Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Wadau;
Kati ya vitu ambavyo CHADEMA wamenikera ni wao kushindwa kuandaa mtu kwa ajili ya kugombea Urais mwaka 2015
Tangu mwaka 2010 walikuwa na muda wa kutosha kutengeneza mtu mpya kwa ajili ya position hiyo
Walikuwa na uwezo wote wa kufanya Poaching na kumpata mtu huyo
Lakini kwa Ubinafsi tu wa kudhani slaa anatosha ndio maana tuko hapa tulipo
Dr Slaa hana mvuto tena...hana kipya anachoweza kukisema kwa wananchi....watu wamemzoea sana.....kama Dr slaa akishindana na Magufuli ...Magufuli atashinda kwa asilimia 95,yaani 95%.
CCM wamejitahidi kupambana na mgogoro wa ndani ya chama chao na kukiacha chama salama....CCM wameonesha kiwango cha juu cha management ya kisiasa...kitu ambacho sisi tumekishindwa
CCM wako very organized....Tukibisha ni ubishi tu
Ushauri wangu..Tuweke silaha chini na tutoe matumaini kwenye Urais...Tuweke Concentration Kubwa kwenye Ubunge ili tupate Bunge lililo Imara
Tukiwa na Bunge Imara..Rais Mwenye Maamuzi...Tutafika Mbali
Kati ya vitu ambavyo CHADEMA wamenikera ni wao kushindwa kuandaa mtu kwa ajili ya kugombea Urais mwaka 2015
Tangu mwaka 2010 walikuwa na muda wa kutosha kutengeneza mtu mpya kwa ajili ya position hiyo
Walikuwa na uwezo wote wa kufanya Poaching na kumpata mtu huyo
Lakini kwa Ubinafsi tu wa kudhani slaa anatosha ndio maana tuko hapa tulipo
Dr Slaa hana mvuto tena...hana kipya anachoweza kukisema kwa wananchi....watu wamemzoea sana.....kama Dr slaa akishindana na Magufuli ...Magufuli atashinda kwa asilimia 95,yaani 95%.
CCM wamejitahidi kupambana na mgogoro wa ndani ya chama chao na kukiacha chama salama....CCM wameonesha kiwango cha juu cha management ya kisiasa...kitu ambacho sisi tumekishindwa
CCM wako very organized....Tukibisha ni ubishi tu
Ushauri wangu..Tuweke silaha chini na tutoe matumaini kwenye Urais...Tuweke Concentration Kubwa kwenye Ubunge ili tupate Bunge lililo Imara
Tukiwa na Bunge Imara..Rais Mwenye Maamuzi...Tutafika Mbali