USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Ukiachana na mtaji , idadi ya wanajeshi, technology, uzalendo kwa ulimwengu wa kisasa lazima uwe na back up,Hii back ndio inamfanya Ukraine iendelee kupigana japo ilishiwa karibu kila kitu
CCM baada ya kuona sasa mtu mwenye nguvu anayependwa amekufa ikaamua kutafuta mshirika wa haraka kumbuka na Magufuli alikuwa na washirika wake wa vyama vya upinzani kama TLP na Cuf ya lipumba hata Kikwete alikuwa na CUF vile vile hii allied ya chadema na CCM imekuwa na nguvu CHADEMA kwa sasa ni CCM B
Kwa sasa ukihoji chochote kile kuhusu serikali ya CCM utajibuwa na Chadema tena kwa hasira na nguvu kubwa manana waliozungumza kwenye maridhiano ni kusaidiana ili kuvuka 2025 .
Kuna wakati barvicha hapa jukwaani wanamsaida Sofia mjema kujibia (wanafaa waitwe wapewe kifuta jasho ) kwa sasa CCM haina haja ya kufanya campaign maana chadema wapo kuwafanyia hata lisu amekuja akaona hali ni ngumu kwa zile siasa zake amebakia kuuma na kupuliza akaitwa akapewa maelezo akatulia
My take :ni muda muafaka MBOWE uje hadharani utangaze kuwa nyie sasa umeungana na CCM .
USSR
CCM baada ya kuona sasa mtu mwenye nguvu anayependwa amekufa ikaamua kutafuta mshirika wa haraka kumbuka na Magufuli alikuwa na washirika wake wa vyama vya upinzani kama TLP na Cuf ya lipumba hata Kikwete alikuwa na CUF vile vile hii allied ya chadema na CCM imekuwa na nguvu CHADEMA kwa sasa ni CCM B
Kwa sasa ukihoji chochote kile kuhusu serikali ya CCM utajibuwa na Chadema tena kwa hasira na nguvu kubwa manana waliozungumza kwenye maridhiano ni kusaidiana ili kuvuka 2025 .
Kuna wakati barvicha hapa jukwaani wanamsaida Sofia mjema kujibia (wanafaa waitwe wapewe kifuta jasho ) kwa sasa CCM haina haja ya kufanya campaign maana chadema wapo kuwafanyia hata lisu amekuja akaona hali ni ngumu kwa zile siasa zake amebakia kuuma na kupuliza akaitwa akapewa maelezo akatulia
My take :ni muda muafaka MBOWE uje hadharani utangaze kuwa nyie sasa umeungana na CCM .
USSR