Frey Cosseny
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 1,984
- 1,405
Nimemsikia jana mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya chama cha Demokrasia na maendeleo bwana Godbless Lema akidai kuwa kila kinachopangwa na vyombo vya dola na Watumishi wa serikali wao wanakuwa na taarifa mapema.
Hii dhana Moja kwa Moja linaondoa ukakasi uliyopo hapa nchini kuhusu watu wanaotekwa, Kupotea na wengine kudhurika Kama Bwana Tundu Lissu, Ben Saanane na wengineo kuwa serikali inahusika na masaibu yao.
Kama kweli vyombo vya serikali ingehusika tayari wangepewa taarifa akina Lema na kuwaambia kuchukua tahadhari.
Miongoni mwa wanakikundi hicho ambacho jina lake la Siri ni G-3 ikiwa na jina maarufu Kama Tume au VIP Hawa ndiyo wanaofanya uhalifu huu.
Hiki kikundi cha Tume miongoni mwa maafisa wake ni Ally Kimbau (Shetani) Zachariah Swai, Boniface Jacob, Munisi, Melkizedek (Medy), Hemed Sabula ingawa huyu siku chache kabla ya Lissu kupigwa risasi aliondolewa makao makuu ya chadema na kupelekwa ofisi za Kanda ya Pwani magomeni.
Kikundi hiki kinamiliki vifaa maalumu kinachodukua mawasiliano ya simu na internet ya viongozi wa serikali na watu Mashuhuri hapa nchini.
Vifaa ivyo vinatunzwa na Boniface Jacob, Godbless Lema na Freeman Mbowe.
Hiki kikundi ndicho kikundi hatari sana ndani ya chadema na kinaogopwa sana na viongozi na wanachama Mashuhuri wa chadema kiasi hakuna hata mtu anayeweza kuwasema tofauti na matakwa yao ndani ya chadema.
Kikundi cha Tume pia ndicho kikundi kilichopewa mamlaka ya kufanya mambo ya intelligence ndani ya chadema na kukusanya taarifa na kimepewa jukumu la kuhujumu Vyombo vya Dola.
Kikundi hiki kinafanya pia Doria na wakati mwingine kimeruhusiwa kufanya ujambazi ili kiweze kupata pesa ya kujikimu.
Mratibu wa kikundi hiki ni Ally Kimbau anayedaiwa kuwa alikuwa askari mstaafu wa JWTZ.
Ninaamini kati hao niliyowasena na wakifanyiwa Dressing vizuri na vyombo vya dola watapata mambo mengine mengi kuhusu kikundi hiki na nchi wafadhili wao na walikopelekwa kufanya mafunzo ya kigaidi.
Hii dhana Moja kwa Moja linaondoa ukakasi uliyopo hapa nchini kuhusu watu wanaotekwa, Kupotea na wengine kudhurika Kama Bwana Tundu Lissu, Ben Saanane na wengineo kuwa serikali inahusika na masaibu yao.
Kama kweli vyombo vya serikali ingehusika tayari wangepewa taarifa akina Lema na kuwaambia kuchukua tahadhari.
Miongoni mwa wanakikundi hicho ambacho jina lake la Siri ni G-3 ikiwa na jina maarufu Kama Tume au VIP Hawa ndiyo wanaofanya uhalifu huu.
Hiki kikundi cha Tume miongoni mwa maafisa wake ni Ally Kimbau (Shetani) Zachariah Swai, Boniface Jacob, Munisi, Melkizedek (Medy), Hemed Sabula ingawa huyu siku chache kabla ya Lissu kupigwa risasi aliondolewa makao makuu ya chadema na kupelekwa ofisi za Kanda ya Pwani magomeni.
Kikundi hiki kinamiliki vifaa maalumu kinachodukua mawasiliano ya simu na internet ya viongozi wa serikali na watu Mashuhuri hapa nchini.
Vifaa ivyo vinatunzwa na Boniface Jacob, Godbless Lema na Freeman Mbowe.
Hiki kikundi ndicho kikundi hatari sana ndani ya chadema na kinaogopwa sana na viongozi na wanachama Mashuhuri wa chadema kiasi hakuna hata mtu anayeweza kuwasema tofauti na matakwa yao ndani ya chadema.
Kikundi cha Tume pia ndicho kikundi kilichopewa mamlaka ya kufanya mambo ya intelligence ndani ya chadema na kukusanya taarifa na kimepewa jukumu la kuhujumu Vyombo vya Dola.
Kikundi hiki kinafanya pia Doria na wakati mwingine kimeruhusiwa kufanya ujambazi ili kiweze kupata pesa ya kujikimu.
Mratibu wa kikundi hiki ni Ally Kimbau anayedaiwa kuwa alikuwa askari mstaafu wa JWTZ.
Ninaamini kati hao niliyowasena na wakifanyiwa Dressing vizuri na vyombo vya dola watapata mambo mengine mengi kuhusu kikundi hiki na nchi wafadhili wao na walikopelekwa kufanya mafunzo ya kigaidi.