mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo CHADEMA,hivi karibuni kitafanya uzinduzi wa kanda ya kichama na ya kimkakati (kanda ya mashariki -makao makuu yake itakuwa KIBAHA MJINI ) kuelekea ushindi wa kishindo 2014/2015.
Kwa kuwa suala hili lina umuhimu wa kipekee hasa dhana ya majimbo,na kikanda inatakiwa ipewe kipaumbele cha pekee kwa wana KIBAHA kutembelewa na uongozi wote wa juu,safari hii akiwepo DOCT W.P.SLAA,MH.F.MBOWE,PAMOJA NA JOPO ZIMA LA TIMU YA WABUNGE WAPIGANAJI.
Chama kinapaswa kuzingatia haya,kama hatua nzuri ya kueleweka kwa wanachama,hasa ukizingatia huku kumekuwa nyuma sana katika kuunga mkono mabadiliko.huu ni ujumbe kwa jopo ambalo lipo dar zilipo ofisi kuu za chama.njoni wote muizindue kanda hii.huko nyuma tumetembelewa na mh.JJ.MNYIKA,MH.TUNDU LISSU,MSIGWA,SUGU,SUSAN KIWANGWA,NA MH.ERASTO TUMBO.
Njoni wote kuwaeleza wana kanda ya mashariki mkakati huu kabambe unaosindikizwa na baba lao M4C..
NAWASILISHA.
:rockon::dizzy::A S 114::A S 114::A S 114::A S 114:
Kwa kuwa suala hili lina umuhimu wa kipekee hasa dhana ya majimbo,na kikanda inatakiwa ipewe kipaumbele cha pekee kwa wana KIBAHA kutembelewa na uongozi wote wa juu,safari hii akiwepo DOCT W.P.SLAA,MH.F.MBOWE,PAMOJA NA JOPO ZIMA LA TIMU YA WABUNGE WAPIGANAJI.
Chama kinapaswa kuzingatia haya,kama hatua nzuri ya kueleweka kwa wanachama,hasa ukizingatia huku kumekuwa nyuma sana katika kuunga mkono mabadiliko.huu ni ujumbe kwa jopo ambalo lipo dar zilipo ofisi kuu za chama.njoni wote muizindue kanda hii.huko nyuma tumetembelewa na mh.JJ.MNYIKA,MH.TUNDU LISSU,MSIGWA,SUGU,SUSAN KIWANGWA,NA MH.ERASTO TUMBO.
Njoni wote kuwaeleza wana kanda ya mashariki mkakati huu kabambe unaosindikizwa na baba lao M4C..
NAWASILISHA.
:rockon::dizzy::A S 114::A S 114::A S 114::A S 114: