Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
yesuu na maria we umetumwa ntakuchapa na ndimi za yesu.
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.
Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.
Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.
Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.
Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi C Tuombe uhai!
kama sera za chadema zingekuwa nyoofu, watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za chadema. Cha ajabu ni kwamba hata wale, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.
Baada ya kuisoma chadema nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya soda kinachotapatapa sawa na simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu chama hicho hakina dira.
Utabiri wangu ni kwamba kama chadema itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!
kama sera za chadema zingekuwa nyoofu, watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za chadema. Cha ajabu ni kwamba hata wale, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.
Baada ya kuisoma chadema nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya soda kinachotapatapa sawa na simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu chama hicho hakina dira.
Utabiri wangu ni kwamba kama chadema itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!
Mkuu uwe unaona aibu basi!!!!!!!!!!!!! Wewe mwenyewe unasema ni Simba mfa maji mara ghafla "muingie madarakani mtuburuze", what a joke? Mbona inaonekana unajipinga statements zako mwenyewe? Simba mfa maji atawaburuzaje hahahahaaaaa?????????????!!!!!
Tatizo unaendeshwa na woga, be a man!!!! ongea unachokiamini. Inside unafahamu kabisa kwamba zama za CCM ndiyo bai bai hahahahahaha!!!
Hamuaminiki nyie. Maana hamkawii kukimbilia Ujerumani na Palestina kuomba silaa chini ya Slaa. Kwahiyo ni lazima tuwathibiti ipasavyo.
Maana kama kuharibu nchi mnaweza na huhitaji watu milioni moja kuvuruga amani ya nchi hii. Hata wapiganaji laki tano tu mnaweza kuivuruga nchi hii. Hatuwapi nafasi kamwe.
Nasisitiza uache kujivua nguo hadharani wewe!
Kwa hayo unayoyasema, jenga picha ya wanaume wawili wanaomgombea binti kigoli: mmoja ana miaka 38 na mwingine miaka 23: yupi mwenye nafasi kubwa ya kukubaliwa tukiangalia kigezo cha umri?
Hapo ni 2015, na mwenye miaka 23 ni CHADEMA, mwenye 38 ni CCM na binti ni ridhaa ya wapiga kura!