OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
Ni lini CHADEMA wametangaza kumuunga mkono Odinga au Kenyata au CCM wametangaza lini mbona mnapenda kuzusha mambo na kujiingiza kwenye siasa za watu.....mambo ya kenya waachieni wakenya wenyewe mara huyu hivi yule vilee Watanzania bana ya kwenu yamewashinda mnaanza umbea
........
CCM walitangaza kumuunga Raila mkono kupitia kwa Magufuli kitu ambacho Wenje alipinga sana akisema kama Tanzania ina side na Raila, uhusiano wetu na Kenya utakuwaje pindi akishinda mtu mwingine zaidi ya Raila.
Ssasa ni lini tena Chadema walimuunga mkono Raila mtu ambaye walipinga alipoungwa mkono na Magufuli?