Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
- Thread starter
- #61
well said brohuyo mzee ni mbinafsi kinoma na sizani kama atakubali kilahisi kuachia ngazi. ukiona mtu kahasi dini kaingia kwenye siasa huyo mtu hafai ata kidogo. yeye aludi madhabauni kwa roho safi tu. alichokitaka kaishapata na alidhike nacho.