CHADEMA na Siri za vyombo vya dola

CHADEMA na Siri za vyombo vya dola

Mkuu nipo mahakamani ndani, Mbona sikuoni ? au upo kwa nje ?

Mkuu niko shambani maana mvua zimeshika kasi. Si unajua tena sisi ndio tunalima nyie mko ofisini mnatupangia bei. Halafu mkishiba chakula cha bei rahisi mnaanza kejeli kwamba ukishindwa maisha kalime!? Mkimaanisha kilimo ni kimbilio la walioshindwa maisha.
 
pamoja na yote tukio la lissu kupigwa risasi katika majengo ya serikali 109% vyombo vya dola vinahusika.
 
Bila shaka wanakulipa vizuri. Kwa nini usipeleke taarifa polisi?
 
My shooter be begging "please, " he's ready to wack a nigga
 
Tuna rais jiwe. Na alisema mwenyewe kuwa yeye jiwe kweli kweli. Sasa nimelitafakari jiwe kwa upande wa pili nimegundua jiwe ni mzigo. Mpaka lisukumwe ndio linamove. Jiwe....jiwe.....mwenye ndoto za kuwa kiongozi mkuu wa malaika. Hapa kazi tu.
 
Kama ni kweli hayo unayoyasema kwa nini serikali inakataa uchunguzi huru wa matukio haya yote yasiyo ya kawaida. Jibu hili swali.
Hapo jibu halipo na hawezi kukusogelea tena
 
It's the matter of time..!

Everything will be unmasked.
 
Back
Top Bottom