Kila chama cha siasa kina mizizi yake.cuf Pemba,cdm kaskazini,ccm pwani,nk nk.
Tanzania haina ukabila japo ina makabila.Tanzania haina dini japo wa-tz wana dini.Huwezi kuwa m-tz bila aidha kutoka znz ama Tanganyika(tz bara.)Mkianza kudhani kua kwa kujiimarisha pwani (msikotakiwa)ndo mtakuwa mmejijenga ki-taifa mnajidanganya wala hamko kimkakati.
Jiimarisheni kule mby,ir,singida,mtwara,ruvuma na kagera.Pwani yetu tuachieni kwani hatutaki vurugu.RAISI AJAE TWAMJUA WENYEWE WA PWANI NA JINA ANALO.
CHEERS!
Tanzania haina ukabila japo ina makabila.Tanzania haina dini japo wa-tz wana dini.Huwezi kuwa m-tz bila aidha kutoka znz ama Tanganyika(tz bara.)Mkianza kudhani kua kwa kujiimarisha pwani (msikotakiwa)ndo mtakuwa mmejijenga ki-taifa mnajidanganya wala hamko kimkakati.
Jiimarisheni kule mby,ir,singida,mtwara,ruvuma na kagera.Pwani yetu tuachieni kwani hatutaki vurugu.RAISI AJAE TWAMJUA WENYEWE WA PWANI NA JINA ANALO.
CHEERS!