only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,342
- 2,528
Vijana wa Chaga development manifesto tumkemee huyu bwana kwa jina la yesu aache kutuzonga.....chama linakuwa kwa uwezo wake mungu aliyehai uko mbinguni na ashindwe anaetuharibia..
Hata namna ulivyoandika hii thread inaonyesha ubongo wako ni maji kabisa...yaani wewe ni bureee kabisa...