CHADEMA ndani ya Sumbawanga

CHADEMA ndani ya Sumbawanga

Mpui Lyazumbi

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2010
Posts
1,910
Reaction score
445
Wakuu, hawa jamaa nilikuwa nawasikia na kuwaona tu kwenye media. Nawashuhudia hapa Sumbawanga, maandamano yamefunga barabara the entire 3km to katikati ya mji. Siyo siri, mimi napata picha mpya kabisa na wasifikiriwe kuwa bado ni chama kidogodogo. Wanasupport ya dhati kutoka kwa wananchi tena walioacha shughuli zao kuja kuwasikiliza. Stay tuned!
 
Mpui Lyazumbi

wewe pia ni mmojawapo wa wanaharakati wa mabadiliko ya maendeleo ya taifa letu ....

asante kwa kuwa na ujasiri wa kutujuza kilichojiri live... endelea mkuu
 
Tunashukuru kwa taarifa.kama unawezza kuweka picha fanya hivo.tunawasubiri huku songea.kama simu yako haina uwezo wa kuchukua picha basi tupe kinachaojiri zaidi
 
Kwa hiyo wameshaingia mkoa wa Rukwa siyo?

I love kitengo cha mawasiliano cha Chadema!
 
Wakuu, hawa jamaa nilikuwa nawasikia na kuwaona tu kwenye media. Nawashuhudia hapa Sumbawanga, maandamano yamefunga barabara the entire 3km to katikati ya mji. Siyo siri, mimi napata picha mpya kabisa na wasifikiriwe kuwa bado ni chama kidogodogo. Wanasupport ya dhati kutoka kwa wananchi tena walioacha shughuli zao kuja kuwasikiliza. Stay tuned!

Tu pamoja ila picha muhimu kama uwezekano upo.
 
Asante kwa taarifa njema. Kwa kuwa mkuu uko live kwenye tukio hebu tupe uhondo wa picha.
 
Wakuu, hawa jamaa nilikuwa nawasikia na kuwaona tu kwenye media. Nawashuhudia hapa Sumbawanga, maandamano yamefunga barabara the entire 3km to katikati ya mji. Siyo siri, mimi napata picha mpya kabisa na wasifikiriwe kuwa bado ni chama kidogodogo. Wanasupport ya dhati kutoka kwa wananchi tena walioacha shughuli zao kuja kuwasikiliza. Stay tuned!

acha urongo wewe!! chama cha msimu (ccm) hicho.
 
Wakuu, hawa jamaa nilikuwa nawasikia na kuwaona tu kwenye media. Nawashuhudia hapa Sumbawanga, maandamano yamefunga barabara the entire 3km to katikati ya mji. Siyo siri, mimi napata picha mpya kabisa na wasifikiriwe kuwa bado ni chama kidogodogo. Wanasupport ya dhati kutoka kwa wananchi tena walioacha shughuli zao kuja kuwasikiliza. Stay tuned!


Wenzao wako Dodoma kwenye semina elekezi juu ya kutoa habari za 'mafanikio' huku wakifuahia vitafunwa
 
Wakuu, hawa jamaa nilikuwa nawasikia na kuwaona tu kwenye media. Nawashuhudia hapa Sumbawanga, maandamano yamefunga barabara the entire 3km to katikati ya mji. Siyo siri, mimi napata picha mpya kabisa na wasifikiriwe kuwa bado ni chama kidogodogo. Wanasupport ya dhati kutoka kwa wananchi tena walioacha shughuli zao kuja kuwasikiliza. Stay tuned!
Kweli Wafipa sasa wameamuka usingizini wanataka mabadiliko.
 
Aksante kwa taarifa kiongozi wetu,
Endelea kutuletea mpya- via mobile!
 
Mpui Lyazumbi

wewe pia ni mmojawapo wa wanaharakati wa mabadiliko ya maendeleo ya taifa letu ....

asante kwa kuwa na ujasiri wa kutujuza kilichojiri live... endelea mkuu

MPUI HII NI MESEJI YA Tundu A. Lisu anatumia LAT
 
Asante mkuu ila usishangae watu wakikuomba picha manake nimegundua wanadamu hawaamini wakiambiwa hadi waone. CDM ni chama makini mkuu ushindi walishashinda sema ti NEC iliamua kumtangaza mtu wao!
 
Back
Top Bottom