CHADEMA ni chama kikubwa lakini hakina mipango makini

CHADEMA ni chama kikubwa lakini hakina mipango makini

Hebu tutajie hao watu kwenye ACT wenye akili nyingi
 
Act chama cha waha, wakisifiwa kidogo tu vichwa vinakuwa vikubwa na hata kama sifa nizakijinga kwao ni raha tu
 
"Nawapongeza sana ACT Wazalendo kwa kuwezesha kufanyika kwa Mkutano wa Demokrasia. Nawapongeza kwa kutufungua macho na kututoa matongotongo juu ya namna bora ya uendeshaji wa siasa za vyama vya siasa. Kwenye hili mmeonyesha njia na mnapaswa kuigwa. Zaidi mmeonyesha kuwa ACT Wazalendo si Chama cha Uchaguzi Mkuu tu.

Inasikitisha kuwa Chama kikubwa CCM na Asasi kubwa za Siasa nchini za CUF na CHADEMA vyote havina Makongamano ya Kisera (Policy Convention). Ni hatari zaidi kwa CCM kwa kuwa ni Chama chenye kuongoza Dola. Maana kama huna Policy Convention unaibua wapi Sera mpya? Ukisikia wamekutana ni uchujaji majina, ratiba ya uchaguzi, kujaza nafasi na Uchaguzi Mkuu tu. Hivyo sina budi kwa mwanzo huu mzuri. Sijafuatilia kujua kilichojiri zaidi ya kuokoteza mrejesho hapa na pale. Sina mashaka mtaendelea na utamaduni huu. Hongereni sana."

Chanzo: Mfuatiliaji wa Siasa za Tanzazania
 
Kwani CHADEMA inatakiwa kufanya wanachofanya ACT au CCM,CHADEMA ni taasisi kubwa ina mipango yake kwa miaka 20 ijayo.Na hutakuja kuona "akili nyingi" ACT wakiilaza na viatu "akili nyingi" wenzao CCM,ila utaendelea kuona "akili ndogo" CHADEMA wakiendelea kuipigisha kwata CCM kila baada ya mwezi mmoja.NYIE PANGENI SISI TUNATENDA,MIPANGO SIYO MATUMIZI.
Ukiuliza mipango ya miaka 20 ijayo chadema iko wapi hutaipata popote. Unasema usilolijua. Mipango imo vichwani mwa kila kiongozi na haifanani. Kila mtu ana sera zake kichwani na zinalipuka kutegemea na mazingira aliyopo. Hahaha. Sijui ni chama cha namna gani.
 
Ukiuliza mipango ya miaka 20 ijayo chadema iko wapi hutaipata popote. Unasema usilolijua. Mipango imo vichwani mwa kila kiongozi na haifanani. Kila mtu ana sera zake kichwani na zinalipuka kutegemea na mazingira aliyopo. Hahaha. Sijui ni chama cha namna gani.
Babeli is stupid.
 
Dr_ Slaa.jpg
TAZAMA MVUTO....TUTAKUKUMBUKA DR.,SIASA ZIMEKUWA BORING.
 
Mipango makani iliondoka na Slaa, CDM ya sasa ni Mkusanyiko wa watu wenye mihemko ya Matamko hawana muda wa kufanya mipango wanafikiria next day headline
 
Ni katika uhuru wa mawazo natafakari hili, demokrasia katika Africa imekuwa na maigizo mengi sana, mara nyingi vyama tawala bila kujali kukubalika kwake na wananchi vimekuwa vikitumia dola na fursa ya utawala kujihakikishia utawala wa milele. uhuru wa kidemocrasia wa vyama pinzani umekuwa ukibanwa pasipo sababu za msingi.

Ili vyama vya upinzani viweze kwenda mbele vinahitaji watu makini wenye weledi na ujanja wa kisiasa kutumia fursa ndogo wanazozipata kujitangaza na kujenga hoja madhubuti na kufanya chama tawala "kihahe".

Ni miezi michache iliyopita shughuli za kisiasa za vyama ni kama ilikuwa imepigwa marufuku kabisa, sasa angalau mikutano ya ndani imeruhusiwa.

nilitegemea fursa hii ya kuruhusiwa mikusanyiko ya ndani kwa chama kikubwa kama CHADEMA ingeitumia vizuri ili kuhalalisha madai yao ya kubanwa kisiasa. na kwa kuwa chama kina mtandao wa nchi nzima pengine zingeibuliwa hoja mbalimbali zenye kuonyesha mapungufu ya kiutendaji ya serikali na pengine kushauri maeneo ya kuboresha, yote ni katika kuletea maendeleo taifa letu.

ACT wazalendo pengine ni chama kinacho onekana kidogo kilicho na mbunge mmoja tu, wao wameiona fursa hii jana walikuwa na mkutano wa kidemocrasia uliokuwa na waliikwa mbalimbali, sitajikita sana ya nini kilijadiliwa ila kitendo cha ACT kufanya mkutano ule wa ndani kwa ufanisi, kinafanikiwa zaidi kujitangaza na wameonesha kuwa wanaweza kutumia fursa ndogo zilizopo kufanya mambo makubwa.

Idara za uenezi/habari/na propaganda za vyama vya siasa hasa vya upinzani zinapaswa kuwekwa watu wenye akili nyingi na wanaojua kutumia kila fursa inayojitokeza ili kuimarisha uhai wa chama.

CHADEMA ni chama kikubwa zaidi ya ACT ila idara yao ya PROPAGANDA NA UENEZI ina watu wasio na AKILI KUBWA wakati ACT WAZALENDO ni chama kidogo kuliko CHADEMA ila idara yao ya PROPAGANDA NA UENEZI ina watu makini na wenye akili nyingi.

Najiuliza CHADEMA wana hoja gani kwa wananchi? je hiyo hoja yao itatoka kwa mikutano ya hadhara na maandamano pekee?
Usiifananishe CHADEMA na ACT Chama kinacho bebwa ndani ya briefcase na mtu mmoja siku ikitokea ana fariki na Chama kinazikwa siku hiyohiyo.
 
Sisi tunaenda Ujerumani na nakufanya maandamano ndo vipaombele.
Ni katika uhuru wa mawazo natafakari hili, demokrasia katika Africa imekuwa na maigizo mengi sana, mara nyingi vyama tawala bila kujali kukubalika kwake na wananchi vimekuwa vikitumia dola na fursa ya utawala kujihakikishia utawala wa milele. uhuru wa kidemocrasia wa vyama pinzani umekuwa ukibanwa pasipo sababu za msingi.

Ili vyama vya upinzani viweze kwenda mbele vinahitaji watu makini wenye weledi na ujanja wa kisiasa kutumia fursa ndogo wanazozipata kujitangaza na kujenga hoja madhubuti na kufanya chama tawala "kihahe".

Ni miezi michache iliyopita shughuli za kisiasa za vyama ni kama ilikuwa imepigwa marufuku kabisa, sasa angalau mikutano ya ndani imeruhusiwa.

nilitegemea fursa hii ya kuruhusiwa mikusanyiko ya ndani kwa chama kikubwa kama CHADEMA ingeitumia vizuri ili kuhalalisha madai yao ya kubanwa kisiasa. na kwa kuwa chama kina mtandao wa nchi nzima pengine zingeibuliwa hoja mbalimbali zenye kuonyesha mapungufu ya kiutendaji ya serikali na pengine kushauri maeneo ya kuboresha, yote ni katika kuletea maendeleo taifa letu.

ACT wazalendo pengine ni chama kinacho onekana kidogo kilicho na mbunge mmoja tu, wao wameiona fursa hii jana walikuwa na mkutano wa kidemocrasia uliokuwa na waliikwa mbalimbali, sitajikita sana ya nini kilijadiliwa ila kitendo cha ACT kufanya mkutano ule wa ndani kwa ufanisi, kinafanikiwa zaidi kujitangaza na wameonesha kuwa wanaweza kutumia fursa ndogo zilizopo kufanya mambo makubwa.

Idara za uenezi/habari/na propaganda za vyama vya siasa hasa vya upinzani zinapaswa kuwekwa watu wenye akili nyingi na wanaojua kutumia kila fursa inayojitokeza ili kuimarisha uhai wa chama.

CHADEMA ni chama kikubwa zaidi ya ACT ila idara yao ya PROPAGANDA NA UENEZI ina watu wasio na AKILI KUBWA wakati ACT WAZALENDO ni chama kidogo kuliko CHADEMA ila idara yao ya PROPAGANDA NA UENEZI ina watu makini na wenye akili nyingi.

Najiuliza CHADEMA wana hoja gani kwa wananchi? je hiyo hoja yao itatoka kwa mikutano ya hadhara na maandamano pekee?
 
CHADEMA imebadili sana aina ya uendeshaji wa siasa zake hivyo kuwapa shida wapinzani wao hata baadhi ya wanachama wake. Nakumbuka siku aliyouawa Mwangosi kama ingekuwa ni zama hizi inawezekana kabisa watu wasingeenda Nyololo na Mwangosi asingeuawa.

Enzi hizo zinazosifiwa kwa nderemo hivi sasa na CCM ni zile zama za Dk.Slaa akiwa anaamini kwenye kusukumana na Dola. Ilikuwa misisimko ndiyo siasa na nguvu nyingi sana zilitumika kushindana na watu wenye hamu ya kutoa "fundisho" kwa wapinzani wao kwa kutumia nguvu za dola.

Kwenye Uchaguzi wa Kalenga Dr.Slaa alisema "Hatutaki damu ya mtanzania hata mmoja imwagwe kwa lengo la CHADEMA kushinda" nikajua Dr.Slaa kaanza kuelewa kudili na wachochea vurugu wa CCM. Leo CHADEMA inayoitwa dhaifu na kuppoteza dira, ndiyo hiyo hiyo kila ikitaka kufanya jambo na kila lisemwalo na chama hicho, kinaleta kiwewe upande wa pili.
 
Ni katika uhuru wa mawazo natafakari hili, demokrasia katika Africa imekuwa na maigizo mengi sana, mara nyingi vyama tawala bila kujali kukubalika kwake na wananchi vimekuwa vikitumia dola na fursa ya utawala kujihakikishia utawala wa milele. uhuru wa kidemocrasia wa vyama pinzani umekuwa ukibanwa pasipo sababu za msingi.

Ili vyama vya upinzani viweze kwenda mbele vinahitaji watu makini wenye weledi na ujanja wa kisiasa kutumia fursa ndogo wanazozipata kujitangaza na kujenga hoja madhubuti na kufanya chama tawala "kihahe".

Ni miezi michache iliyopita shughuli za kisiasa za vyama ni kama ilikuwa imepigwa marufuku kabisa, sasa angalau mikutano ya ndani imeruhusiwa.

nilitegemea fursa hii ya kuruhusiwa mikusanyiko ya ndani kwa chama kikubwa kama CHADEMA ingeitumia vizuri ili kuhalalisha madai yao ya kubanwa kisiasa. na kwa kuwa chama kina mtandao wa nchi nzima pengine zingeibuliwa hoja mbalimbali zenye kuonyesha mapungufu ya kiutendaji ya serikali na pengine kushauri maeneo ya kuboresha, yote ni katika kuletea maendeleo taifa letu.

ACT wazalendo pengine ni chama kinacho onekana kidogo kilicho na mbunge mmoja tu, wao wameiona fursa hii jana walikuwa na mkutano wa kidemocrasia uliokuwa na waliikwa mbalimbali, sitajikita sana ya nini kilijadiliwa ila kitendo cha ACT kufanya mkutano ule wa ndani kwa ufanisi, kinafanikiwa zaidi kujitangaza na wameonesha kuwa wanaweza kutumia fursa ndogo zilizopo kufanya mambo makubwa.

Idara za uenezi/habari/na propaganda za vyama vya siasa hasa vya upinzani zinapaswa kuwekwa watu wenye akili nyingi na wanaojua kutumia kila fursa inayojitokeza ili kuimarisha uhai wa chama.

CHADEMA ni chama kikubwa zaidi ya ACT ila idara yao ya PROPAGANDA NA UENEZI ina watu wasio na AKILI KUBWA wakati ACT WAZALENDO ni chama kidogo kuliko CHADEMA ila idara yao ya PROPAGANDA NA UENEZI ina watu makini na wenye akili nyingi.

Najiuliza CHADEMA wana hoja gani kwa wananchi? je hiyo hoja yao itatoka kwa mikutano ya hadhara na maandamano pekee?

Akili za funza sio kosa lako.
 
Mkuu tokea Chadema iuzwe kwa Mafisadi, haina ajenda wala mvuto kwa watanzania.

Wild beast waliobakia nao wanaishirizia ufipa kutabaki kweupe.
Kama wewe ulivyo mweupe kichwani
 
Back
Top Bottom