ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Hakuna dhambi mbaya duniani kama kukata tamaa! Akina Mandela, Quatara, Sata wangekata tamaa, wasingefikia mafanikio waliyoyapata! Amka ndugu yangu. Leo unazungumzia ruzuku "kubwa" wanayoipata cdm huku ukitaka kuwatenga waliopigana hadi ikapatikana!? Tafakari mafanikio ya cdm halafu uwaweke mbele walioyafanikisha utajikuta umeachana na propaganda za kijinga zinazoenezwa na ccm! Sio kazi rahisi kwa chama kutoka wabunge 5 hadi 23 majimboni!
lakini hata kama wamefanikiwa, siyo wajilipe watakavyo. wamefika hapo ni kwa sapoti ya wazalendo. kama taarifa hizi ni za kweli, itatuumiza wengi hasa kwa Mbowe kujilipa eti deni alilokikopa CDM. Kwa upande wa dk. Slaa, siyo shida sana, kwani ni mshahara wa kazi nzuri anayoifanya.
Hivi tunaweza kufanya CHECK AND BALANCE ya vyama vyetu? Au huwa hawaweki wazi taarifa za mapato na matumizi ya chama?