Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
kweli dont take politics too emotional na wala dont be guaranteed with politics.chadema wameonesha mfano sana wa unafiki wa siasa na uroho na maslai
Neno la kuzingatiwa.
kweli dont take politics too emotional na wala dont be guaranteed with politics.chadema wameonesha mfano sana wa unafiki wa siasa na uroho na maslai
Kwa vile LOWASA ANA HELA NA ANAUWEZO WAK0FLIRT HATA NA MKE WA MBOWE. Na mbowe is CHAGA, AS MONEY IS EVRYTHN..! Anaweza uza hata ukoo mzima. JUST 4 MONEY.
Miaka kadhaa iliyopita tuliambiwa msamiati mpya wa GAMBA. Hakika, kwa tafsir ya neno hlo, tuliamini kwamba ccm ni chama cha magamba, majambazi, chukua chako mapema. Kauli hzo zlitokana na mambo ya ufisadi ya viongoz wa ccm.
CCM wamevua gamba dodoma kwa kumkata lowassa. CHADEMA wamelivaa kwa mbwembwe.
Heko ccm na pole cdm
Hukumsikia Mbowe jana? CCM hata "ukiingia malaika unatoka Ibilisi", sasa Lowasa ni nani? katokea wapi? daktari wa kanoni Padri Dr.W.Slaa nae katokea wapi?
Nimeona nichukue fursa hii kutoa yangu ya mayoni ambayo yamekuwa yakinikereketa sana tangu hizi fununu za kumkaribisha waliyekuwa wakimuita mwizi,fisadi na mla rushwa mkubwa aliyeisababishia nchi yetu hasara ya mabilioni ya shilingi bwana Edward lowasa.
Ni nani leo hii atakaye simama jukwaani na kuoshea vidole tena wala rushwa na mafisadi tukamuamini,au mtu anakuwa mwizi na fisadi kwasababu yuko chama kingine,leo hii nimeamini hakuna mzalendo kutoka chadema ambaye anasema kweli anataka kuliokoa hili taifa.
Nilimsikiliza sana bwana mbowe na hotuba yake ya kisiasa kama yeye alivyosema anaishi kisiasa kweli siasa si uzalendo.
Yaani kisa umaarufu wa Lowassa basi mmekubali kukidharirisha chama na kuonesha ukweli wa mioyo yenu kumbe mlikuwa mnawaadaa wanatazania na kelele zenu za majukwaani.
Kwani si ninyi mliomshambulia lowasa na kuipongeza serikali ya CCM kwa kumuajibisha Loawasa na mkaipongeza kamati ya mwakyembe tena mkiendelea kushinikiza apelekwe mahakamani.
Iko wapi aibu yenu leo hii yale mliyoyatapika mumegeuza kuwa mlo wenu mtakatifu.
hakika nawapongeza sana CCm kwa kuona nchi haiwezi kuongozwa na mwizi,mla rushwa na fisadi,mkamkata na matokeo yake tumeona sera za CHADEMA ni kukumbatia watu wa namna hii.
Hapa hiki chama hakijapata kushika dola wanakumbatia mafisadi namna hii je kikipata si tutapelekwa kuwa watumwa.
mwenye macho na aone na mwenye masikio asikie haya maneno pure man anamwaambia ninyi watazania.
Mimi nimefurahi sana kupita kiasi. Amini hilo.
Nimethibitshiwa maneno na kauli zangu za kila siku humu JF kuwa Mbowe ni fisadi namba moja.
Na hiy iliyokuwa bla bla ya Mbowe na Slaa ya ufisadi ni lelemama tu.
CCM Sasa hivi ndio Chama kisafi na chadema ni Chama cha mafisadi.