Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Binafsi mimi sio mwanacha wa Chadema wala CCM, ila huwa naangaliaga sera nzuri kwa mgombea.
Nimejaribu kufuatilia na kuichunguza Chedema ila nimekuja kugundua ni ukabila wa kufa mtu.
Ndugu zangu wa Tanzania Chadema ni chama cha wachagga, siku ikipewa mamlaka wachagga watanywea pombe Ikulu.
Ni hivi kwa uchunguzi wa kina hata Arusha, katika ngazi uongozi wamewajaza wachagga.Ukizingatia wachagga ni asilimia ziro point something hapa...hata wanaharakati wengi wa Chedema ndani ya nchi hii ni wachagga.
Tatizo Chedema imeanzishwa kwa msingi ya kikabila, tofauti na CCM, ambacho mtu yeyote anaweza akawa kiongozi mahali popote.. Tatizo la CCM ni kwamba kuna wahuni wachache wanataka kukiharibu.
Na huyu jamaa anayeleta urais wa kikanda na kuendeleza eneo alilotoka tu bila aibu.. Je anaotesha mbegu gani Kwa marais baadaye watakaye toka kanda zingine.
At least chama mbadala hapa ingekuwa ACT japo ina elements za udini kwa umbali ila ni bora kuliko Chadema.
Kwa ushahidi chunguzeni chadema hapa Arusha, kuanzia ngazi ya Kata mpaka Taifa.. Wengi Wao ni wachagga na wanapenda kusimamisha madiwani wachagga katika kata mbalimbali hapa Arusha.Lakini Kwa CCM wagombea wakatokea katika Kata mbalimbali hapa Arusha wakatokea Kwa Kabila lolote as longer as amekizi vigezo.
Siku watanzania wakabugi wakaingiza Chedema madarakani, ni kwamba wachagga watanywea pombe Ikulu na watageuka miungu watu.
Hawa wakina Lissu, shangazi,Mdude anapendwa tu kipindi hichi cha harakati lakini siku Chadema ikishika madaraka, wdaraja.atakuja kugundua walikuwa kama baruti ya kuvunjia miamba
Nimejaribu kufuatilia na kuichunguza Chedema ila nimekuja kugundua ni ukabila wa kufa mtu.
Ndugu zangu wa Tanzania Chadema ni chama cha wachagga, siku ikipewa mamlaka wachagga watanywea pombe Ikulu.
Ni hivi kwa uchunguzi wa kina hata Arusha, katika ngazi uongozi wamewajaza wachagga.Ukizingatia wachagga ni asilimia ziro point something hapa...hata wanaharakati wengi wa Chedema ndani ya nchi hii ni wachagga.
Tatizo Chedema imeanzishwa kwa msingi ya kikabila, tofauti na CCM, ambacho mtu yeyote anaweza akawa kiongozi mahali popote.. Tatizo la CCM ni kwamba kuna wahuni wachache wanataka kukiharibu.
Na huyu jamaa anayeleta urais wa kikanda na kuendeleza eneo alilotoka tu bila aibu.. Je anaotesha mbegu gani Kwa marais baadaye watakaye toka kanda zingine.
At least chama mbadala hapa ingekuwa ACT japo ina elements za udini kwa umbali ila ni bora kuliko Chadema.
Kwa ushahidi chunguzeni chadema hapa Arusha, kuanzia ngazi ya Kata mpaka Taifa.. Wengi Wao ni wachagga na wanapenda kusimamisha madiwani wachagga katika kata mbalimbali hapa Arusha.Lakini Kwa CCM wagombea wakatokea katika Kata mbalimbali hapa Arusha wakatokea Kwa Kabila lolote as longer as amekizi vigezo.
Siku watanzania wakabugi wakaingiza Chedema madarakani, ni kwamba wachagga watanywea pombe Ikulu na watageuka miungu watu.
Hawa wakina Lissu, shangazi,Mdude anapendwa tu kipindi hichi cha harakati lakini siku Chadema ikishika madaraka, wdaraja.atakuja kugundua walikuwa kama baruti ya kuvunjia miamba