Kasema lini na wapi? mbona unapenda sana kudandia!Alichosema Lipumba ni kweli.
Alichosema Lipumba ni kweli.
kweli!uzalendo uliouvaa umejidhirihisha katika bajeti uliyoiandaa kwa mwaka huu wa fedhaMagwanda nimeyavaa kabla chadema hawajaanza kuvaa yale magwanda ya wawindaji (wachungaji) wa kiingereza.
Yetu ya kijani.
Sasa hivi tunavaa uzalendo.
Alikuwa anamaanisha nini huyu mzee?,kumbe hata Kama umesoma sana haisaidii eeh?kwa kauli hiyo ya Lipumba na usomi wake tumtafsiri vipi?
Haaaaaa Lipumba vipi tena?? Kwanza mjibu Ney wa mitego nasema nao!
Magwanda nimeyavaa kabla chadema hawajaanza kuvaa yale magwanda ya wawindaji (wachungaji) wa kiingereza.
Yetu ya kijani.
Sasa hivi tunavaa uzalendo.
Haaaaaa Lipumba vipi tena?? Kwanza mjibu Ney wa mitego nasema nao!