CHADEMA ni sawa na 'Simba mfa maji'

CHADEMA ni sawa na 'Simba mfa maji'

Vijana wa Chaga development manifesto tumkemee huyu bwana kwa jina la yesu aache kutuzonga.....chama linakuwa kwa uwezo wake mungu aliyehai uko mbinguni na ashindwe anaetuharibia..

Hata namna ulivyoandika hii thread inaonyesha ubongo wako ni maji kabisa...yaani wewe ni bureee kabisa...
 
Acha JAZBA kaka, Nimetumwa na UZALENDO.....Usiniulize nalipwa buk ngapi..

Mkuu hapo kwenye red nadhani uliteleza kidogo,umetumwa na gazeti la Mzalendo si ndio? Una akili ndogo sana,ufinyu wa mawazo,masihara kwenye mambo ya msingi,na sikushangai maana nakufahamu una tatizo la muda mrefu la kupoteza fahamu....
 
Kama mgeeleweka mnachokitaka dola mngeichukua 2010. Lakini mlikosea kila upande: Mlimsimamisha mtu aliyekuwa hana maadili ya kutosha huku akiwa na matatizo ya maadili katka familia yake.

Chama mpaka leo kimeshindwa kujieleza vya kutosha, kama kinasimamia umoja wa watanzania au la...... Tuhuma kali zilizotolewa katika uchaguzi hamjazijibu mpaka leo sasa mnahitaji watanzania wawape nini kama sio mkasi...

Hatuna tabu nanyi, kueni kwanza.

lala sasa,umeshaingiza siku.Tehe tehe teheeee......
 

Usidhani kama wewe una akili ndogo za kutokuelewa falsafa ya CHADEMA basi watanzani wote wana akili tope kama zako,upunguani wako usichukulie ndio upunguani wa Watanzania....Nadhani ni bora kabla ya kupost tulia ukae uone cha kuleta hapa JF na sio kuja na mipasho isiyo na manufaa yoyote kwa taifa...

Hebu tupe faida, tueleza mambo matano tu ambayo CHADEMA INASIMAMIA. Usisahau ya fuatayo:
  • Umoja wa kitaifa
  • Siasa za nchi za nje
  • Imani
  • Uhuru wa uandishi wa habari
  • Nafasi ya upinzani
 

Mkuu hapo kwenye red nadhani uliteleza kidogo,umetumwa na gazeti la Mzalendo si ndio? Una akili ndogo sana,ufinyu wa mawazo,masihara kwenye mambo ya msingi,na sikushangai maana nakufahamu una tatizo la muda mrefu la kupoteza fahamu....

Sijakosea ni UZALENDO, vinginevyo ningeshaenda kulala.
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

heri uwe umeeandika usicho amini.
Kama ulicho andika ndicho unacho amini basi wewe ni mkoloni masikini mwafrika, huna tofauti na mtazamo wa wakoloni wazungu dhidi ya TANU ileeee...
Wewe ni janga la taifa.
 
Mmmm Jamani humu ndani kuna watu inabidi wakapimwe akili au Administrator aweke code za kuverify kwamba anaye log in na kuweka thread yake ni mtu mwenye akili na utashi na sio kama roboti.....!!! Tuache kufikiri kwa kutumia tumbo
 
Zawadi Ngoda - nadhani hayo majina tu yanatoa fununu ya aina ya mtu mwenyewe. Lakini usipasuke kwa hasira, nenda kanunue katiba ya CDM ni Sh.2,000/- tu halafu ujisomee, sawa mtoto mzuri eeeh, ukimaliza nitakuletea zawadi nikirudi toka mjini.
 
Naona Zawadi Ngoda kaenda kulala,kaona hamna mtu ambae yuko interested na PUMBA zake.
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Wewe masaburi sana kumbe hoja zote umekuwa nazo umeshindwa umeamua kutukana? Hapa utapumulia makalio yako hii ni J F umeanza kutokota hahahaa kama Nape kule Mwanza .
 
Naona Zawadi Ngoda kaenda kulala,kaona hamna mtu ambae yuko interested na PUMBA zake.
Mkuu hajaenda kulala hivi sasa yupo ktk mazungumzo na baha-kwata ili watoe tamko hapo baadaye.
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Vijana wa JK bana, kazi ya kuinadi CCM imeshindikana sasa kilichobaki ni "paint bad your opponent" call them names, discredit them, just do whateva it takes to make them look bad. Hahahah ahahaha ahahahah!!!! Mnachosahau ni kwamba CCM imepoteza momentum na mwelekeo and you won't get these kwa kuitukana CHADEMA hahahahah!!!!! How does one really like CCM, when it is in the news everyday not doing what they promised in their election manifesto but rather infighting, uncivilized conflicts, corruption etc.

Mkuu jengenin chama chenu ya CHADEMA muwaachie CHADEMA.
 
Vijana wa JK bana, kazi ya kuinadi CCM imeshindikana sasa kilichobaki ni "paint bad your opponent" call them names, discredit them, just do whateva it takes to make them look bad. Hahahah ahahaha ahahahah!!!! Mnachosahau ni kwamba CCM imepoteza momentum na mwelekeo and you won't get these kwa kuitukana CHADEMA hahahahah!!!!! How does one really like CCM, when it is in the news everyday not doing what they promised in their election manifesto but rather infighting, uncivilized conflicts, corruption etc.

Mkuu jengenin chama chenu ya CHADEMA muwaachie CHADEMA.


Nyambala umesema vyema but I duobt if these hoax will hear and understand your few beautiful lines .
 
Kuna haja ya kuanza kupuuza kuchangia thread za watu kama hawa. Naona wana mkakati wa kugeuza JF kijiwe cha kupost ujinga,mods kuweni makini na threads kama hii.
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Nimezipitia topic nyingi ulizozileta humu jamvini,hakika nimezichambua na kukufikiria sn na ninegundua una chuki ya wazi dhidi ya Chama cha Chadema.Kila topic unaiponda Chadema tu tena kwa hoja zisizo na mashiko zinazoonyesha namna ubongo wako umeoza kwa virus wa fikra za kitumwa.
 
this Zawadi sounds like nanihii Jr. Mh, may be coincidence!
 
Vijana wa JK bana, kazi ya kuinadi CCM imeshindikana sasa kilichobaki ni "paint bad your opponent" call them names, discredit them, just do whateva it takes to make them look bad. Hahahah ahahaha ahahahah!!!! Mnachosahau ni kwamba CCM imepoteza momentum na mwelekeo and you won't get these kwa kuitukana CHADEMA hahahahah!!!!! How does one really like CCM, when it is in the news everyday not doing what they promised in their election manifesto but rather infighting, uncivilized conflicts, corruption etc.

Mkuu jengenin chama chenu ya CHADEMA muwaachie CHADEMA.
before you paint someone bad, make sure that you are not ugly!
 
Vijana wa JK bana, kazi ya kuinadi CCM imeshindikana sasa kilichobaki ni "paint bad your opponent" call them names, discredit them, just do whateva it takes to make them look bad. Hahahah ahahaha ahahahah!!!! Mnachosahau ni kwamba CCM imepoteza momentum na mwelekeo and you won't get these kwa kuitukana CHADEMA hahahahah!!!!! How does one really like CCM, when it is in the news everyday not doing what they promised in their election manifesto but rather infighting, uncivilized conflicts, corruption etc.

Mkuu jengenin chama chenu ya CHADEMA muwaachie CHADEMA.

yA CHADEMA MWACHIENI CHADEMA, hapa umechemsha. Unamaana tuwaachie ili muingie madarakani na mtuburuze! Sasa hatuwaachii tutachohakikisha ni kuwa CHADEMA yaishia ubunge tu.
 
Back
Top Bottom