CHADEMA ndiyo walioshinda uchaguzi mdogo wa Igunga


You really think you have credibility to advise anybody? Just stay and hang on your dreams until the wind shows the direction.
 
Marwa,
Wewe kama Senior, chambua hoja na uikosoe, acha thihaka. Uchambuzi huo ni kweli au sikweli; maana wengine hatujapitia takwimu kwa undani nawe tupe wako kinzani na anayosema. Kama CDM walipeleka watu 2,000, ni kosa lipi? Walipiga kura katika vituo vipi?
 

From 70% win nine months ago to 50% win. The GeniusBrain calls it a win my foot. Possibly it is Geniusbrain under masaburi yardstick
 

Hizo pesa za kujenga barabara , maji nk kwa wana igunga nyie ndio mgezipata wapi ? isssue bado iko pale pale mlikuwa mnawategemea wakina magufuli kuwapigia magoti wajenge, na ingekuwa aibu kwa watu wa igunga kuchagua mbunge wa cdm ambae anakuja kutekeleza ilani ya ccm.
 
Igunga ina kata 26 na sio Kata 17! Mbona hujasema habari ya wapiga debe 2000 wa Chadema kwenda Igunga?

Kwani wapiga debe wa eneo tofauti wanaruhusiwa kupiga kura!!!?John Marwa na akili mbovu Kama hizi!!!!?
 
From 70% win nine months ago to 29% win. The GeniusBrain calls it a win my foot. Possibly it is Geniusbrain under masaburi yardstick

Soma taarifa ya tume ya uchaguzi ccm wameshinda kwa asilimia ngapi? acha kupotosha watu na takwimu uharo hz. Nyie twajuam mmechanganyikiwa na hata Dokta jana alizimia, hizi taarifa mbona tunazo, hali ni mbaya kwa cdm hv sasa
 
Soma taarifa ya tume ya uchaguzi ccm wameshinda kwa asilimia ngapi? acha kupotosha watu na takwimu uharo hz. Nyie twajuam mmechanganyikiwa na hata Dokta jana alizimia, hizi taarifa mbona tunazo, hali ni mbaya kwa cdm hv sasa
Ahsante kwa matusi inazidi kuthibitisha ugenious wa kimasabauri. Huoni kama 20% drop in nine months ni issues?
 

totally crap + wasted... kushindwa hata kwa kura moja.. ni ishahidi tosha cdm they have a long way to go .. inshort watu wa igunga wamevote for no confidence .. kushindwa ni kushindwa tu it ain't matter kwa kura ngapi.
 
Igunga imewashinda mnawaza kushinda Nchi nzima 2015! Tatizo la kuvaa magwanda akili yote ina hamia kwenye magwanda!
Hahaaaaa, kweli umenena John Marwa, Je tatizo la kuvaa mashati, vilemba na vitenge vya kijani akili inahamia wapi???? Kwenye Makalio (a.k.a Masaburi)

Take care
 

Sawa mkuu.
CHADEMA ndio wameshinda uchaguzi....tumefurahi sana kusikia CHADEMA wameshinda uchaguzi Igunga.
Mbunge aliyechaguliwa anatoka chama kipi?
Tume ya uchaguzi ni ile ya Lewis Makame na Kivaru?

Kama tume ndio hiyo ya Kivaru basi CHADEMA kimeshinda...Kama ni Tume huru basi CHADEMA hawawezi kushinda uchaguzi.

Tuendelee kushiriki chaguzi bila ya kuwa na Tume huru na bila ya kuidai Tume huru kwa nguvu zetu zote na matokeo yatabaki haya ya kujifajiri na kujisemea tutashinda next time, tutashinda 2015.

Kwa Tume ipi ya uchaguzi?...yes , CHADEMA ndio chama dume, ndio chama pekee cha upinzani!!!

Nimefurahi sana kusikia CHAMA CHA UPINZANI kimeshinda uchaguzi wa Igunga. Tujipongeze!
 
sammosses:ukweli utabaki palepale siku zote,magamba kitathimini wameshindwa.watumishi wa umma wamekaa siku ngapi bila kulipwa mishahara yao?!!!!!eti kisa mishahara imekwenda kwenye kampeni!!hivi kweli tutafika?miaka hamsini bado chama tawala kinatumia mbinu chafu za kununua haki za wananchi wake,bila kujali wavuja jasho.Ipo siku watakuja kulipa deni la usaliti.

Walitaka kuchakachua Kata ya Masekelo mjini Shinyanga ,mbona walishindwa na nguvu ya umma.siku zao za kula bata zinahesabika lakini kila jasho la mnyonge linahesabika.Big up kwa sana wana wa Igunga mliogundua zipi mbivu na zipi mbovu.leo hii mmeona umuhimu wa mabadiliko mmeichagua CDM kwa kura nyingi na ndio bwana mkubwa Sindbad baharia ana wabeza kuwa vyama vya msimu,kama ni vya msimu kulikoni kutumia nguvu kubwa za dola ikiwa pamoja na kufisidi kodi zetu walalahoi kwa kuwalipa posho mawaziri wa serikali bila idhini ya waajiri wao yaani wana wa nchi hii.ALUTA CONTINUA ..........................
 

Mkuu chama dola?! Unamaanisha state party?! Kama ndivyo, hakuna kitu kama hicho kwa TZ. CCM ni chama kinachoongoza serikali ya JMT tu; tafadhali husichanganye habari za serikali na dola, ni vitu viwili tofauti.

Dola linamilikiwa na wananchi wenyewe!
 
Mkuu Makoye uko juu sana!!! Achana na hao FOOLISHBRAIN wanapima mafanikio kwa tukio moja tu (kushinda au kushindwa uchaguzi wa IGUNGA). Ukweli ni kwamba UCHAGUZI WA IGUNGA umetoa VERY RELEVANT POLITICAL SNAPSHOT kwa vyama vikuu vitatu yaani CCM, CDM, na CUF. Analysis yako iko very clear....kwamba kwa kutazama mbele yafuatayo yako dhahiri kabisa, bila kujali itikadi za vyama:
-CCM Supremacy is declining. Bado mtaji mkubwa wa CCM uko vijijini. Perhaps, had election process be conducted in a level playing field...CCM would be history.
-CHADEMA is steadily gaining momentum. Ushahidi uko wazi kwamba sehemu za mijini tayari CDM wanakubalika sana...ila wana changamoto ya kueneza elimu ya uraia kwa wananchi wa vijijini ambao wanarubuniwa kirahisi na CCM.
-CUF is getting off the track. Wanatakiwa kufanya a lot of restructuring laa sivyo chama kitakufa!!!
 
Chadema walienda Igunga kushinda au kufanya political analysis? Kushindwa kuna umiza sanaa! Poleni sana magwanda!
 
Chadema walienda Igunga kushinda au kufanya political analysis? Kushindwa kuna umiza sanaa! Poleni sana magwanda!

Mujitathmini kupungua kura kwa 20% ukilingamisha na gain ya kura 23,000 kutoka 0. Usiangalie ushindi angalia taarifa na mantiki katika takwimu. Nitakupa true story ya kweli, wanangu walimpa mmoja wa bibi zao noti mbili za elfu kumi kumi, akakataa akataka mapene (coins) akapewa coins tano za ishirini ishirini akamwaga baraka zote zote kabisa. Hali hiyo hiyo ikajitokeza kwa baadhi ya wajomba na akina shangazi zangu.

Hayo ndiyo mafanikio ya ccm kwenye takwimu siyo kwenye maana ya takwimu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…