Chadema nini msimamo wenu kwenye suala la kukopa?

Chadema nini msimamo wenu kwenye suala la kukopa?

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
478
Reaction score
1,025
JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.

Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.

Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
Screenshot_20230107_101053_com.instagram.android.jpg
 
JPM alipunguza utegemezi wa mikopo??
JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope. Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM. Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
 
Mwl NYERERE said: Serikali dhalimu duniani kote hazikusanyi Kodi Kwa matajiri,

Hukimbizana na wachuuzi wa mabarabarani Kila kukicha.

Magu alishughulika na matajiri waliomiliki Uchumi Kwa kukwepa KODI.

Nakumbuka Kuna muda Vituo vya mafuta matajiri waliungana Ili kugomea EFD, alimwambia wazifunge, BAADAYE wakaufyata.

Abarikiwe huko aliko.
 
JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.

Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.

Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740
Mkuu acha uongo, wapinzani walipinga mikopo enzi za JPM Hadi wakasema deni la taifa litakua mzigo. Nakumbuka ndio Dr Mpango akaja na kauli maarufu kuwa deni ni Himilivu. In fact Zitto akadai kwamba JPM amekopa kuliko awamu zote. Mind you JPM alidai kwamba tunajenga miradi kwa pesa za ndani wakati haikua kweli na baadae wakakiri ni mikopo nafuu ya world bank na IMF!!


Kwa hiyo sio kweli unachosema hapa, wapinzani HAWAKUWAHI support kukopa kama suluhu ya shida zetu ila kwenye ilani walisema suluhu ni kupunguza matumizi yasiyo ya lazima Ili bajeti iweze kujitosheleza. Mfano hakuna haja ya kuwa na bunge kubwa vile, wakasema watafuta vyeo kma DC, kupunguza Baraza la mawaziri n.k.
 
JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.

Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.

Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740
Kukopa ni kizuri sana kiuchumi. Hebu watanzania msome basi muache ujinga. Soma advantages of debt finance over equity finance
 
Mwl NYERERE said: Serikali dhalimu duniani kote hazikusanyi Kodi Kwa matajiri,

Hukimbizana na wachuuzi wa mabarabarani Kila kukicha.

Magu alishughulika na matajiri waliomiliki Uchumi Kwa kukwepa KODI.

Nakumbuka Kuna muda Vituo vya mafuta matajiri waliungana Ili kugomea EFD, alimwambia wazifunge, BAADAYE wakaufyata.

Abarikiwe huko aliko.
Wewe ndio haujui uchumi, duniani kote matajiri wanabanwa kidiplomasia maana wameshikilia uchumi mfano umeona Amazon imeyumba kidogo tu imepunguza wafanyakazi almost elfu 20!! Sasa mtu kama MO kaajiri watu wangapi? Ukimteka unategemea hao waajiriwa wataenda wapi? Manji ukimfilisi waajiriwa wataenda wapi?

So sio Kila kitu kushabikia tu kisa mtu kanyooshwa ila angalia impact kiuchumi, no wonder ACACIA aliwavimbia ila baadae ikabidi awaruhusu tu waendelee kuchimba bila kulipa deni la Kodi maana angesema akate kamba na wao wangemwaga mboga hasara yake ingekua zaidi ya hizo Kodi.

So Kuna wakati unatumia akili kuliko nguvu, si umeona Samia mpaka TRA wamevunja rekodi lakini hatujasikia watu wametishiwa bunduki au mabomu!!
 
JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.

Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.

Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740
Sasa mbona umeleta screenshot ya Ruto tu ungeleta na kielelezo kinachoonesha hao chadema hawakubaliani na dhana zote mbili za kukopa na kutokopa.. hata ivyo nani alikwambia magufuli hakukopa? kwa taarifa yako katika miaka yake mitano alikopa parefu kuliko waliyokopa bm na jk kwa miaka 10
 
Wewe ndio haujui uchumi, duniani kote matajiri wanabanwa kidiplomasia maana wameshikilia uchumi mfano umeona Amazon imeyumba kidogo tu imepunguza wafanyakazi almost elfu 20!! Sasa mtu kama MO kaajiri watu wangapi? Ukimteka unategemea hao waajiriwa wataenda wapi? Manji ukimfilisi waajiriwa wataenda wapi?

So sio Kila kitu kushabikia tu kisa mtu kanyooshwa ila angalia impact kiuchumi, no wonder ACACIA aliwavimbia ila baadae ikabidi awaruhusu tu waendelee kuchimba bila kulipa deni la Kodi maana angesema akate kamba na wao wangemwaga mboga hasara yake ingekua zaidi ya hizo Kodi.

So Kuna wakati unatumia akili kuliko nguvu, si umeona Samia mpaka TRA wamevunja rekodi lakini hatujasikia watu wametishiwa bunduki au mabomu!!
Umeongea Point nyingi,

Bt umeharibu uliposema TRA wamevika lengo la ukusanyaji Kodi!!

Cooked cooked data!!!!!!!!!

Tulipo sasa na tunakoelekea mishahara itashindikana kulipika sababu ya kukua Kwa riba na madeni ya mikopo.
 
Back
Top Bottom