kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,976
- 7,299
- Thread starter
- #41
Tuliza jaziba we nguruwe wa kikeWewe ndo mnfiki ,nguruwe
Tuliza jaziba we nguruwe wa kikeWewe ndo mnfiki ,nguruwe
Sikubaliani na wewe, guy ulikuwa uwanja moana wakupambana na kujua mbivu na mbichi,ila kwasababu refa aliamua kutoa ushindi mezani Bila kuchezesha mechi,hivyo ushindi ukawa upande wa refa. Kwa ukatili wa kiwango kilicho shuhudiwa.Hoja mufilisi kabisa, kwa kususa kunasaidia nini? Chaguzi karibia zote za marudio walikua wanasusa kutokana na mazingira mabaya ya hizo chaguzi, kipi kiliwafanya washiriki huu uchaguzi kama sio unafiki...
"Kwa sababu viongozi wakuu wamekosa.....wanataka wakose wote" hivi waliokosa ni viongozi wakuu tu??? Woteeeee wamekosa I mean wamenyimwa ubunge. Hadi wagombea wasio viongozi, acha kupotosha.Kupitia hili suala la Mbunge wa Nkasi pamoja na wabunge wa viti maalumu, CHADEMA wamejitanabaisha ni kiasi gani wamekua wanafiki kwa watanzania na wapenda Haki na amani wote.
Uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA walikiri wazi kuwa ni uchaguzi ambao haukua huru na Haki hadi kupelekea kususia hotuba ya Rais Bungeni lakini ajabu walikubali kuapa na majina ya viti maalumu yakapelekwa bila hata kuchelewa.
Ajabu na unafiki ni mwaka huu, hoja ileile ya uchaguzi kutokua huru na Haki lakini ajabu ni kwamba kwa sababu viongozi wakuu wamekosa basi safari hii hawataki hata yule aliyepata au nafasi za viti maalumu walivyopata kuzitumia, wanataka wakose wote, wakati uchaguzi uliopita viongozi walipata na wagombea wengine wa CHADEMA walidhurumiwa ushindi wao, hakuna aliyewajali zaidi ya kuacha machozi yao yaende na maji.
CHADEMA waache kuwa wanafiki.
Lakini kumbuka uchaguzi huu ni tofauti kabisa na chaguzi zote zilizopita. Na pia kumbuka mwaka jana tumeona kioja kingine: Uchaguzi wa serikali za mitaa, ambapo nchi nzima ccm wamebeba. Tulishuhudia maafisa wahusika wakifunga ofisi hata wiki nzima ili tu wagombea wa upinzani wasipate fomu, au kurejesha fomu kwa wakati.Wewe nini kinakuuma yeye akiongelea hiyo issue? ni lini wana JF tumeanza kupangiana vitu vya kuandika? Kwahiyo mtu akiongelea issue za team ya Barcelona naye ataambiwa nini kinakuuma kuongelea mabaya ya Barcelona? kama ni hivyo basi JF itabidi wote tuwe Mabubu!
Kwa hiyo mwizi ni CHADEMA ? Unachekesha sana. Lakini wakati watu kama wewe mnasherehekea "ushindi wa kishindo" katika mazingira ambayo mnajua kabisa bila polisi na Tume ya Uchaguzi inayopendelea ccm, wala msingetoboa, hamuangalii athari za ujambazi huu kwa taifa letu.Mnatusumbua kwa kujifanya wapenda Democracy kumbe wahuni na wezi kama wale wengine tu.
Mengi tuu...We umewahi kuona kisa upinzani jimbo likakosa maendeleo??
Kwa hiyo kwa elimu yako mataa ya barabarani Bunda ni maendeleo? Mikoa au wilaya ngapi zenye wabunge wa CCM hazina hizo taa za barabarani?Mengi tuu...
Kuna clip ya jiwe anasema kwny mkutano wa hadhara kuwa Bunda hakuna taa za barabarani sabb tu wana mbunge wa upinzani!!!
ItemeRoho...
We kijana wa zamani acha kuwa mjinga kwa kushabikia chama zee.Kupitia hili suala la Mbunge wa Nkasi pamoja na wabunge wa viti maalumu, CHADEMA wamejitanabaisha ni kiasi gani wamekua wanafiki kwa watanzania na wapenda Haki na amani wote.
Uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA walikiri wazi kuwa ni uchaguzi ambao haukua huru na Haki hadi kupelekea kususia hotuba ya Rais Bungeni lakini ajabu walikubali kuapa na majina ya viti maalumu yakapelekwa bila hata kuchelewa.
Ajabu na unafiki ni mwaka huu, hoja ileile ya uchaguzi kutokua huru na Haki lakini ajabu ni kwamba kwa sababu viongozi wakuu wamekosa basi safari hii hawataki hata yule aliyepata au nafasi za viti maalumu walivyopata kuzitumia, wanataka wakose wote, wakati uchaguzi uliopita viongozi walipata na wagombea wengine wa CHADEMA walidhurumiwa ushindi wao, hakuna aliyewajali zaidi ya kuacha machozi yao yaende na maji.
CHADEMA waache kuwa wanafiki.
Nimecheka sana hii commentWewe nini kinakuuma CHADEMA wakiwa wanafiki?
Kwa hiyo wewe kwa maono yako na uwezo wako woote bado hujaiona faida ya wao kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu??? Haya baki masikini hivoivo! Lakini usilazmishe na wengine wafikiri kwa kimo kidogo kama chako!Hoja mufilisi kabisa, kwa kususa kunasaidia nini? Chaguzi karibia zote za marudio walikua wanasusa kutokana na mazingira mabaya ya hizo chaguzi, kipi kiliwafanya washiriki huu uchaguzi kama sio unafiki...
Sasa kama kulikua na faida unafiki wa kususa unatoka wapi?Kwa hiyo wewe kwa maono yako na uwezo wako woote bado hujaiona faida ya wao kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu??? Haya baki masikini hivoivo! Lakini usilazmishe na wengine wafikiri kwa kimo kidogo kama chako!
Na wewe acha kushabikia CHADEMAWe kijana wa zamani acha kuwa mjinga kwa kushabikia chama zee.
Pamoja comradeNimecheka sana hii comment
Comment yangu bora ya kuanzia siku
Wewe nini kinakuuma CHADEMA wakiwa wanafiki?
Kwa hiyo Kama mwizi alikamatwa mwaka juzi akapigwa mawe, miaka yote wakamataji watumie adhabu ile ile?!
Mwaka huu adhabu kwa mwizi yule yule ni tofauti. Tulia tulii