CHADEMA ni sawa na 'Simba mfa maji'

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
3,804
1,863
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!
 
Wewe ndio mfa maji.

Wewe na chama chako cha Magamba mnaotukanana wenyewe kwa wenyewe hadharani ndio mtadumu.? Huna kazi nyingine ya kufanya? Unalipwa sh ngapi kuleta thread za kipuuzi hivi? Vipi yale matusi mliyotukana wananchi wa Mwanza ndio sera yenu mpya.?
 
Wewe ndio mfa maji.Wewe na chama chako cha Magamba mnaotukanana wenyewe kwa wenyewe hadharani ndio mtadumu.? Huna kazi nyingine ya kufanya? Unalipwa sh ngapi kuleta thread za kipuuzi hivi? Vipi yale matusi mliyotukana wananchi wa Mwanza ndio sera yenu mpya.?

Malipo yangu ni kuhakikisha Chama kichanga kinachotaka kushika madaraka kutofanya hivyo mpaka kikue. Ni kawaida ya mtoto kutaka kushika kila kitu hata kaa la moto. Mzazi mwema humlinda mtoto na kumzuia mahala pote pale pa hatari ili asidhurike na waliokaribu nao wasidhurike. Tungewaruhusu watoto wafanye kila wanachotaka basi ingekuwa hatari kwao na kwetu vile vile.

Kwa maelezo hayo malipo yangu ni kuhakikisha CHADEMA kinakuwa kwanza.... Hapana si 2015 pengine baada ya 2020 kama kitasurvive.
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Wewe ndiyo kati ya wale watumwa wa sisiem siyo?? Kawaambie wamesema mpaka tuone na hawa CDM watatufikisha wapi ktk miaka 50 ya TZ kuwa huru. Magamba Mi nafsi yangu sitaki hata kuwasikia natamani iwe kama ile cha cha Kenya (KANU) ya ipotee ktk ulimwengu siasa.
 
Malipo yangu ni kuhakikisha Chama kichanga kinachotaka kushika madaraka kutofanya hivyo mpaka kikue. Ni kawaida ya mtoto kutaka kushika kila kitu hata kaa la moto. Mzazi mwema humlinda mtoto na kumzuia mahala pote pale pa hatari ili asidhurike na waliokaribu nao wasidhurike. Tungewaruhusu watoto wafanye kila wanachotaka basi ingekuwa hatari kwao na kwetu vile vile.

Kwa maelezo hayo malipo yangu ni kuhakikisha CHADEMA kinakuwa kwanza.... Hapana si 2015 pengine baada ya 2020 kama kitasurvive.

vita unayopigana hakika utashindwa! Rafiki yenu KANU yuko wapi.Nakuhurumia sana,sidhani kama unalipwa zaidi ya buku 2 kwa thread zako
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Kwanza simba huwa hafi maji lakini pia mpaka uiite CDM simba ni wazi kwamba moyoni mwako unakitambua kwamba ni chama la nguvu. Pili inaelekea umeachika hivi karibuni maana posts zako zimejaa ghadhabu halafu akili kwa mbaaaaali kama chumvi kwenye chapati.
 
we umekuja jukwaani kuishambulia CDM, we ndo kama simba aliyelowa maji kama chama chako a.k.a magambaz
 
vita unayopigana hakika utashindwa! Rafiki yenu KANU yuko wapi.Nakuhurumia sana,sidhani kama unalipwa zaidi ya buku 2 kwa thread zako

Kama mgeeleweka mnachokitaka dola mngeichukua 2010. Lakini mlikosea kila upande: Mlimsimamisha mtu aliyekuwa hana maadili ya kutosha huku akiwa na matatizo ya maadili katka familia yake.

Chama mpaka leo kimeshindwa kujieleza vya kutosha, kama kinasimamia umoja wa watanzania au la...... Tuhuma kali zilizotolewa katika uchaguzi hamjazijibu mpaka leo sasa mnahitaji watanzania wawape nini kama sio mkasi...

Hatuna tabu nanyi, kueni kwanza.
 
Kama mgeeleweka mnachokitaka dola mngeichukua 2010. Lakini mlikosea kila upande: Mlimsimamisha mtu aliyekuwa hana maadili ya kutosha huku akiwa na matatizo ya maadili katka familia yake.

Chama mpaka leo kimeshindwa kujieleza vya kutosha, kama kinasimamia umoja wa watanzania au la...... Tuhuma kali zilizotolewa katika uchaguzi hamjazijibu mpaka leo sasa mnahitaji watanzania wawape nini kama sio mkasi...

Hatuna tabu nanyi, kueni kwanza.
umetumwa na nani? hizo akili au matope, wewe ndiye mfa maji.
 
Kwanza simba huwa hafi maji lakini pia mpaka uiite CDM simba ni wazi kwamba moyoni mwako unakitambua kwamba ni chama la nguvu. Pili inaelekea umeachika hivi karibuni maana posts zako zimejaa ghadhabu halafu akili kwa mbaaaaali kama chumvi kwenye chapati.

Kuachika ni suala la kawaida, haya nayo CHADEMA itaachika lini? Mi nafikiri 2017! Maana wananchi wameshaanza kurudisha vyeti vya ndoa hapo ndipo mtaelewa simba akilowa maji usimba unatoweka.
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!
sasa naona wewe uwezo wako wa kufikiri umefika kikomo.pole kwa mawazo yako mfu
 
sasa naona wewe uwezo wako wa kufikiri umefika kikomo.pole kwa mawazo yako mfu

Kama pole wanastahili wanaCHADEMA, maana hiyo kasi waliokuwa nayo ya kuingia Ikulu ni kama Usain Bolt. Halafu hata salender bridge hawakatishi.

Loooooo... Vyama vingine bana ni aibu tupu..
 
Vijana wa Chaga development manifesto tumkemee huyu bwana kwa jina la yesu aache kutuzonga.....chama linakuwa kwa uwezo wake mungu aliyehai uko mbinguni na ashindwe anaetuharibia..
 
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.

Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.

Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!

Usidhani kama wewe una akili ndogo za kutokuelewa falsafa ya CHADEMA basi watanzani wote wana akili tope kama zako,upunguani wako usichukulie ndio upunguani wa Watanzania....Nadhani ni bora kabla ya kupost tulia ukae uone cha kuleta hapa JF na sio kuja na mipasho isiyo na manufaa yoyote kwa taifa...
 
Back
Top Bottom