Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,732
- 14,624
Bonge la ubunifu!!japo magamba walishaanza kuitumia hiyo miaka ya 80-90 ila walituonyesha kilimo cha kahawa huku kwetu bukoba na kilimanjaro,wakatudanganya kuwa bila ccm kahawa haitastawi,leo tukija na mbadala wake itakuwa poa sana,ni akili kutumia silaha ya adui yako!!kama unaimudu.