johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Itakuwa ni kichekesho cha mwaka kama mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe atashindwa kuteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho.
Mbowe alipaswa kujiuzulu kwa muda uenyekiti ili kupisha mchakato wa kumpata mtu atakayepeperusha bendera ya Chadema kwa nafasi ya Rais katika uchaguzi mkuu.
Kwa hali ilivyo sasa hapatakuwa na Usawa na hao wagombea wengine 10 watakuwa wanamsindikiza mwenyekiti.
Maendeleo hayana vyama!
Mbowe alipaswa kujiuzulu kwa muda uenyekiti ili kupisha mchakato wa kumpata mtu atakayepeperusha bendera ya Chadema kwa nafasi ya Rais katika uchaguzi mkuu.
Kwa hali ilivyo sasa hapatakuwa na Usawa na hao wagombea wengine 10 watakuwa wanamsindikiza mwenyekiti.
Maendeleo hayana vyama!