Kushinda au kushindwa huwa hakuna maelezo ni suala la wazi.
My take : opposition hawahitaji kutolea maelezo ya kushindwa, they just have to take note if there is a stead growth in their popularity else they have to rework their way of doing political business.
This country needs a strong opposition, I MEAN WISE OPPOSITION not trouble makers to discipline whoever is rulling not by causing problems but by critically challenging them.
Na wasiwasi wakati unaandika hii thread ulikuwa una hara kwani haina kitu na waonekana hata mambo ya uchaguzi huyajui ww. Kwa taarifa yako CDM kwenye huu uchaguzi wametumia Tshs 1.345 bn ambazo zingetosha kufungua ofisi za wilaya au hata kata zipatazo 300 na zaidi. Na mmeambulia patupu na wengine wamezimia jana viongozi wenu, taarifa ziko wazi kabisa
FoolishBrain,
Ok CDM wametumia Tshs.1,345 bn. Well and good. Haya CCM wametumia Tshs.10 bn+! Kwa hiyo unataka kusema kuwa CDM ndiyo wametumia pesa nyingi kuliko CCM???
Hoja yako kuwa CDM wangelizitumia hizo pesakufungua ofisi za wilaya au hata kata zipatazo 300 na zaid ni dhaifu sana!
Wewe ulipashwa KUWAHOJI HAO MAGAMBA WENZAKO kwanini hizo 10 bn+ hawajataka kuziingiza kwenye MIRADI YA MAENDELEAO YA WILAYA YA IGUNGA KAMA MAJI,AFYA,SHULE,BARABARA na DARAJA kubwa lililiokuwa likipigiwa makelele na kina MAGUFULI kuwa watalijenga baada ya Uchaguzi wa juzi.
Kama miaka yote 50 tangu uhuru CCM wameshindwa kujenga miundo mbinu na kuboresha hali ya maisha ya wana-Igunga ndiyo wataweza sasa kupitia huyo FISADI WA MADINI Dr. Kafumu? Jibu ni HAPANA.
Mimi nawapa pole sana Wana-IGUNGA kwa uelewa mdogo na ufinyu wa mawazo wa kushindwa kupambanua ULAGHAI WA CHAMA TWAWALA na kukipa ridhaa ya kuwaongoza tena kwa miaka 4 ijayo. Hii itakuwa ni miaka ya mateso,njaa,maradhi,ujinga na ukosefu wa maji.
Poleeeeeeeeeeeeeeni sana kwa kutapeliwa na ri-CCM lenu. Bakong'wanzoka bing'we banadakama!
Igunga ina kata 26 na sio Kata 17! Mbona hujasema habari ya wapiga debe 2000 wa Chadema kwenda Igunga?
From 70% win nine months ago to 29% win. The GeniusBrain calls it a win my foot. Possibly it is Geniusbrain under masaburi yardstick
Ahsante kwa matusi inazidi kuthibitisha ugenious wa kimasabauri. Huoni kama 20% drop in nine months ni issues?Soma taarifa ya tume ya uchaguzi ccm wameshinda kwa asilimia ngapi? acha kupotosha watu na takwimu uharo hz. Nyie twajuam mmechanganyikiwa na hata Dokta jana alizimia, hizi taarifa mbona tunazo, hali ni mbaya kwa cdm hv sasa
Uchaguzi wa Jimbo la Igunga umemalizika J2 na mshindi kutangazwa jana 3 Oktoba,2011 na msimamizi wa Uchaguzi. Kwa kufanya tathmini ya haraka haraka tu baada ya Uchaguzi na matokeo kutangazwa CHADEMA kwa uhakika kabisa ndiyo Walioshinda Ubunge huko Igunga. Nitaeleza.Kwa vipengele hivi inadhihirisha kabisa CHADEMA ndiyo washindi wa jimbo la Igunga na siyo CCM. Kwa mara nyingine CHADEMA wameithibitishia serikali ya CCM kuwa ndicho Chama pekee cha upinzani chenye nguvu Tanzania kwa sasa! Huo ndiyo ukweli wenyewe bila kujali CCM kama watakubali au la.
- CHADEMA wamepata kura 23,260 dhidi ya kura 26,484 za CCM.Tofauti ya kura 3,224! Tukumbuke kuwa Uchaguzi Mkuu 2010 CDM hawakuwa wamesimamisha mgombea Ubunge jimbo la Igunga. Lakini mgombea Urais wa CDM Dr.Slaa alipata kura 8,000+. Hii inaashiria kuwa CDM inapendwa na ina uhakika wa kufanya vizuri zaidi 2015.
- CHADEMA wametumia gharama ndogo ukilinganisha na CCM chama twawala. Gharama elekezi ya Uchaguzi toka msajili wa Vyamailikuwa Tshs.80m. CCM wametumia NGUVU na GHARAMA kubwa sana kulipata jimbo hili. Tunaambiwa CCM wametumia Tshs.10 Billion!Gharama hizi lazima ziwe juu kwa vile Serikali yote ilihamia Igunga.
- CHADEMA wametumia HELIKOPTA MOJA tu wakti CCM wametumia HELIKOPTA MBILI.
- CHADEMA hawakutumia SERA ya UDINI kama walivofanya CCM kwa kumgeuza DC wa Igunga kuwa mtaji wa siasa za UDINI. Pamoja na siasa CHAFU za udini za CCM bado hazikufaulu. Tumeona Masheikh wakihimiza Waislamu kutoipigia CDM kura kwasababu ya kumdhalilisha DC ambaye ni Muislamu fake!
- CHADEMA kupata KURA 23,260 dhidi ya CUF iliyopata kura 2,104 ni ushindi tosha kabisa dhidi ya SIASA CHAFU ZA UDINI(Uislamu).
- CHADEMA wamepata kura 23,260 kwa mjini tu yaani KATA 5! Huu ni wastani wa kura 4,652 kwa kata! CCM amepata kura 26,484 toka KATA 17! Huu ni wastani wa wapiga kura 1,557 kwa kata.Kwa maana hiyo kama CDM kikianza kujiimarisha vijijini CCM wajue watakuwa na hali mbaya sana na hawatakuwa na kitu tena Igunga 2015! CDM lazima wajifunze toka hapo kwamba KUANZISHA MATAWI YA CHAMA VIJIJINI NI KITU CHA LAZIMA NA UTAKUWA MTAJI MZURI SANA KWA GE-2015.
- CHADEMA hawajatumia DOLA(Serikali kwa maana ya Polisi,UWT na MAWAZIRI) kujinadi Igunga. CCM wametumia POLISI,UWT na RASLIMALI za SERIKALI.
- Kwa CHADEMA hii ni INDICATOR kuwa Uchaguzi Mkuu wa 2015 utakuwa ni UCHAGUZI MKUU WA KUIMALIZA NA KUINYAMAZISHA CCM KWENYE ULINGO WA SIASA ZA TANZANIA.
Nawasilisha.
Igunga imewashinda mnawaza kushinda Nchi nzima 2015! Tatizo la kuvaa magwanda akili yote ina hamia kwenye magwanda!
Hahaaaaa, kweli umenena John Marwa, Je tatizo la kuvaa mashati, vilemba na vitenge vya kijani akili inahamia wapi???? Kwenye Makalio (a.k.a Masaburi)Igunga imewashinda mnawaza kushinda Nchi nzima 2015! Tatizo la kuvaa magwanda akili yote ina hamia kwenye magwanda!
Uchaguzi wa Jimbo la Igunga umemalizika J2 na mshindi kutangazwa jana 3 Oktoba,2011 na msimamizi wa Uchaguzi. Kwa kufanya tathmini ya haraka haraka tu baada ya Uchaguzi na matokeo kutangazwa CHADEMA kwa uhakika kabisa ndiyo Walioshinda Ubunge huko Igunga. CHADEMA ndiyo washindi wa jimbo la Igunga na siyo CCM. Kwa mara nyingine CHADEMA wameithibitishia serikali ya CCM kuwa ndicho Chama pekee cha upinzani chenye nguvu Tanzania kwa sasa! Huo ndiyo ukweli wenyewe bila kujali CCM kama watakubali au la..
Tufahamu CCM Ni chama dola,kinamiliki serikali na maamuzi yake.Suala la kukitoa madarakani ni suala la kishabiki kwa sasa lkn tunashindwa kujua tunataka nini kwa wakati huu na hata hao CHADEMA bado hawajatupa uhakika kama tukiwapa mamlaka hawatafanya kama CCM.Suala lililotakiwa kufanyiwa kazi ni utungaji wa KATIBA ambayo itatuongoza jinsi ya kumpata rais na serikali,chama kitakachomtoa raisi kisiwe ndio serikali na Rais wa nchi asiwe juu ya sheria(kinga ya kutokushitakiwa iondolewe).Mamlaka makubwa aliyopewa rais yapunguzwe na sheria za uhujumu uchumi zirudishwe,uadilifu makazini na kila mmoja ajue nafasi yake makazini na tabia za khanga(kama cdm)zisiwepo.Unajua m2 anapopata muda wa kupiga majungu ujue sio muadilifu,kwaiyo suala la nani aongoze nchi sio muhimi ila muhimu ni nchi iongozwe kwa kufuata misingi hii na ile hilo ndio muhimu kwa sasa sio ooh ccm,ooh cdm ushabiki 2ume2jaa na siasa za vijiweni,mshindi kashinda mwacheni ale vyake.
Chadema walienda Igunga kushinda au kufanya political analysis? Kushindwa kuna umiza sanaa! Poleni sana magwanda!