CHADEMA na ubunge 2020

Jimbo la Buyungu linaloshikiliwa na CDM Kakonko, kigoma lazima linarudi CCM 2020

Msakila KABENDE yuko sawa!!!
 
Hizi ofisi za maana za kata zinajengwa na nini, hela itatoka wapi?
Hauitaji majengo makubwa ya Matofali kujenga chama, tena kipindi hichi cha teknologia ya Habari na mawasiliano. Ofisi ndogo sana Wilayani zinatosha.
Ni vigumu CDM kushika dola, sababu kuu ni wa TZ kutojiamini. Hata ukimkukimkuta Prof nae hajiamini anaona bila chama tawala hawezi kuishi, na kweli akitoka chama tawala anakufa njaa. Watu wengi sana ambao wamesoma wanaishi kwa kutegemea chama tawala.
Katika mfumo wetu wa elimu tunafundishwa kwa kutishwa, tunafundishwa kutii na tunafundishwa kutokuhoji vitu. Hii inawaondolea watanzania uthubutu na kujiamini. Kama haujiamini na hauna uthubutu basi automatically unakuwa hauna fighting spirit. Kwa ajili hatuna uthubutu na hatujiamini, hii inapelekea kufanya vibaya kwenye siasa, biashara, michezo, kwenye kazi za local na kimataifa and many more. Watu ambao utawaona credible hawajitokezi wanaogoma watapoteza Mkate wao. Hii inapelekea kuchukua watu waliotoka ccm.
Kutokana na mindset hii ya watanzania CDM wamejitahidi sana kufika hapo walipo. Ha
 

Kwa hiyo hapo panatosha siyo?
 
Kwa hiyo hapo panatosha siyo?
Hapatoshi, cdm needs to work even harder.
Embu fikiria mtu amekutawala for more than 55 years na Maendeleo kiduchu. Kama uduni wa maisha haukushawishi kupigia kuna chama kingine, what else would? Embu fikiria yanayotokea Leo kwa mwenyekiti wa act, ni chamgamoto Kubwa sana..... inabidi wapambane na Unafiki all the time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…