johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,423
- 147,100
Vyama vyote vya kibepari duniani ni tajiri isipokuwa CHADEMA
Chadema hupitisha kikapo cha sadaka kwenye mikutano yao ya hadhara
Kwa sass CCM ndio chama cha Matajiri, sielewagi Kwanini
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Chadema hupitisha kikapo cha sadaka kwenye mikutano yao ya hadhara
Kwa sass CCM ndio chama cha Matajiri, sielewagi Kwanini
Mungu wa mbinguni awabariki nyote