADEMA.

6.+Lusinde+akiwachana+CHADEMA+kwenye+ngome+inayodaiwa+yao+Maji+ya+Chai.jpg

Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde 'akiwachana' CHADEMA kwenye mkutano uliofanyika Maji ya Chai ambako inasemekana ni ngome ya chama hicho
4.+Khadika+Kopa+akitumbuiza+na+TOT+kwenye+mkutano+wa+Maji+ya+Chai.jpg

Mwimbaji wa Kundi la Tanzania One Theatre (TOT) Khadija Kopa akihamasisha kwa wimbo wakati wa mkutano huo Maji ya Chai
2.+Mwigulu+akimnadi+Sioi+Maji+ya+Chai+ambako+inadaiwa+kuwa+ngome+ya+Chadema.jpg

Mratibu wa kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba akimnadi Sioi Sumari kwenye mkutano huo.
3.+Mashabiki+wa+CCM,+wakishangilia+wakati+wa+mkutano+Maji+ya+Chai.jpg

Wafuasi wa CCM wakishangilia wakati wa mkutano huo
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

Unajua kuweweseka ni ugonjwa wa akili?
 
Babu yako Wasira alikuwa amelala bungeni kuzinduka tuu akapiga benchi..naunga mkono Hoja...kumbe hata kilichokuwa kikijadiliwa hakukijua nini..Na wewe huelezi unafanya nini kwa huu mtandao zaidi ya ufisadi wa mawazo kama magamba wenzio
 
Wewe ndiyo muasisi wa waraka feki unaotumiwa na vilaza wenzio.Ni mwendo wa mchakachaka tu.mpe salamu sioi

Sioni cha kujibizana na huyu mpuuzi anayejiita T2015CCM maana nafikiri hata Arumeru hajafika na kama amefika basi amefika kwenye nyumba ya Sioy sumari ndipo akakutana na huo upuuzi wa propaganda za ccm:kev::kev::kev::kev: Maneno mbofumbofu!! aka *****
 
huyu jamaa ni pumbafu sana.mpelekee salamu muuwaji na mla panya mkapa kwamba ile raana uliyoianzisha inaimaliza ccm.kaoge kwanzaq ndo uje.
 
Back
Top Bottom