Chadema ni lini mtawachukulia hatua ma-radicals ndani ya chama chenu kama ANC walivyofanya?

Alafu Ben
Twende kwa step tafadhali, unajua, the way unavyoelezea umuhimu wa vijana katika mageuzi ni katika namna ambayo mtu anaweza kufikiri kwamba Vijana wana solutions za matatizo yote tuliyonayo, kitu ambacho sikubaliani nacho.

Mimi ni mmoja wa vijana ninaopinga sana dhana ya kusurrender all power to youth, naipinga vikali kabisa, Mambo aliyoyaeleza Joss ndio sehemu ya sababu ninazozisimamia pia, ninarudi kuangalia huo mjadala wako na Mkandara uko vipi, lakini naomba nikuweze wazi, katika kosa ambalo binafsi siwezi kukaa kimya nikiangalia linafanyika katika Jamii yangu ni kuruhusu siasa kusimamiwa na vijana kwa kiwango kikubwa.

Vijana muanzie hapa kuonyesha uwezo wenu.
Muonyeshe ufanisi kwenye namna mnavyosimamia idara za vijana kwenye vyama vyenu, mpaka sasa hamjaweza kuwashawishi watu kwamba mnaweza kusimamia michakato ya kisiasa kwa uadilifu.

Angalia CCM, UVCCM haielewi inaanya nini, na kila inapojitutumua inaharibu, UVCCM bila wazee wa CCM si chochote si lolote.

BAVICHA, bado hatujaona influence yenu kwenye usimamiaji wa michakato imara ya kisiasa, tuko kwenye mchakato wa kuandaa katiba mpya, BAVICHA is out of the show, Uchaguzi wa viongozi wenu wenyewe ulijaa uchafu mpaka ulipoingiliwa na DR SLAA. tutawaaminije, msituburuze Ben.

Hapo kwenye red nilishakujibu kwenye post uliyoni-quote.Tulia usome pia page 3


Hatuna baraza huru la vijana,hatuna chombo cha kuwasemea na kuwaunganisha vijana kuhusu mwelekeo wa kupambana na mfumo.tulihitaji baraza huru la Taifa la vijana bila kujali vyama,dini au makabila.Ninashukuru chama changu CHADEMA kimeweka ajenda hii inayotakiwa kufanyiwa kazi na BAVICHA.

Naamini YPM itashirikiana na asasi nyingine za kiraia,wanaharakati wanazuoni wenye mtizamo chanya juu ya mageuzi ya kimfumo kuhakikisha lengo linafikiwa.Tunatazamia kuanzisha vuguvugu nchi nzima,semina,makongamano na kupigania maslahi ya vijana na taifa kwa ujummla katika vyombo na idara za kimaamuzi.

Kuhusu kujadili kuhusu UVCCM,mimi sitajadili tena na nilipokuwa nagombea Uenyekiti BAVICHA nilisema UVCCM haiwezi kuwa mtetezi au kiunganishi cha vijana tena.Ni kijiwe cha watoto wa vigogo tu.Kuhusu BAVICHA litajadiliwa na mamlkaa husika

Our goal is to mobilize the masses of Tanzania for our general good. We shall stand with the Tanzanian masses at all times, by fighting for and on their behalf against any oppressor – whether individuals, other organizations or the government of the day. Our movement must be a champion of our people's interest. For our goal to be achieved, our masses must see us as the hope of the common man on the street. Our strategy is to be seen as the voice of the people of our nation.

To achieve this, our army of lawyers will be used to institute legal cases in defense of the masses of our country whenever and wherever the need arises, our medical personal members shall be mobilized to give free medical services to the masses of our people, our internet team must be online twenty four hours to rightly spread our message and inform our people rightly, our members in the press are expected to expose the lies of the government of the day and also spread our message of hope. All other Field members will be mobilized with the members of the Executive and the Conclave to acts in defence of the the under-privileged as the situation demands when the need arises.

Our approach is to through selective intervention in the affairs of the masses of our country in order to relieve their hardship, win their hearts for the final struggle against bad governance. We shall through such selective interventions, compel our government to surrender to the ultimate will of our people because we will take legal action where they act in breach of the people's will and our law; and where appropriate institute civil disobedience in accordance with the laws of our land and international laws of justice.
We will reach out to the leadership of the traders association including that of the trade unions. We will also seek an alliance with the labour union in the country. Along this line, we can reach other to Tanzanians of better standings including public office holders who are willing to join us as Patron members.

We are aware that some of them seriously want change in our country but cannot act in the open because of their political interest. In particular, we know that most of them because of their dirty past cannot afford to challenge the government of the day in the open. We know they have perfected the anti corruption agencies in our land as a tool to silence the few office holders in our land that want to stand on the side of the people. We are providing the organization as a tool for them to help cause change in our country without exposing themselves to harm. With these, all of us can work for the change that we all desire in our country with minimal harm.

 
Ben,

hitimisho ni hili kwamba: Unaonekana ni kijana mzuri sana ila unakuwa na papara kidogo. Ukitulia na kidogo usijiingize kwenye siasa za makundi, utakuwa kiongozi mzuri. Unaamini sana kwenye siasa za Nyeupe ni Nyeupe na Nyeusi ni Nyeusi na hukubaliani kabisa na kitu kama Pundamilia.

Tofauti yako wewe na watu wengine humu ndani iko wazi kabisa. Ndiyo maana hata ukiandika wengi tunakuja kukusoma na kukupa mawazo yetu na si kukushambulia. Kama ukiweza kurekebisha hivyo vitu vichache ambavyo wengi wanaandika humu ndani basi Chadema itakuwa inapika kiongozi mzuri sana huko mbeleni.

Haya mambo ya "nyie mnatumwa na fulani, ntawataja siku moja........" yananipa majibu yaleyale kuwa siasa za makundi si nzuri sana. Si lazima ujibu kila ujumbe humu wa kukushambulia maana unakuwa unafukuza chizi aliyeiba nguo zako wakati ukioga. Mtu akishuka na point nzito na nzuri, zisome na uweke asante na uzifanyie kazi.

Kama ungelikuwa mtu kama Lusinde, basi wala nisingelipoteza muda kukusoma au kusoma watu wanakueleza nini.

Ila bado nakukusisitiza, achana na SIASA za Mugabe na Malema maana kwa Tanzania hazitafanya kazi. Hawa watu ni wapishi wa ubaguzi na dharau kwa watu wasio na uwezo wa kujitetea. Kuna ile video kwenye youtube anamfukuza mwandishi wa habari wa BBC kwa kumuuliza swali. Lugha anayotumia, unaona jamaa anatumia HOJA YA NGUVU. Pia kuna ile anaimba "Kill the Boers......" Huu wimbo uliimbwa na akina Mandela enzi hizo ila kwa sasa, haufai tena.

Mugabe amejishajichokea na yupo pale kwa kuwekwa na Mafisadi ambao wanajua siku Mzee akifa, basi ZANU-PF inakufa na wao wenyewe kupoteza madaraka. Hafanyi kitu kwa mapenzi ya nchi ila anafanya kiti ili Mafisadi wafurahi. Ukimuelewa Malema vizuri na uachane na siasa za namna ya Malema, nina imani utakuwa umeiva.

Anyway, ni maoni yangu tu hayo.
 
Ben,

hitimisho ni hili kwamba: Unaonekana ni kijana mzuri sana ila unakuwa na papara kidogo. Ukitulia na kidogo usijiingize kwenye siasa za makundi, utakuwa kiongozi mzuri. Unaamini sana kwenye siasa za Nyeupe ni Nyeupe na Nyeusi ni Nyeusi na hukubaliani kabisa na kitu kama Pundamilia.

Tofauti yako wewe na watu wengine humu ndani iko wazi kabisa. Ndiyo maana hata ukiandika wengi tunakuja kukusoma na kukupa mawazo yetu na si kukushambulia. Kama ukiweza kurekebisha hivyo vitu vichache ambavyo wengi wanaandika humu ndani basi Chadema itakuwa inapika kiongozi mzuri sana huko mbeleni.

Haya mambo ya "nyie mnatumwa na fulani, ntawataja siku moja........" yananipa majibu yaleyale kuwa siasa za makundi si nzuri sana. Si lazima ujibu kila ujumbe humu wa kukushambulia maana unakuwa unafukuza chizi aliyeiba nguo zako wakati ukioga. Mtu akishuka na point nzito na nzuri, zisome na uweke asante na uzifanyie kazi.

Kama ungelikuwa mtu kama Lusinde, basi wala nisingelipoteza muda kukusoma au kusoma watu wanakueleza nini.

Ila bado nakukusisitiza, achana na SIASA za Mugabe na Malema maana kwa Tanzania hazitafanya kazi. Hawa watu ni wapishi wa ubaguzi na dharau kwa watu wasio na uwezo wa kujitetea. Kuna ile video kwenye youtube anamfukuza mwandishi wa habari wa BBC kwa kumuuliza swali. Lugha anayotumia, unaona jamaa anatumia HOJA YA NGUVU. Pia kuna ile anaimba "Kill the Boers......" Huu wimbo uliimbwa na akina Mandela enzi hizo ila kwa sasa, haufai tena.

Mugabe amejishajichokea na yupo pale kwa kuwekwa na Mafisadi ambao wanajua siku Mzee akifa, basi ZANU-PF inakufa na wao wenyewe kupoteza madaraka. Hafanyi kitu kwa mapenzi ya nchi ila anafanya kiti ili Mafisadi wafurahi. Ukimuelewa Malema vizuri na uachane na siasa za namna ya Malema, nina imani utakuwa umeiva.

Anyway, ni maoni yangu tu hayo.

Sikonge,

Shukrani sana kwa ushauri/kunikosoa

Ni kweli nilsema nitawataja kwa kuwa niliona jitihada zinazofanywa kuchafuana huku watu wakiendelea kuamini maneno ya uongo na fitna.Na tabia hii ilianza tangu nilipogombea BAVICHA hadi leo.Post nyingi za aina hiyo huwa nazipuuza isipokuwa siwezi kukubali mtu anichafe kwa kupotosha watu,watu wanaweza kuamini uongo .
Mimi sina makundi na siku zote kwenye uchaguzi hata kama kuna kambi mimi ni mwepesi wa kuvunja makundi

Nakubaliana na wewe kuwa South Africa ni taifa ambalo ni delicate sana.Kilichotakiwa ni uongozi wa ANC na serikali yake kumsaidia Malema na siyo vitisho na kumfukuza kama walivyofanya.

Sikonge,Mbona wewe umenishauri hapa badala ya kunitusi na kunitisha?Mbona wakuu wengine hata hapa kwenye thread wanatumia approach nzuri? Kwa nini ANC wasitumie busara hiyo ku-deal na Malema na vijana wengine kama akina Floyd shivambu?

Sasa mbona ANC wameshindwa kutofautiana na Malema katika approach dhidi ya matatizo? Uamuzi waliochukua unazidi kuwagawa watu wa Afrika kusini kwani wanajua alichosimamia JUJU ni kweli na ndiyo kiu ya raia weusi wa Afrika kusini.

By the way,Uamuzi dhidi ya malema una msukumo binafsi kutoka kwa Zuma na kundi lake.JUJU naye amewapa nafasi adimu mahasimu wake na wakaitumia kwa maslahi yao na si maslahi ya taifa.Wako kimya juu ya aliyokuwa akipigania Malema,sasa wanajadili juu ya malema wameacha kujadili hoja zake.nilitegemea uamuzi wa kamati ya nidhamu ungeenda sambamba na mjadala wa kitaifa kiserikali na kichama juu ya ajenda za akina Malema.

Kumbe kilichopo ni Zuma kuona fursa adimu kwa bahati mbaya au nzuri akaitumia kabla ya mchakato wa limpopo wiki ijayo.Hawataki akina Phosa na Fikile Mbalula wanufaike na support ya Malema.Pia mshirika wa Zuma Cyril Ramamphosa ame-play role kubwa katika huu mpango.siyo kwa maslahi ya Taifa bali kwa maslahi binafsi

Nimesikitika sana hadi sasa Miongoni mwa wanasiasa Role models wangu hapa Afrika Mashariki Raila Amolo Odinga(Anti-Imperialists) anafanya biashara na Cyril Ramamphosha(kibaraka wa mabeberu).

Sikonge, Asante sana kwa ushauri wako ! Ubarikiwe sana
 
Sikonge,

Shukrani sana kwa ushauri/kunikosoa

Ni kweli nilsema nitawataja kwa kuwa niliona jitihada zinazofanywa kuchafuana huku watu wakiendelea kuamini maneno ya uongo na fitna.Na tabia hii ilianza tangu nilipogombea BAVICHA hadi leo.Post nyingi za aina hiyo huwa nazipuuza isipokuwa siwezi kukubali mtu anichafe kwa kupotosha watu,watu wanaweza kuamini uongo .
Mimi sina makundi na siku zote kwenye uchaguzi hata kama kuna kambi mimi ni mwepesi wa kuvunja makundi

Nakubaliana na wewe kuwa South Africa ni taifa ambalo ni delicate sana.Kilichotakiwa ni uongozi wa ANC na serikali yake kumsaidia Malema na siyo vitisho na kumfukuza kama walivyofanya.

Sikonge,Mbona wewe umenishauri hapa badala ya kunitusi na kunitisha?Mbona wakuu wengine hata hapa kwenye thread wanatumia approach nzuri? Kwa nini ANC wasitumie busara hiyo ku-deal na Malema na vijana wengine kama akina Floyd shivambu?

Sasa mbona ANC wameshindwa kutofautiana na Malema katika approach dhidi ya matatizo? Uamuzi waliochukua unazidi kuwagawa watu wa Afrika kusini kwani wanajua alichosimamia JUJU ni kweli na ndiyo kiu ya raia weusi wa Afrika kusini.

By the way,Uamuzi dhidi ya malema una msukumo binafsi kutoka kwa Zuma na kundi lake.JUJU naye amewapa nafasi adimu mahasimu wake na wakaitumia kwa maslahi yao na si maslahi ya taifa.Wako kimya juu ya aliyokuwa akipigania Malema,sasa wanajadili juu ya malema wameacha kujadili hoja zake.nilitegemea uamuzi wa kamati ya nidhamu ungeenda sambamba na mjadala wa kitaifa kiserikali na kichama juu ya ajenda za akina Malema.

Kumbe kilichopo ni Zuma kuona fursa adimu kwa bahati mbaya au nzuri akaitumia kabla ya mchakato wa limpopo wiki ijayo.Hawataki akina Phosa na Fikile Mbalula wanufaike na support ya Malema.Pia mshirika wa Zuma Cyril Ramamphosa ame-play role kubwa katika huu mpango.siyo kwa maslahi ya Taifa bali kwa maslahi binafsi

Nimesikitika sana hadi sasa Miongoni mwa wanasiasa Role models wangu hapa Afrika Mashariki Raila Amolo Odinga(Anti-Imperialists) anafanya biashara na Cyril Ramamphosha(kibaraka wa mabeberu).

Sikonge, Asante sana kwa ushauri wako ! Ubarikiwe sana

Ndio maana nikakwambia mimi ni kijana kama wewe nakuona unasomething good ukifundishika nawe ukakubali kufundishika,sometimes wewe binafsi unaweza kuwa unamisimamo yako binafsi lakini majority hawakubaliani na misimamo yako basi unakubaliana nao kuchange for the good.Na hicho ndio kipimo cha uelevu.Pia nilikwambia kwenye thread ile kuwa UJANA NAO UNA PULUKUSHANI ZAKE ULIKO AMKIA WEWE KUNA WATU NDIKO WALIKO LALIA.

Hizo siasa zako za against Imperiliast nilikuonya kuwa hii dunia ujaijua my fellow young man,nikawambia sio za kuwekwa sebuleni kila mtu kujua ni mapambo ya sebuleni.Ni kweli kuna vitu ambavyo haviko sawa kwa pande za sisi waafrika dhidi ya mataifa ya magharibi,utatuzi wa maswala yale nikakwambia ni sawa na swali la Mapinduzi ya Cuba Fidel aliulizwa kama aliyafanya na watu 76 leo akiyafanya akasema ataitaji watu watu 16,kwani aamini tena watu 60?Na maana yake ukienda na siasa zako hizo tena mmoja kasema siasa delicate kama za ANC unakwenda kusiko.Usidanganywe na kivuli cha ujana kwamba you cana change africa so fast.

Nilikwambia Africa ina mfumo wake wa kuishi na unamambo yake haya leo hii unashanga,eti unasikitishwa na Raila Mtoto wa Jalamagi Oginga Odinga,ungejua historia ya Baba yake wala usingepata shida.Sometimes we learn the hard way.Unapaswa kujua kuwa wakati mwingine kwa misimamo fulani unabidi kuiondoa ili uweze kuvuka vikwazo ambavyo kwa wakati ule ndio reality [Mfano wa swala la Willy na Uchaguzi wa EALA].

Nyerere alikuwa bingwa wa kupambana na makaburu na dunia nzima ilikuwa inamtambua kwa hilo,lakini na jeuri yake yote ile mwenyewe ilibidi kusurrender na kukubali kufanya kazi na makaburu ndani ya Nchi yake lakini akitoka nje ya Nchi anawapiga vita na kuwasaidia wanaANC hata wakati mwingine kwa pesa hizo hizo alizopewa na makaburu hao hao kwenye biashara za madini.Japo inawezkana hakupenda lakini huna budi yeye mwenyewe anakwambia ukiwapuuza hawa wanakuondoa.

Sasa ukileta mambo ya ujana na habari za ANC,walivyo washenzi wanaweza kuwafadhili nyie mnaojiita vijana mkawa monster [If you describe someone as a monster, you mean that they are cruel, frightening, or evil.],kisha wakapata nafasi njema isiyo na mgogolo ya kuwafanya nyie war Lords kisha wanawafadhili they take Diamonds,Tanzanite,Rubby na Gold while you young stupidy son of the Country mnauwana kama Somaria na ilivyokuwa Congo.


You have to be Intellectul and smart upstairs kujua kuwa unapambana na watu wa aina gani duniani,wewe unaona hivyo wanavyoona wewe na vijana wenzio ebu jiangalieni nani kasomea wapi kila mmoja wenu kisha tafakari sana idea zenu, usije ukapandikizwa idea ambazo kwa juu juu kumbe unapandikizwa chuki ambazo zinakaribiana na ukweli lakini ndani ya njia ovu kuzitatua [Imprialist-Devil Advocate].

Unaitaji sana wazee wakushape uenda ukatumika vizuri,hata mwenyewe sikumuelewa Nyerere mwanzoni baada ya kuwa nilizaliwa na kukulia eneo ambalo ni Capitalist life style nakuja kuona reality wanavyoishi watanzania na kusoma soma vitabu na ufahamu mwingine nikaona kama mbona wamepiga maktaimu na mzee yule.Mungu nilipofikasha umri wa kupambanua mambo kwa upana na kwa msaada wa wazee hakika nilifunguka na kuwa na ufahamu mkubwa sana kuhusu Taifa langu na siasa za dunia kwa upana wake chini ya uongozi wa .Hata wewe jinsi uanavyoowana Imperialist kuna namna yao ya kupambna nayo ambayo ni namna ambayo tunalisishana kwa mtililiko ambao mimi na wewe na wengineo tunalithi kimya kimya bila makelele kisha mnaufanyia kazi kila mmoja kivyake vyake uku wazee baadhi wanakusikilizia kwa mbali tena kwa umakini mkubwa,kumbuka watu 60 watakao achwa na Fidel Casto,manake wapo siku hzi kibao.
 

We stand for good governance and best conducts in our national life. We are calling both our government and our people to order; we must stop the human waste going on across our land.

Our politics and government must change to reflect transparent governance. Our government must be accountable to the people of Tanzania at all times and must work for our general good. Our government must rise to plan and protect the economic well-being of all Tanzania at all times.

Our story must change to that of a focused group of people working to uplift the life of its people. Our lives must change to reflect discipline. Corruption must be tackled in our private and public lives. Our public institutions must be accountable to us; they must wake up to their responsibilities of serving us.

We will achieve this, by coalescing our individual efforts to educate our members and other Tanzanians on better ways to organize our public institutions, by standing for the interest of the silent majority in our land, by supporting the cause of justice and freedom in our country through positive interventions in selected socio-political areas and events.

Through mass sensitization of the goals of the movement, through credible conduct of our activities, we hope to win the hearts of well-meaning Tanzanians. We will carry through a campaign for a total overhaul of our institutions of governance to ensure a better life for our people.

Our task is that of a second national movement after that of Nyerere, Karume, Kawawa and Kambona. Our desire is
to give a full meaning to our nation's Independence as won by our heroes past; and ensure a good life for all Tanzanians.

We stand to defend and protect the well-being of every Tanzanian.
Mhhhh! - Is it not what Chadema as a party fights for?..Is it not WE the mass fight for? My concern is the connections between the two, it sound more of an ambition, youth cohesion aiming at taking down wazee due to growing youth employment crisis. Ben my brodaaa, this may result in destruction of the social adhesion, something we have built for decades now we not only threatened by Udini and tribalism but fear of Ageism.

Young fella, I feel U, I do understand what and where U come from but again, you too young to understand even the Arusha declaration.. A swahili phrase says "Kama hujui ulipotoka huwezi kujua unapokwenda" - Tumetoka wapi?, unahadithiwa tu. Too young even to make decision of your own future, scared of getting married and having a family..And I bet most of you will say - Am still young why rush?. a reason for procrastination, yet ambitiously ready to take bigger role of leading the nation. If you can reasoned out of having a family why is it hard for you to understand the rest.

Having over 50% unemployed young people, more than 70% youth working poor and millions not studying is a huge waste of human capital for societies is as well a lost generation also poses a risk to social cohesion. We all know that socially excluded youth are more likely to engage in risky behaviours including substance abuse, crime, violence, drug trafficking, and other threats to social cohesion and peace. But again this has nothing, and I repeat nothing, to support your claim or even call for youth rebellion against older generation.

Let's work together, call for new and stronger partnerships to create more and better jobs for young people 'cause many studies have shown that being neither working nor studying is strongly associated with the risk of violence and crime. Your party Chadema stand for that, we want all youth to walk with us all together to take down the regime. The regime is the only thing standing in our way, nothing else..
 
Ben lakini mwisho wa siku nilazima tukubaliane kwamba Kama mtu analeta chokochoko kwenye CHAMA kiasi cha kutaka kukiparanganisha ni uamuzi wa busara sana kumtupa nje. Kila siku tunawabeza CCM kwa kushindwa kuwashughulikia watu ambao wamekitikisa chama hicho na mpaka sasa wako ndani ya Chama.

Chadema wamefanya hivyo about two times, recently ni kwa wale madiwani wa Arusha.

NCCR wamefanya hivyo, na sasa wako settled,hata kama ni publicly.

Why not ANC,

Kama Malema ana agenda ya Msingi atafute namna ya kuipresent kwa waafrica kusini, sio lazima afanye hivyo akiwa ANC, Mbona CHADEMA wanatoka Bungeni kila siku na wanakuja kupresent cases zao kwa wananchi na wanaeleweka vizuri zaidi kiasi cha kwamba Bunge linalazimika kula matapishi yake.

Ifikie wakati tukubaliane pia, hata kama wanakosea, Bado wazee wanahaki ya kuheshimiwa.

Nimeipenda hii...that is the only way remain solution for him to prove transparent....mahakama ya juu zaidi dunian ni UMA!
 
Ndio maana nikakwambia mimi ni kijana kama wewe nakuona unasomething good ukifundishika nawe ukakubali kufundishika,sometimes wewe binafsi unaweza kuwa unamisimamo yako binafsi lakini majority hawakubaliani na misimamo yako basi unakubaliana nao kuchange for the good.Na hicho ndio kipimo cha uelevu.Pia nilikwambia kwenye thread ile kuwa UJANA NAO UNA PULUKUSHANI ZAKE ULIKO AMKIA WEWE KUNA WATU NDIKO WALIKO LALIA.

Hizo siasa zako za against Imperiliast nilikuonya kuwa hii dunia ujaijua my fellow young man,nikawambia sio za kuwekwa sebuleni kila mtu kujua ni mapambo ya sebuleni.Ni kweli kuna vitu ambavyo haviko sawa kwa pande za sisi waafrika dhidi ya mataifa ya magharibi,utatuzi wa maswala yale nikakwambia ni sawa na swali la Mapinduzi ya Cuba Fidel aliulizwa kama aliyafanya na watu 76 leo akiyafanya akasema ataitaji watu watu 16,kwani aamini tena watu 60?Na maana yake ukienda na siasa zako hizo tena mmoja kasema siasa delicate kama za ANC unakwenda kusiko.Usidanganywe na kivuli cha ujana kwamba you cana change africa so fast.

Nilikwambia Africa ina mfumo wake wa kuishi na unamambo yake haya leo hii unashanga,eti unasikitishwa na Raila Mtoto wa Jalamagi Oginga Odinga,ungejua historia ya Baba yake wala usingepata shida.Sometimes we learn the hard way.Unapaswa kujua kuwa wakati mwingine kwa misimamo fulani unabidi kuiondoa ili uweze kuvuka vikwazo ambavyo kwa wakati ule ndio reality [Mfano wa swala la Willy na Uchaguzi wa EALA].

Nyerere alikuwa bingwa wa kupambana na makaburu na dunia nzima ilikuwa inamtambua kwa hilo,lakini na jeuri yake yote ile mwenyewe ilibidi kusurrender na kukubali kufanya kazi na makaburu ndani ya Nchi yake lakini akitoka nje ya Nchi anawapiga vita na kuwasaidia wanaANC hata wakati mwingine kwa pesa hizo hizo alizopewa na makaburu hao hao kwenye biashara za madini.Japo inawezkana hakupenda lakini huna budi yeye mwenyewe anakwambia ukiwapuuza hawa wanakuondoa.

Sasa ukileta mambo ya ujana na habari za ANC,walivyo washenzi wanaweza kuwafadhili nyie mnaojiita vijana mkawa monster [If you describe someone as a monster, you mean that they are cruel, frightening, or evil.],kisha wakapata nafasi njema isiyo na mgogolo ya kuwafanya nyie war Lords kisha wanawafadhili they take Diamonds,Tanzanite,Rubby na Gold while you young stupidy son of the Country mnauwana kama Somaria na ilivyokuwa Congo.


You have to be Intellectul and smart upstairs kujua kuwa unapambana na watu wa aina gani duniani,wewe unaona hivyo wanavyoona wewe na vijana wenzio ebu jiangalieni nani kasomea wapi kila mmoja wenu kisha tafakari sana idea zenu, usije ukapandikizwa idea ambazo kwa juu juu kumbe unapandikizwa chuki ambazo zinakaribiana na ukweli lakini ndani ya njia ovu kuzitatua [Imprialist-Devil Advocate].

Unaitaji sana wazee wakushape uenda ukatumika vizuri,hata mwenyewe sikumuelewa Nyerere mwanzoni baada ya kuwa nilizaliwa na kukulia eneo ambalo ni Capitalist life style nakuja kuona reality wanavyoishi watanzania na kusoma soma vitabu na ufahamu mwingine nikaona kama mbona wamepiga maktaimu na mzee yule.Mungu nilipofikasha umri wa kupambanua mambo kwa upana na kwa msaada wa wazee hakika nilifunguka na kuwa na ufahamu mkubwa sana kuhusu Taifa langu na siasa za dunia kwa upana wake chini ya uongozi wa .Hata wewe jinsi uanavyoowana Imperialist kuna namna yao ya kupambna nayo ambayo ni namna ambayo tunalisishana kwa mtililiko ambao mimi na wewe na wengineo tunalithi kimya kimya bila makelele kisha mnaufanyia kazi kila mmoja kivyake vyake uku wazee baadhi wanakusikilizia kwa mbali tena kwa umakini mkubwa,kumbuka watu 60 watakao achwa na Fidel Casto,manake wapo siku hzi kibao.


DSN,

Shukrani sana kwa mchango wako,nitaendelea kujifunza kwa wengine kupitia debate.

1.Kwenye aya ya kwanza hebu jaribu kupitia kitabu cha Daron Acemoglu na James Robinson titled WHY THE NATIONS FAIL, The origin of power,Prosperity and Poverty. Halafu rejea Democracy and Its Discontents ,mwandishi ni Daron bado.Tunaishi katika dunia yenye demokrasia zaidi na uhuru wa mawazo kuliko enzi za mababu zetu.Demokrasia pia mara nyingi inakabiliwa na changamoto na ukosoaji. Wakati mwingine ni lazima uhoji manufaa ya jambo kulingana na wakati husika in regardless of the number of people who support the course.Ni ukweli tu unaoleta kiizio cha maamuzi.ukweli wa hali halisi (reality ) hautegemei kura za wengi. Ndiyo maana Mwalimu J.K Nyerere na serikali ya Ali Hassan mwinyi waliamua kuruhusu mfumo wa vyama vingi kulingana na reality.Kulingana na trend ya dunia na hali halisi wakaamua kwenda against na 80% ya watanzania waliopinga mfumo wa vyama vingi. rjea maandishi ya Walter Lippmann kwenye public opinion.

Pia soma The Revolt of Masses kilichoandikwa na Ortega Y. Gasset.Kilijadili juu ya hatari ya kuhusisha au kushirikisha umma katika maamuzi ya kisiasa lakini yenye manufaa makubwa kwa taifa na kujenga dira ya jamii fulani yenye heshima miongoni mwa jamii nyingine.

"These voices have become even louder recently by those who contrast the speed with which authoritarian China has been able to deal with the global recession to the raucous wrangling in the US. So has democracy run its course?

We don't think so. In fact, inclusive political institutions must be truly democratic, giving voice to every segment of society, regardless of education and income. Though democracies are sometimes captured by elites or special interests and often disorderly, non-democratic systems are much more likely to be captured and serve as the foundation of extractive political and economic institutions.
Of course, the decisions that democratic systems take will sometimes be misguided. But then again, so will the decisions taken by any other political system, any group, or any individual. Democratic politics will also lead to decisions and procedures that elites of all types dislike. Yet this is often not because the electorate's ignorance or shortsightedness, but because their interests diverge from those of elites, and also because the educated elite doesn't like giving up its monopoly on preaching what society should do".


Tafakari sasa aya yako ya kwanza mkuu wangu halafu uoanishe na reality ya hali iliyopo sasa na tuendako ya taifa letu.

DSN,Nakubaliana na trick za nyerere alivyo-deal na makaburu. Nyerere alifanya hivyo bila ku-compromise principle zake.Alijua alichokuwa anafanya kulingana na wakati huo.Vile vile nahusudu sana trick za Mwanamapinduzi Gamal Abdel Nasser wa Misri kipindi cha cold war alivyobadilika kulingana na mahitaji ya wakati husika na kuwa kiongozi wa kwanza wa nchi za dunia ya tatu kuwa-play mataifa yenye nguvu (Soviet union na United States).Rejea Suez Crisis and the imperialists ambition

Hapo kwenye Monster nakubaliana na wewe.hiyo ni valid kwa fragile young generation ambayo inatafuta opportunity at anya coast.ninachokifanya ni kujaribu kuepuka hayo.Nafanya hivi nikitambua fursa na hasara inayoambatana na mazingira halisi especially kwa hapa tukofikia.Ndiyo maana huu mfano wako naona unafanana na lile kundi la kimafia (cartel ya Drugs) linasifiwa sana kwa kuwa liko karibu na jamii na linaitumia kama njia ya kuhalalisha uharamia wao.Lile kundi lina social support kwa kuwa linajenga barabara,shule,zahanati sehemu ambako serikali imeshindwa

Katika harakati hizi na katika kutafuta ukombozi wa pili wa taifa hili nakubali kwamba wazee hawawezi kutengwa ni lazima wawe na sehemu yao na kutushauri.Wazee wana busara,si kila mzee ana busara.Vijana wana nguvu na mawazo mapya lakini si kila kijana yuko hivyo.

tuangalie njia za kubadili fikra na mitizamo yetu,ninachoona hapa kuna dalili ya kuwa taifa la kupiga sarakasi na kurudi sehemu ile ile.Tupanue wigo wa kupokea mawazo kwa njia ya kidemokrasia na scrutiny ya kutosha ya kila idea.Democracy kama nilivyosema pia ina mapungufu yake lakini inaweza kuwa chanzo kizuri cha raslimali.mawazo ni raslimali,Tukiweza kuji-define na kujua tunaelekea wapi nadhani itakuwa rahisi mimi na wewe,sisi na wengine na jamii ya watanzania kwa ujumla kutuelewa.ni mwanzo wa kubadilika kifikra na kuheshimu kila group katika society,itakuwa ni mwanzo wa kila kundi kujitambua na ku-play role yake
 

We stand for good governance and best conducts in our national life. We are calling both our government and our people to order; we must stop the human waste going on across our land.

Our politics and government must change to reflect transparent governance. Our government must be accountable to the people of Tanzania at all times and must work for our general good. Our government must rise to plan and protect the economic well-being of all Tanzania at all times.

Our story must change to that of a focused group of people working to uplift the life of its people. Our lives must change to reflect discipline. Corruption must be tackled in our private and public lives. Our public institutions must be accountable to us; they must wake up to their responsibilities of serving us.

We will achieve this, by coalescing our individual efforts to educate our members and other Tanzanians on better ways to organize our public institutions, by standing for the interest of the silent majority in our land, by supporting the cause of justice and freedom in our country through positive interventions in selected socio-political areas and events.

Through mass sensitization of the goals of the movement, through credible conduct of our activities, we hope to win the hearts of well-meaning Tanzanians. We will carry through a campaign for a total overhaul of our institutions of governance to ensure a better life for our people.

Our task is that of a second national movement after that of Nyerere, Karume, Kawawa and Kambona. Our desire is
to give a full meaning to our nation's Independence as won by our heroes past; and ensure a good life for all Tanzanians.

We stand to defend and protect the well-being of every Tanzanian.
Mhhh!! 'The Gods Must be Crazy' is a South African comedy film.
 
Ben,
Nashukuru sana kwamba unajaribu sana kujieleza na kutupa darsa ya makusudio yenu vijana lakini bado hujanieleza ni wapi tunapokosea na vijana wataweza kbadilisha. Siku zote nasema somo kubwa la kuibadilisha Tanzania lazima lianze na kutazama WATU na MAZINGIRA tulonayo hivyo sidhani kama vijana wote wako tayari kubadilika wao kuwa tofauti, kuwaza tofauti aidha kiitikadi au kimfumo isipokuwa wanachokitaka ni nafasi yao kuingia na kuongoza mfumo huu huu uliopo. Ndivyo tulivyowasikia kina Zitto na Makamba ktk marsha ile ya vijana.

Nafasi inayoombwa ni ya vijana kushiriki kugombea urais kupinga sheria inayowakataza vijana hadi wafikirie umri wa miaka 45, sheria hii inatumiwa na kupingwa kama vile wanawake walivyokataliwa zamani kugombea uongozi ktk nchi nyingine. Hili ndilo swala zima ni kutengwa kwa vijana kugombea Urais otherwise sehemu zote vijana wanafanya kazi wanarhusiwa kisheria na sidhani kama kuna kikwazo.. Hivyo mchango wao tunauona na uko wazi kwamba hawana tofauti kimawazo na wazee wao. Rudia kaisikilize hotuba ya mwalimu ya mwaka 1995 ktk mkutano wa CCM Dodoma iko Youtube mkuu wangu utamsikia mzee wetu akituambia wazi kwamba tunamhitaji kiongozi wa aina gani.. Kiongozi ambaye ataweza kuondoa RUSHWA, UDINI na UKABILA na kufahamu kwamba nchi hii bado ni ya WAKULIMA na WAFANYAKAZI .. Hii wakulima na wafanyakazi tayari inawaashiria vijana kuandaliwa kupewa ajira hizo.

Sisi ndio kwanza tunataka tuchimbe mafuta na gas tuwe na maghorofa kama Dubai au Saudia, jamani hawa waarabu wana vipaji vya Uchuuzi wanajulikana kama wamejaaliwa uchuuzi (merchant) toka enzi za mitume na ardhi yao haina rutuba ya kilimo na hizi ndio rasilimali walijaaliwa na mwenyezi Mungu, bado sisi tunataka kuiga tuuu kutafuta utajiri wa haraka kuwekeza zaidi ktk madini na utalii vyanzo ambayo havizai ajira nyingi za kutosheleza ama kulingana na growth ya population yetu. Hizi ni ndoto za maskini mkuu wangu tunagawana tu umaskini na nyie vijana mnataka kupewa kipande cha keki hii ya umaskini - nothing else, Samahani lakini mtanisamehe vijana, mimi sina unafiki..

Labda nikukumbushe tena ya kwamba sisi tuliingia na kufuata demomkrasia ya vyama vingi kwa kulazimishwa tu, tuliingia Ubepari 1985 lakini vyama vingi tumeingia 1992 baada ya kulazimishwa na IMF ktk masharti yao..ya Demnokrasia na Ubinafsishaji..Inajulikana hivyo Nyerere na Mwinyi hawakuwa na usemi zaidi ya kusema - Ewallah bwana!..Haikuwa busara ya Nyerere wala Mwinyi bali tuliingizwa mkenge kwa sababu demokrasia yetu haitofautiani kiitikadi bali Upinzani wetu ni against chama CCM. Tunaunda vyama kama club za mpira tukisubiri ushindani wakati wa uchaguzi na ndio maana CCM wakifanya vibaya utaona Chadema au CUF tunashangilia badala ya kufedheheka. CUF wakivurunda tunawacheka badala ya kusikitika..JK akichemsha tunamzomea badala ya kukosa imani..Hii ndio demokrasia tuloivamia na itatumaliza maana sivyo ilivyokusudiwa kufanya kazi..

Na kitu kingine n kwamba Demokrasia ina mabaya yake ambayo sisi hatukuyatazama. Demokrasia ndiyo iliyoigawa Ulaya kuwa mataifa mengi ktk nchi ndogo sana wakigombania kibande kidogo cha ardhi na hivyo sii tu kupambana na kutawaliwa bali pia kujitambulisha kwa makabila na race zao kudsai haki ya ardhi na nchi zao. Ni hii demokrasia tunayoiona leo ikibomoa hata ramani ya Afrika, Leo tunaaza kugawana ardhi kwa race zetu tumeyaona Sudan, na Mali wakati huko Libya utawala wa Sultan umerudishwa na weusi wanafukuzwa. zanzibar nao tusiwasahau maana ni ktk kudai demokrasia hiyo hiyo ya ubaguzi wa makundi kijamii kwa kudai haki yao ya msingi kujitawala..

Watu wengi sana wanashindwa hata kuelewa ya kwamba hata Wayahudi hawakurudi Isrtael kwa kupenda bali walikataliwa na matifa ya Ulaya wakati ule wakatafutiwa nchi wakaishi japokuwa wengi walizaliwa huko kwa zaidi ya vizazi vitatu. Kwanza walitaka kupelekwa Uganda ikashindikana na ndio wakafanya mpango kuwarudisha Israel wakati huo ikiitwa Palestine kakam wanarudi nyumbani. But the all Idea ni kwamba Wayahudi walichukuliwa kama wakimbizi watu wa kuja Ulaya na hawakutakiwa kwa sababu hawakutazamwa kama ni raia ama jamii ya nchi hizo..

Kwa hiyo sikushangai unachozungumza hapo juu kwa kutumia demokrasia maana demokrasia sio tunaitafuta uhuru na haki ya makundi ya watu bali pia inajenga utengano baina ya watu. Kama hivi sasa unapolilia haki ya Vijana akili yako inakutuma kutengana na wazee unawaona wanaleta kiza. Hii ndio demokrasia na itatumaliza nchi za kiAfrika kwa sababu sio kitu tulichokitaka tofauti na nchi za Ulaya ambao kwao miaka 100 iliyopita walitaka kugawanyika wakati sisi tulitaka na bado tunataka kuungana. Wao leo kutokana na kugawanyika kwao kunawapa shida sana kuunda Umoja wa nchi za Ulaya nasi ati leo tunafikiria tena kuungana hali bado tukidai haki za makundi ya kijamii ndani nchini - HAITAWEZEKANA.
 
Ben,
Nashukuru sana kwamba unajaribu sana kujieleza na kutupa darsa ya makusudio yenu vijana lakini bado hujanieleza ni wapi tunapokosea na vijana wataweza kbadilisha. Siku zote nasema somo kubwa la kuibadilisha Tanzania lazima lianze na kutazama WATU na MAZINGIRA tulonayo hivyo sidhani kama vijana wote wako tayari kubadilika wao kuwa tofauti, kuwaza tofauti aidha kiitikadi au kimfumo isipokuwa wanachokitaka ni nafasi yao kuingia na kuongoza mfumo huu huu uliopo. Ndivyo tulivyowasikia kina Zitto na Makamba ktk marsha ile ya vijana.

Nafasi inayoombwa ni ya vijana kushiriki kugombea urais kupinga sheria inayowakataza vijana hadi wafikirie umri wa miaka 45, sheria hii inatumiwa na kupingwa kama vile wanawake walivyokataliwa zamani kugombea uongozi ktk nchi nyingine. Hili ndilo swala zima ni kutengwa kwa vijana kugombea Urais otherwise sehemu zote vijana wanafanya kazi wanarhusiwa kisheria na sidhani kama kuna kikwazo.. Hivyo mchango wao tunauona na uko wazi kwamba hawana tofauti kimawazo na wazee wao. Rudia kaisikilize hotuba ya mwalimu ya mwaka 1995 ktk mkutano wa CCM Dodoma iko Youtube mkuu wangu utamsikia mzee wetu akituambia wazi kwamba tunamhitaji kiongozi wa aina gani.. Kiongozi ambaye ataweza kuondoa RUSHWA, UDINI na UKABILA na kufahamu kwamba nchi hii bado ni ya WAKULIMA na WAFANYAKAZI .. Hii wakulima na wafanyakazi tayari inawaashiria vijana kuandaliwa kupewa ajira hizo.

Sisi ndio kwanza tunataka tuchimbe mafuta na gas tuwe na maghorofa kama Dubai au Saudia, jamani hawa waarabu wana vipaji vya Uchuuzi wanajulikana kama wamejaaliwa uchuuzi (merchant) toka enzi za mitume na ardhi yao haina rutuba ya kilimo na hizi ndio rasilimali walijaaliwa na mwenyezi Mungu, bado sisi tunataka kuiga tuuu kutafuta utajiri wa haraka kuwekeza zaidi ktk madini na utalii vyanzo ambayo havizai ajira nyingi za kutosheleza ama kulingana na growth ya population yetu. Hizi ni ndoto za maskini mkuu wangu tunagawana tu umaskini na nyie vijana mnataka kupewa kipande cha keki hii ya umaskini - nothing else, Samahani lakini mtanisamehe vijana, mimi sina unafiki..

Labda nikukumbushe tena ya kwamba sisi tuliingia na kufuata demomkrasia ya vyama vingi kwa kulazimishwa tu, tuliingia Ubepari 1985 lakini vyama vingi tumeingia 1992 baada ya kulazimishwa na IMF ktk masharti yao..ya Demnokrasia na Ubinafsishaji..Inajulikana hivyo Nyerere na Mwinyi hawakuwa na usemi zaidi ya kusema - Ewallah bwana!..Haikuwa busara ya Nyerere wala Mwinyi bali tuliingizwa mkenge kwa sababu demokrasia yetu haitofautiani kiitikadi bali Upinzani wetu ni against chama CCM. Tunaunda vyama kama club za mpira tukisubiri ushindani wakati wa uchaguzi na ndio maana CCM wakifanya vibaya utaona Chadema au CUF tunashangilia badala ya kufedheheka. CUF wakivurunda tunawacheka badala ya kusikitika..JK akichemsha tunamzomea badala ya kukosa imani..Hii ndio demokrasia tuloivamia na itatumaliza maana sivyo ilivyokusudiwa kufanya kazi..

Na kitu kingine n kwamba Demokrasia ina mabaya yake ambayo sisi hatukuyatazama. Demokrasia ndiyo iliyoigawa Ulaya kuwa mataifa mengi ktk nchi ndogo sana wakigombania kibande kidogo cha ardhi na hivyo sii tu kupambana na kutawaliwa bali pia kujitambulisha kwa makabila na race zao kudsai haki ya ardhi na nchi zao. Ni hii demokrasia tunayoiona leo ikibomoa hata ramani ya Afrika, Leo tunaaza kugawana ardhi kwa race zetu tumeyaona Sudan, na Mali wakati huko Libya utawala wa Sultan umerudishwa na weusi wanafukuzwa. zanzibar nao tusiwasahau maana ni ktk kudai demokrasia hiyo hiyo ya ubaguzi wa makundi kijamii kwa kudai haki yao ya msingi kujitawala..

Watu wengi sana wanashindwa hata kuelewa ya kwamba hata Wayahudi hawakurudi Isrtael kwa kupenda bali walikataliwa na matifa ya Ulaya wakati ule wakatafutiwa nchi wakaishi japokuwa wengi walizaliwa huko kwa zaidi ya vizazi vitatu. Kwanza walitaka kupelekwa Uganda ikashindikana na ndio wakafanya mpango kuwarudisha Israel wakati huo ikiitwa Palestine kakam wanarudi nyumbani. But the all Idea ni kwamba Wayahudi walichukuliwa kama wakimbizi watu wa kuja Ulaya na hawakutakiwa kwa sababu hawakutazamwa kama ni raia ama jamii ya nchi hizo..

Kwa hiyo sikushangai unachozungumza hapo juu kwa kutumia demokrasia maana demokrasia sio tunaitafuta uhuru na haki ya makundi ya watu bali pia inajenga utengano baina ya watu. Kama hivi sasa unapolilia haki ya Vijana akili yako inakutuma kutengana na wazee unawaona wanaleta kiza. Hii ndio demokrasia na itatumaliza nchi za kiAfrika kwa sababu sio kitu tulichokitaka tofauti na nchi za Ulaya ambao kwao miaka 100 iliyopita walitaka kugawanyika wakati sisi tulitaka na bado tunataka kuungana. Wao leo kutokana na kugawanyika kwao kunawapa shida sana kuunda Umoja wa nchi za Ulaya nasi ati leo tunafikiria tena kuungana hali bado tukidai haki za makundi ya kijamii ndani nchini - HAITAWEZEKANA.

Asante sana Mkandara,

Brother,Kwa kuwa hali iliyopo ni kwamba vijana wengi hawako tayari kubadili huu mfumo basi inabidi vijana wenzao tupambane kuhakikisha attitude inabadilika.ndiyo maana YPM inataka kuwaamsha vijana wengi na tuwaelimishe kwamba mfumo huu tuliozaliwa,tukakua na kuuzoea siyo wenyewe.Hatuwezi kufanikiwa kama taifa na kuwa na meaningful change kama hatutapigania kubadili fikra,ili tubadili system. Gordon wood aliandika kwenye kitabu chake cha The founding fathers.Hiyo falsafa ya Watu na MAZINGIRA ni nzuri na pana sana.What he reveals is that it was their strong sense of public character and duty that separated them from not only the mainstream of their time but the mainstream thought that prevails today.

Wood argues that you cannot separate the Founding Fathers from their era, they lived under a very different set of circumstances, and responded to these circumstances in their own unique ways. Since so much of their writings and journals have survived down through the ages,it makes these early statesmen prime subjects for psycho-analysis, but what Wood tries to do is take the position of an observer, looking into their conduct as one would in the late 18th and early 19th centuries.So,mazingira ya sasa na watu (vijana bila kumaanisha ubaguzi kwa wazee) tunaweza kutumia muda huu kubadili mfumo huu na kuufanyia mapinduzi.Tufanye siasa za itikadi zaidi(ingawa siasa za kiitikadi kwa maskini asiye na mlo ni kazi).

Mkuu,Ni kweli nakubaliana na wewe kuhusu aina ya siasa zetu tunazofanya.Mara nyingi nimesema demokrasia ya magahribi itatumaliza.Tuliichukua ilivyo na mapungufu yake bila alteration yoyote ku-suit MAZINGIRA yetu.Leo inatucharaza bakora,tumerithi Bakora za Magharibi (mapungufu ya demokrasia) halafu kila mmoja anasikilizia maumivu kivyake.

Ukiongelea kuhusu mgawanyiko wa Europe nakubaliana na wewe.Wakati mwingine nakumbuka kuna siku ulitoa somo moja la kifalsafa sana kwamba ukiwa unapita barabarani gizani ukakanyaga/ukaingia kwenye dimbwi la tope hautaruka mbele zaidi,bali utarudi nyuma zaidi uanze kuitafuta njia. hicho ndicho walichofanya Europe.Ndicho tunachotakiwa kufanya sasa.Tunajadili kama western democracy ni suitable kwetu bila kuzingatia mazingira.nilishandika huku sana kuhusu hili. Ni lazima tufikie hatua kama unavyoona hapa kuna mgawanyiko at the same time tunalilia Unification. Kwa mtazamo wangu huu ni mchakato tu wa kurahisisha huko tunakotaka kufika.Hata sasa Muungano wetu na Zanzibar ukitushinda tunaweza kufikiria uvunjike ili kila nchi irudi mezani ikiwa na heshima na tuungane tuwe na muungano bora zaidi(falsafa ya Giza na dimbwi la tope ina-apply hapa)

cultural values are dynamic.Also we need a system that encourages checks and balances.Unaweza kuona ukifanya decentaralization ni inasaidia katika checks and balances kwa Taifa kama Tanzania kama tungeingia kwenye full federalism(huu ni mjadala mwingine) lakini tukihakikisha hatutoki nje ya Track ya Pan African au Regional Integration kama advanced community.
democracy is not a perfect system in heterogenous human societies. One group, people will always seek to outdo the other except there is a commonality shared amongst majarity of the people.

What democratic establishments try to do regardless of wheter it is western or otherwise is to cretae the need for objective analysis and the need to do away with prejudice. when those 2 things improve ( ie more objective awareness and less prejudice ) people are able to focuss on relevant issues in order to demand accountabilty. until a society reaches such stage, the quickest route to any meaningful thing been achieved is to unite people around a commonality say faith, human rights, culture or common intersets.

The western style we are practicing is not very different from what is practiced anywhere on earth or pre-colonial era but a bit compromised according to our reality(Mazingira Philosophy). But again,what we should be concerned about are pressure groups in democratic systems and also demand accountability. First we should ensure that our electoral systems are free and fair. then when leaders mess up we chase hem. by this they will know they are accountable to us the electorate.

Talking about western democracy,What we need is sincerity,accountability and positive objectives for the good of all.
Be it communism,we have to draw a line between good and evil,between sanity and insanity,between building and destruction,between criminality and civility,between law and lawlessness,between reasoning and irrationality,if you are not on the good side,you be on the bad side and happens to bad people in the society?they go to jail or be taken care of which ever way possible.

Be it the president,nobody should be above the law,we have to live by the tenets of what of what we call law,it doesn't have to be the whiteman's impose laws we are practicing today,that white people design to protect them against africans,still wearing whiteman's gowns and wigs in the bleeping heat,looking like caricatures of white people in parliament,colo.

Until Tanzanians (especially the populace group-youths) decide to change this attitude, there's no system of government that can work in that country

The world is ours,we got to work it out
 
Ben,
Mkuu wangu alichoandika Gordon wood ni vitu vilivyotokea miaka 300 iliyopita yaani mawazo ya vizazi vya karne tatu zilizopita tofauti kabisa na sisi ambao hata generation moja haijapita. Bado tunao wazee waliasisi Uhuru wetu wakiwa hai na wanafuata sheria na kanuni ambazo zimelijenga Taifa hili. Na pengine niseme kibaya zaidi tumeshatoka ktk misingi ya ujenzi wake na leo hii hatuna hata dira.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kitabu cha Wood na mazingira yetu. Kwa mfano miaka 300 iliyopita utumwa ndio ilikuwa nguvukazi hawakuwa na matrekta ya kulima, Cranes za kujenga nyumba, magari ya kubeba mizigo na kadhalika, hivyo wazee wao walifikiria njia pekee ya kuwawezesha haya ilikuwa kupitia nguvu kazi ya Watumwa hadi pale fikra mpya za kurahisisha mahitaji hayo zilipopatikana waka abolish Utumwa. Wanasema - Necessity is the mother of invetion, wewe leo hii unataka ku invent nini tofauti ikiwa hadi leo hii kila household Mtanzania ana wajakazi (underpaid) wa kumpikia chakula, kulea mtoto, kufagia, kufua nguo na hata chupi zao karne hii ya 21.
- By the way nakupata sana uloyaandika ni mazito sana.. ubarikiwe.
 
Hiyo hatari unayoiongelea kila siku kuhusu Zitto, Bashe, Ben, ni hatari gani Watanzania sio watu wa kishikiwa akili wana maamuzi yao! Sasa unasema hatari halafu unaweka picha za wanawake tunashindwa kukuelewa.
Kwa mara ya kwanza leo nimelike post yako...
 
Ben,
Mkuu wangu alichoandika Gordon wood ni vitu vilivyotokea miaka 300 iliyopita yaani mawazo ya vizazi vya karne tatu zilizopita tofauti kabisa na sisi ambao hata generation moja haijapita. Bado tunao wazee waliasisi Uhuru wetu wakiwa hai na wanafuata sheria na kanuni ambazo zimelijenga Taifa hili. Na pengine niseme kibaya zaidi tumeshatoka ktk misingi ya ujenzi wake na leo hii hatuna hata dira.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kitabu cha Wood na mazingira yetu. Kwa mfano miaka 300 iliyopita utumwa ndio ilikuwa nguvukazi hawakuwa na matrekta ya kulima, Cranes za kujenga nyumba, magari ya kubeba mizigo na kadhalika, hivyo wazee wao walifikiria njia pekee ya kuwawezesha haya ilikuwa kupitia nguvu kazi ya Watumwa hadi pale fikra mpya za kurahisisha mahitaji hayo zilipopatikana waka abolish Utumwa. Wanasema - Necessity is the mother of invetion, wewe leo hii unataka ku invent nini tofauti ikiwa hadi leo hii kila household Mtanzania ana wajakazi (underpaid) wa kumpikia chakula, kulea mtoto, kufagia, kufua nguo na hata chupi zao karne hii ya 21.
- By the way nakupata sana uloyaandika ni mazito sana.. ubarikiwe.

Shukrani Mkuu,

nilitumia Falsafa ya maandishi ya Prof. Gordon sterwart Wood kujenga mantiki ya Harakati na mtizmo wa issues katika muda muafaka.Nilioanisha na falsafa yako ya WATU na MAZINGIRA na ziada ya MUDA

Brother,It's true Necessity is the mother of invention.The very fact that the Western style allows for mischief is an indication of it's flaws. Any implementation of a fool proof system must be easy, unless the fool proof system is not fool proof in the first place. In which case, we must discard the system as open to manipulation and seek ways suited to ourselves,kama nilivyosema hapo juu.

Otherwise thanks alot,Nimejifunza sana kutoka katika hoja zako mkuu wangu.Asante kwa Lecture nzuri.tungekuwa Dar ningekutafuta jioni hii nidowee kahawa nizidi kupata mhadhara murua ! shukrani sana Comrade ....
 
Ma2mbo na Emmy,

Nimekuwa JF kwa miaka 5 sijawahi kuwa na ID tofauti na hii. Nipo tayari mitizamo yangu iniweke matatani kuliko kuwa na ID tofauti.

Hawa wanaonichafua akina Nuclear1 na Erwin Sizinga tangu uchaguzi wa Bavicha wapo hapa hata facebook kwa ID zao.Kumtaja Sizinga na ku-link na ID yake facebook sijavunja sheria za JF.Unaweza kuwafuata huko uwajue zaidi.....Nashanga mtu kuja kujifanya ananijua just because he knows a little about me anakubali kutumika kijinga jinga kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.Mabandiko ya Sizinga katika jitihada za kunichafua na wenzake yapo humu.Ipo siku nitawataja wanaowatumia hawa na sitaogopa kumvunjia mtu heshima

ben,Kutaja majina ya watu hapa na kutoa link na
facebook hujavunja kanuni za jamii forums?
 
Ben mwaka 2015 ni mbunge utake uctake.... Nipo nae bega kwa bega on spreading the movement for democratic change.
 
Ben mwaka 2015 ni mbunge utake uctake.... Nipo nae bega kwa bega on spreading the movement for democratic change.
Asante sana Vmark,

Tuko pamoja sana kaka! Tuombe Mungu atupe uzima.Tuendelee kujenga chama chetu tufike kwa umoja
 
Back
Top Bottom