Swali limekosa jibu!Kama ni kweli hayo unayoyasema kwa nini serikali inakataa uchunguzi huru wa matukio haya yote yasiyo ya kawaida. Jibu hili swali.
Swali limekosa jibu!Kama ni kweli hayo unayoyasema kwa nini serikali inakataa uchunguzi huru wa matukio haya yote yasiyo ya kawaida. Jibu hili swali.
Sio kukuharibia tu unaweza jikuta umempa mtu neno zito sana na kwaresma hii kututia tu watu majaribuni mbuzi hawa.....Nyuzi nyingine bhana zinaweza kukuharibia siku
Sio uchunguzi tu hata albadili walikataa watu wasisome kipindi tundu lisu walikataa.....yaani mtu atakama umetumwa waza basi wakati unaandika huo upupu wake...Kama ni kweli hayo unayoyasema kwa nini serikali inakataa uchunguzi huru wa matukio haya yote yasiyo ya kawaida. Jibu hili swali.
Doubt in every single doubt, dunia haiko wazi ktk jambo lolote, hata tarehe ya kuzaliwa kwako inaweza isiwe sahihi kwakuwa hukuwa na akili ya ufahamu.Peleka ujinga wako huko Gheto kwa le mutuz na Jerry muro waliokufundisha utengeneze huu Uzushi na propaganda za kishamba toka kolomije na chato, kwa nini mmeamua kujitoa fahamu na kuwadharau watanzania kiasi hiki? Mna tengeneza ujinga huu mnadhani wataukariri kama zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM? Watanzania wameamka sana wanajua kikundi kibaya cha Nissan nyeupe ni kikundi cha Maliyamungu idd Amin Bashite na waratibu wake ni Lipumba akiwa na vijana wake toka Rwanda na uratibu wa Tz upo chini ya Jerry muro, Le mutuz na Yule mlinzi wa Maliyamungu Bashite anayevaa kapero aliyemtiishia Nape bunduki na huyo huyo ndiyo alienda Dodoma kumpiga Risasi Tundu Lisu, wananchi wanajua kila kitu hata mje na Uzushi gani dhidi ya chadema hakuna wa kuwaamini.
Nilijua watajiumbua wenyewe.Kama kweli vyombo vya serikali ingehusika tayari wangepewa taarifa akina Lema na kuwaambia kuchukua tahadhari.
Kanusha hizo tuhuma...kuwa hicho kikundi hakipo, mleta mada kaweka ushahidi wa majina. Tueleze hayo majina tajwa ya g-3 yanajishughulisha na nini na kwa ushahidi.Peleka ujinga wako huko .....
Ungekuwa ni wewe ndiye serikali, na unajua kuwa upinzani nchini una vinasaba na mataifa makubwa ya kibepari ya Ulaya na Marekani, kwa dhamira zao za kibepari, ungeruhusu hilo jambo litukie? Au unadhani Dunia haijui yanayotukia kwa Congo huratibiwa nje na mataifa hayo? Fanya kwamba intelligensia ya taifa ilishabaini matokeo ya uchunguzi huo, ingeendelea kuruhusu tu?Swali limekosa jibu!
Hahahaaaaa utawajua tu.Uzi huu usio na evidence kwa lengo la kichafu watu haufai, mods uondoeni.
Hii ishu ni kweli kabsa....Mbowe na Le.ma ni watu hatari sana...Inasemekana hata sasa WAMEISHAANDA kikundi fulani cha kufanya mchezo mchafau 26/04.....
Hivi hamjiulizi SERIKALI INAPATA WAPI UJASIRI WA KUWAKAMATA KINA MBOWE tena kipindi amabcho kuna joto la maandamno haya ya kipuuzi mitandaoni???
UPIGWAJI WA LISSU LISASI ni mbo.we na le.ma ndio walio ratibu huu MCHEZO....Nani asiye jua LISSU ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa wachagga NDANI YA chadema AS WELL AS MUSTAKABALI WA uenyekiti wa MBOWE NA lowassa URAIS kuelekea 2020...huyu mbowe kama kweli a
Kupotea kwa saanane ni hiki kikundi ndio kiliratibu huu mchezo kutoka kumtumia SANANE kumtukana RAIS magufuli mpaka kupotea kwa SAANE ni hwa jamaa wanahusika na ndio maana mpaka sasa wanatumia hili jambo kama AJENDA YAO KUU....ACHENI SIASA IITWE SIASA
Mauaji ya kiongozi wa chadema KINONDONI ni hawa JAMAA WALIRATIBU....kama plan B ya kutaka kushinda KINONDONI
Ongezea nyama mkuu.Wakitaka zaidi na mimi wanitafute,nitaobgezea.
Umeongea ukweli uliopitiliza.
Bravo