CHADEMA ndani ya Sumbawanga

CHADEMA ndani ya Sumbawanga

endeleeni kuishi kwa matumaini tu sidhani kama cdm itakuwepo mpaka 2016
<br />
<br />

Vipi, na wewe unalindwa na wale wanyama wasioonekana kwa macho, natumai bajeti ya ulinzi ya mwaka 2011/12 itapungua.
 
chama cha msimu mngeiba kura??? yaani 2015 jasho litawatoka kama Gbagbo ....mtajifuta jasho kwapani mbele ya camera za waaandishi wa habari kudadadeki
Nnajua inakuuma mpaka moyoni maana maandamano yenu ccm yalihudhuriwa na wazee tu,wamechoka kimawazo,kiakili,kiuchumi huku wamevaa t-shirt za "maisha bora kwa kila mtanzania"na bado mtafute pa kukimbilia wote mliohujumu uchumi(mafisadi)ikifika 2015
 
cdm embu njooni mererani,2namtaka slaa na kundi lake
 
duh mzee MTUKA NA ZENO NKOSWE bado wapo? duh iknow them ince 1980 ipo siku ntarudi swanga nikapaona katandala, mazwi,jangwani regina mundi, swanga wenyeji, izia, chanji, bangwe, kizwite dah nionje sute hahaaa JANGWAN INN ipo bado? tajiri BHOJAK bd yupo? BAINZ bd yupo? mpango kabambe wa maji pale, CHADEMA HOPE pande zote hizi mtafungua matawi

Izia na Chanji ama Kizwite, cdm wamepata madiwani. Wa izia anaitwa kasitu!
 
ukweli upi ama hizo porojo za kila siku tumechoka tafuteni wimbo mwingine

Mkuu, angalia usiwe ndo mwenye porojo! Elimu ya uraia (zamani tulisoma siasa) inapenyezwa kwa sura tofauti kabisa! Amka tujenge taifa moja. Lol!
 
Mambo poa kabisa. Walisema CDM ni chama cha msimu sijui sasa watasema nini? Tuzidi kusonga mbele hadi kieleweke. CDM oyeee, Magamba ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Well, tuamshane. Nchi yetu inahitaji viongozi watakaotumia dhamana za uongozi wao na raslimali tulizonazo kwa maendeleo ya taifa letu.
 
Namsubir kwa ham nimsikie Nape maana kasema ana data kua dr na wenzake wanavyofanya ufisad ndan ya CDM. Mi nadhan anataka kupotea kisiasa km bb ake na ule mwez wa kwanza ktk mwaka.
 
ukweli upi ama hizo porojo za kila siku tumechoka tafuteni wimbo mwingine

We makupa vipi, huoni aibu kutetea ccm katika zama hizi ambazo kila mmoja anaona clearly, ccm ndio waje na wimbo mwingine zaidi ya usanii wa kujivua magamba, we have treaded places the hunter has become the hunted, ifike mahali uanze ku behave kama mtanzania, unaangamiza kizazi chako kwa tamaa zako za leo.
 
<br />
<br />

Duh una masihala weye! Huo wimbo uneondoa kitumbua cha mzee makamba mdomoni pamoja na sekretariati, na hii impya imetoa siku 90 kwa mapacha 3, wewe bado haujakukolea.
Usitake nicheke.

Hivi huyu mzee makamba yuko wapi siku hizi mbona simsikii tena jamani?
 
Nimepigiwa simu na bibi (ambaye ni mwenyekiti wa mtaa kupitia CCM),hali iliyotokea leo imeushangaza mji wa Sumbawanga. Anasema waanzilishi wa TANU wamerudisha kadi zao. Kuna Mzee anaitwa Nkoswe na mwingine Mtuka, walikuwa ni wanachama prominent w CCM miaka mingi sana. Wameamua kurudi kundini (CHADEMA).
Mzee Nkoswe aliyekua mwenyekiti wa ccm miaka ya themanini, nyumba yake ilikuwa nzuri sana, pale karibu na shule ya msingi Jangwani niliposoma mimi miaka hiyo. Ni habari njema sana!
 
Regia[1].jpg Mbowe[1].jpg Viti[1].jpg Zito[1].jpg Magari_sehemu[1].jpg Sehemu[2].jpg
picha ziko waaaapy,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,


hizi hapaaaa Jukwaa[1].jpg
 
Back
Top Bottom