CHADEMA na unafiki uliotukuka

CHADEMA na unafiki uliotukuka

Kazi yake ni kupigia debe wabunge wake mana hata wabunge wake wanampigia debe.... Mbona Nkasi hawakumsikiliza wakamchagua Chadema, Lindi wakamchagua CUF..... We umewahi kuona kisa upinzani jimbo likakosa maendeleo??

Kwa mantiki yako, kama jiwe sio mnafiki kutokana na kauli alizozitoa basi CHADEMA pia sio wanafiki katika maamuzi waliyoyafanya.

Hilo swali hapo mwisho muulize jiwe ambaye ndie muasisi wa hiyo logic.
 
Wewe nini kinakuuma yeye akiongelea hiyo issue? ni lini wana JF tumeanza kupangiana vitu vya kuandika? Kwahiyo mtu akiongelea issue za team ya Barcelona naye ataambiwa nini kinakuuma kuongelea mabaya ya Barcelona? kama ni hivyo basi JF itabidi wote tuwe Mabubu!
Kwa iyo hata huu upuuzi wako hapa haturuhusiwi kuhoji???nyie cccmm ivi mkoje lkn??
 
Kupitia hili suala la Mbunge wa Nkasi pamoja na wabunge wa viti maalumu, CHADEMA wamejitanabaisha ni kiasi gani wamekua wanafiki kwa watanzania na wapenda Haki na amani wote.

Uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA walikiri wazi kuwa ni uchaguzi ambao haukua huru na Haki hadi kupelekea kususia hotuba ya Rais Bungeni lakini ajabu walikubali kuapa na majina ya viti maalumu yakapelekwa bila hata kuchelewa.

Ajabu na unafiki ni mwaka huu, hoja ileile ya uchaguzi kutokua huru na Haki lakini ajabu ni kwamba kwa sababu viongozi wakuu wamekosa basi safari hii hawataki hata yule aliyepata au nafasi za viti maalumu walivyopata kuzitumia, wanataka wakose wote, wakati uchaguzi uliopita viongozi walipata na wagombea wengine wa CHADEMA walidhurumiwa ushindi wao, hakuna aliyewajali zaidi ya kuacha machozi yao yaende na maji.

CHADEMA waache kuwa wanafiki.
Kwenye mijadala yetu mara nyingi tunakosa 1) uwezo wa kujenga hoja, 2) context ya mjadala na 3) objectivity. Tuna makandokando mengi mno!
 
Ni ajabu kuwa bado wapo wanaotaka CHADEMA iendelee kujadiliwa. Mkuu washauri hawa wasipende kuandika habari ya chama kilichokufa ili kizidi kufutika katika siasa za Tanzania.
Chama kilichokufa wakati ndicho chama kilichowashindisha polisi juani!
 
Kwa iyo hata huu upuuzi wako hapa haturuhusiwi kuhoji???nyie cccmm ivi mkoje lkn??
Jomba acha kukariri kama Kasuku,usifikiri kila mtu anachangia kwa ushabiki wakisiasa,mimi sipo kwenye ushabiki wa hivyo,nimechangia thd kama mtu huru,

Haya nieleze sasa hapo kuna upuuzi gani? au kwavile wewe ni mpuuzi basi kila kitu unakiona ni upuuzi kuokana na level yako ya upuuzi?
 
Kupitia hili suala la Mbunge wa Nkasi pamoja na wabunge wa viti maalumu, CHADEMA wamejitanabaisha ni kiasi gani wamekua wanafiki kwa watanzania na wapenda Haki na amani wote.

Uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA walikiri wazi kuwa ni uchaguzi ambao haukua huru na Haki hadi kupelekea kususia hotuba ya Rais Bungeni lakini ajabu walikubali kuapa na majina ya viti maalumu yakapelekwa bila hata kuchelewa.

Ajabu na unafiki ni mwaka huu, hoja ileile ya uchaguzi kutokua huru na Haki lakini ajabu ni kwamba kwa sababu viongozi wakuu wamekosa basi safari hii hawataki hata yule aliyepata au nafasi za viti maalumu walivyopata kuzitumia, wanataka wakose wote, wakati uchaguzi uliopita viongozi walipata na wagombea wengine wa CHADEMA walidhurumiwa ushindi wao, hakuna aliyewajali zaidi ya kuacha machozi yao yaende na maji.

CHADEMA waache kuwa wanafiki.
Inatia simanzi sana
 
Back
Top Bottom