Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Tunashukuru kwa taarifa nzuri hizi kitambiheshima, tunaomba uzidi kufuatilia utupe taarifa kamili.
Kama inawezekana naomba ni-PM no ya sim ya Fuime
mkuu 6gates unaona jinsi watanzania walivyo majuzi wa siasa feki za ubabe za slaa na mbowe kuminya demokrasia.fuime anajitambua mungu ampe life agombee 2015
Mbowe na Slaa wamejitia kitanzi wenyewe kwa uchu na tamaa isiyo na mfano.
Kuna kila uwezekano kuwa Mbowe anaogopa kuwachia uenyekiti mpaka ampate ataeficha siri zake za ubadhirifu, kwani waraka unasemaa yeye ndio "purchaser" na yeye ndio "supplier".
Hapo sasa.
Chadema:whoo:Chadema
Zitto atawapasua sana wanajifanya vichwa ngumu bado safari inaendelea tutaona mengi.
Mkuu sijui kama ataweza kumuoa huyu anayeonyesha maungo yake kwenye avatar lakini wakina CHAMVIGA Songoro na wengine wanamuona kitambiheshima ni muislam safiNa tushamtosa tayari...kama vp mkaribishe kwako akuoe kabisa..
Hakuna mgogoro hapo, kuna mambo ya msingi ya kujadili, kwa mfano tanesco kimenuka mgawo wa umeme mpaka mortuary lakini wabongo tupo busy na chadema
Acha kuwehuka kaka! unafikiri utamaliza mgao wa umeme kwa mjadala ndani ya JF?!
Wewe ndiyo hujawehuka kwasababu mgogoro wa chadema unaweza kumaliza kwa mjadala ndani ya JF
hapa noma! Huyu fuime namfahamu sana, mpiganaji wa kweli, mara nyingi pickup yahe hujaza spika na kutangaza mikutano ya chadema hd vijijini. Mbongoro ni yupi mhusika kati mgombea mzoefu na huyu aitwaye mdogo(mc)? Cha msingi washauriwe kuwa watulivu hd utetezi uwasilishwe! Vinginevyo mtasikia tu "nchimbi weeee, ahaaaaa x 2, chukua jimbo"
Khaa!! uwe unasoma heading kwanza ndiyo unapost. Siyo unakurupuka tu na maneno yako ya kukrem. Kieleweke nini?? tutafika wapi?? tuamke kwa lipi?? :A S 39:Jifurahisheni tuu ila hapa hatuchoki hadi kieleweke
tatizo kubwa watz wengi hawajielewi wala kujitambua
Ni kwa nini usijiulize wazungu waliwezaje na adi sasa wameweza kupata huduma zote
Ni kwa nini wazungu wanaishi maisha mazuri na haki sawa kwa wote why not us?
hii yote ni kwa sababu ya maccm imeakikisa elimu wanayoipata watz ni ya kukremu tuu
Sio elimu yakumwezesha mtanzania kujielewa, kujitambua na ata kufikiri anapopata na tatizo
Huwa mara nyingi watz tuna kurupuka bila kujua nini hatima yake
Ukiona hata majirani wameanza kushtuka ujue wameshatuelewa
Embu nenda ata masokoni uone watz wasivyojua kuhoji au kuuliza haki zao
Utakuta wafanyabiashara wanalipa kodi tena kubwa kila mwezi ila soko ni cafu ajabu
hakuna ata mahali pa kukaa mvua ikinyesa
Wafanyabiasara hawa hawa wanashindwa kujielewa na kuhoji kulikoni kodi zetu kila mwezi
Tutafika tuu na Mungu zaidi
Watz wenangu tuamke
"kuwachia"=kuachia. "ataeficha"=atakaeficha.