CHADEMA ni sawa na 'Simba mfa maji'

CHADEMA ni sawa na 'Simba mfa maji'

Hayo ni maoni yako binafsi.2015 2naisimamisha.

Najua nyie ni Die hard kama Simba mfa maji. Nyie simamisheni lakini mkishindwa mambo ya kwenda kuandamana mabarabarani acheni. Tabia hiyo ndio inawaua kabisa kwasababu hiyo si tamaduni ya kitanzania. Na isitoshe kila mlipoandamana hakuna mlichofanikiwa.

Mkishindwa mmeshindwa sio kuanza eti wametuchakachua, kwanza sasa hivi watanzania wamewasitukia kwani nyie ndio wachakachuaji.
 
yA CHADEMA MWACHIENI CHADEMA, hapa umechemsha. Unamaana tuwaachie ili muingie madarakani na mtuburuze! Sasa hatuwaachii tutachohakikisha ni kuwa CHADEMA yaishia ubunge tu.

Mkuu uwe unaona aibu basi!!!!!!!!!!!!! Wewe mwenyewe unasema ni Simba mfa maji mara ghafla "muingie madarakani mtuburuze", what a joke? Mbona inaonekana unajipinga statements zako mwenyewe? Simba mfa maji atawaburuzaje hahahahaaaaa?????????????!!!!!

Tatizo unaendeshwa na woga, be a man!!!! ongea unachokiamini. Inside unafahamu kabisa kwamba zama za CCM ndiyo bai bai hahahahahaha!!!
 
Mambo mazito hayazungumzwi kishabiki hivyo wewe!
Nimevutiwa na 'heading' ya post yako nikidhani ni mtu fulani makini kumbe una-'generalize' mambo tu.
Nilitegemea kuona uchambuzi wa kina wa ulichokisema, si ushabiki dhaifu namna hiyo; shame on you!
 
Nasisitiza uache kujivua nguo hadharani wewe!

Kwa hayo unayoyasema, jenga picha ya wanaume wawili wanaomgombea binti kigoli: mmoja ana miaka 38 na mwingine miaka 23: yupi mwenye nafasi kubwa ya kukubaliwa tukiangalia kigezo cha umri?

Hapo ni 2015, na mwenye miaka 23 ni CHADEMA, mwenye 38 ni CCM na binti ni ridhaa ya wapiga kura!
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!
kama hujajua hadi leo, kamwe hutajua tena
 
Bw. Mdogo Ngoda "don't jump before the gun" and If you cant see the obvious is better you zip your mouth
 
Misemo mingine bana!!
Simba,sijawai sikia simba kafa maji au simba alikuwa anaogera kafa maji,Je kutapatapa kwa simba unatokana na nini.?
Simba ni muwuindaji siku zote tena polini iweje afe maji.?
Wapi simba kafa maji.?Je anawinda baharini,ziwani,au kwenye mabwawa.!!!
Simba nijuavyo nakula vitu vya damu sana,sasa samaki wapi .?
Nne simba ni mbali kabisa na maji zaidi ya kuyanywa tena analamba maji.
Msemo wako mkuu ni tata.Chadema kuifananisha na simba baba wa polini ni sifa tena kubwa.
Kwahivyo basi simba si mfa maji kwa sababu aishi ziwani anaishi polini.
Hasira na kuchukia kitu usiigeuze na kitu kisichowezekana.
[/SIZE]
[/COLOR]
 
Zawadi mjinga ngoda wewe na mr bean hamna tofauti hatujadili mawazo ya lofa
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Bora wao kuliko magamba
 
wewe si mzima mtoa mada si mzima utakuwa na matatizo kidogo nakushauri kaa peke yako jifanyie self assessment siku njema!
 
Ivi nyinyi magamba haziwatosho kwanini mmshambulie simba mfa maji? Kama hawanyimi usingizi nini? Kama CDM hawatishi shambulieni wake zenu CUF,NCCR ,TLP na .................... ,Nyie ndiyo wafamaji kaeni mkao wasafari
 
kama sera za chadema zingekuwa nyoofu, watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za chadema. Cha ajabu ni kwamba hata wale, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma chadema nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya soda kinachotapatapa sawa na simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu chama hicho hakina dira.

Utabiri wangu ni kwamba kama chadema itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

hata mwenyekiti wako ****** alisema kuwa ni chama cha msimu, lakini wewe mwenyewe unaona sasa kinavyomhenyesha.
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!
samahani dada naomba nijue haya, kwani sijaona LOGIC yako ni nini.
  • Una elimu ya kiwango gani ? ( Siyo darasa, maana unweza ukasoma lakini usielimike )
  • Una umri gani hapa namaanisha mental age, kwani naona dharau nyingi kuliko kujenga hoja ya msingi
 
pamoja na kelele zote za CHADEMA nimekugundua kuwa ni chama kisichokuwa na sera, maana yake nn? Wanatumia muda mwingi katika kunadi matukio tuu yanayotokea nchini maana hata ya ndani ya ccm kwao yamekuwa ndo ajenda kwenye mikutano yao ,, wameshindwa kueleza jinsi watakavyo kabiliana na matatizo ya nchi yetu, kila cku wanadandia ya ccm tuu. Kuweni wajanja enezeni sera kwa wananchi huu ndio muda kama kweli mmedhamiria kuleta upinzani na upinzani uwe wa matatizo yetu , cyo uwe upinzani wa ccm tuu na viongozi wake,, Kweli bado mu wachanga ki siasa...
 
Kama pole wanastahili wanaCHADEMA, maana hiyo kasi waliokuwa nayo ya kuingia Ikulu ni kama Usain Bolt. Halafu hata salender bridge hawakatishi.

Loooooo... Vyama vingine bana ni aibu tupu..

man'gaa wa siasa
 
pamoja na kelele zote za CHADEMA nimekugundua kuwa ni chama kisichokuwa na sera, maana yake nn? Wanatumia muda mwingi katika kunadi matukio tuu yanayotokea nchini maana hata ya ndani ya ccm kwao yamekuwa ndo ajenda kwenye mikutano yao ,, wameshindwa kueleza jinsi watakavyo kabiliana na matatizo ya nchi yetu, kila cku wanadandia ya ccm tuu. Kuweni wajanja enezeni sera kwa wananchi huu ndio muda kama kweli mmedhamiria kuleta upinzani na upinzani uwe wa matatizo yetu , cyo uwe upinzani wa ccm tuu na viongozi wake,, Kweli bado mu wachanga ki siasa...

ma'ngaa wa siasa
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Dogo zawadi, nadhani umekosea jina la chama. sio Chadema, ni CCM. Hakika 2017 kitafutika. Hakina DIRA - ni ufisadi kwenda mbele, kugawiana madaraka kwa vimada wao, kutoana roho, na sasa hii dhana yenu ya kudandia kila kitu cha CHADEMA bila kufanya utafiti (Kupambana na ufisadi a.k.a kuvuana Magamba) ndio mwisho wenu.

Mkivuka salama tu 2015 kwani hamtakuwepo Ikulu, basi uchaguzi wa Mwenyekiti wenu 2017 ndio mwisho wa yote kwani mtamchagua Vuvuzela (a.k.a CCJ) Nape kuwa Mwenyekiti
 
pamoja na kelele zote za CHADEMA nimekugundua kuwa ni chama kisichokuwa na sera, maana yake nn? Wanatumia muda mwingi katika kunadi matukio tuu yanayotokea nchini maana hata ya ndani ya ccm kwao yamekuwa ndo ajenda kwenye mikutano yao ,, wameshindwa kueleza jinsi watakavyo kabiliana na matatizo ya nchi yetu, kila cku wanadandia ya ccm tuu. Kuweni wajanja enezeni sera kwa wananchi huu ndio muda kama kweli mmedhamiria kuleta upinzani na upinzani uwe wa matatizo yetu , cyo uwe upinzani wa ccm tuu na viongozi wake,, Kweli bado mu wachanga ki siasa...
kwenye RED hapo umechemsha hakuna chama cha siasa kisicho na sera otherwise hakipati usajili wa kudumu

Nakubaliana na wewe kuwa ni muhimu sana kwa CDM kueleza Mikakati yao kuliko ili kuwaongezea hamasa wananchi Maisha bora yanawezekana kuliko kutumia muda mwingi kuiponda CCM.
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Sijawahi kuona simba mfamaji anavyokuwa. Ila kama umetumia msemo huu kumaanisha kuwa Chadema ni chama kinachoelekea kufa basi nadhani hujafanya homework yako vizuri. Kama wewe ni mmoja wa washauri wa CCM basi utakuwa unawapotosha iwapo utakuwa ukiwapa hiyo picha. Ushahidi unaonyesha kuwa CHADEMA ni chama kinachokuwa kwa kasi na wanaokiunga mkono zaidi ni vijana. Hii ni dalili ya chama ambacho kitakuwepo muda mrefu ujao tofauti na CCM ambacho kinapunguza mvuto wake kwa wapiga kura kutokana na kashfa zinazowaandama viongozi wake wakuu. Kuhusu sera au dira ya CHADEMA kimsingi hawatofautiani sana na CCM kwani wote ni mashabiki wa mfumo wa soko huria na ubepari. Ila tofauti ni kuwa CCM wamechakachua ubepari na kuingiza ufisadi kama sera yao kuu huku wakiwahadaa wananchi kuwa wanajenga ubepari.

Bahati mbaya mimi siyo mwanachama wala mshabiki wa vyama hivyo viwili kwani haviwakilishi mtazamo wangu kuhusu sera sahihi ya kulikomboa taifa hili. Bado ninaamini kuwa kwa nchi maskini kama ya kwetu mfumo unaofaa ni wa kijamaa ambamo njia kuu za kiuchumi zinabaki mikononi mwa serikali lakini unaoruhusu ushindani wa kibepari katika uzalishaji wa mali za mwisho na utoaji wa huduma. Serikali inabaki ikimiliki kwa kiasi kikubwa vitu kama bandari, reli, barabara, migodi ya madini, ardhi, taasisi za elimu na afya etc. Ila tofauti na wakati wa Nyerere kwenye mfumo huu inatakiwa mtu anayefisidi mali ya umma na ikathibitishwa kuwa amefanya hivyo ama apigwe risasi hadharani au afungwe maisha na kufilisiwa mali aliyoipata kiharamu.
 
Back
Top Bottom