CHADEMA ni Wacheza Disko - Prof. Lipumba

lipumbaaaaaaaaaaaaaaa................ CUF hakuna wengine kila mwaka wewe tuuuuuuuuuuuuuuuuuuu............. jaribu umbunge may be utapataaaaaaaaaaaaaa...................
 
Nina wasiwasi kama Lipumba anaweza kusema maneno hayo.. Kuna uwezekano mkubwa gazeti la magamba lipo kazini
 
Vipi mke mkubwa (cuf) mke mdogo(nccr) ameshaanza vijimambo nini? Sasa unataka kujipa talaka
 
Zomba ni mfupi wa mawazo sana. Angalau mtoto wa chekechea ambaye hajakua kiakili. We Zomba ni uozo mtupu, (maggot) ndani ya ubongo.
 
Prof. Lipumba yupo katika njozi ya elimu kubwa kwenye siasa za aruaarua. Wingi wa degree si sifa ya kuwa na busara, uongozi ni busara zaidi kuliko hoja mantiki ambazo uwaongozao hawazielewi. Kwa kutambua hivyo wahenga walishawatenga wanajamii na majukumu yao tangu nyakati hizo. Akili kubwa na iliyobora inayokutenga na jamii unayotaka kuitumikia ni sawa na brigedia mwenye elimu bora katika jeshi kufundisha mgambo mbinu ya kutengeneza nuklia, ndio ni maarifa bora bali itamchukua miaka kufika apatakapo.


Kama mcheza disco anaeleweka kwa wapiga kura huyo ndiye professor wa siasa, siasa ni ufuasi wa watu, yeye aendelee kujichanganya CDM inapepea, abaki na kijicho chake
 
Jamani jana tu nimemsikia Lipumba wakipongezana na jamaa wa mwiguru nchemba kuwa sera zao zinzfanana huyu jamaa siyo mpinzani kabisa,2015 cdm lazima kugangamara la sivyo mamluki kibao + Mbatia
 
Magwanda nimeyavaa kabla chadema hawajaanza kuvaa yale magwanda ya wawindaji (wachungaji) wa kiingereza.

Yetu ya kijani.

Sasa hivi tunavaa uzalendo.
kweli!uzalendo uliouvaa umejidhirihisha katika bajeti uliyoiandaa kwa mwaka huu wa fedha
 
attachment.php

Prof Lipumba ni gamba lile..na ukweli ni kuwa mtu yoyote asiyeitakia mema hii nchi ataichukia CHADEMA. Kuanzia CCM & vibaraka wake.
 
Alikuwa anamaanisha nini huyu mzee?,kumbe hata Kama umesoma sana haisaidii eeh?kwa kauli hiyo ya Lipumba na usomi wake tumtafsiri vipi?

Mprofesa wa nchi hii ni vituko tu. Lipumba, Maghembe, Kapuya... ongezea hiyo list. Ni watu wasio na faida kwa taifa hili pamoja na kusoma sana
 
Magwanda nimeyavaa kabla chadema hawajaanza kuvaa yale magwanda ya wawindaji (wachungaji) wa kiingereza.

Yetu ya kijani.

Sasa hivi tunavaa uzalendo.

huo uzalendo mliupotezea wapi?
mbona zamani ulikuwepo tele! tuambieni nani aliuhujumu na ameadhibiwa nini.
 
ATABARIKIWA atakayewabariki, ATALAANIWA atakayewalaani, lipumba hayajui maneno haya. aisome historia ya Dr. Slaa, lipumba atakipata kinachoipata ccm.
 
Back
Top Bottom