CDM kinaongozwa na wasomi waliobobea. Hiyo ni marketing!!! Kama ulikuwa hufahamu ndiyo wenzako wanachukua points 2015!!
Mh nadhani umechemka hapa. CDM Kupitia kwa Aikael na Wilbroad hawakusema kuwa hawamtambui rais. Issue ilikuwa ni mchakato wa kumpata raisi (uchaguzi) ndo walikataa kukubaliana nao na kwa katiba ya sasa huwezi kwenda kupinga rais mteule mahakamani. Ili kuelezea hisia zao ndo maana walitoka bungeni ili ulimwengu ujue kuwa hawakubaliani na mchakato uliomuweka JK ikulu but hawakuwa na ugomvi nae kama rais au kama JK.
Kuhusu bungeni kama unakumbuka kwenye hii bill ya katiba mpya, baada ya Tundu kusoma hotuba yake, wakina Mnyika walijaribu kuomba mwongozo wa spika lakini ama Makinda akasema wanapoteza mda, thats y wakaamua kutoka maana hawakuwa na jinsi ya kuwasilisha hoja ya kuahirisha bunge ili muswada usijadiliwe.
Nahisi wewe ni gamba maana ile move ya kwenda kwa rais was a good step. Unajua maandamano huwa ni last solution kama njia zote za kukaa mezani zimeshindikana. Sasa kama walishindwa kwa spika, the last option was the Presidaa ambayo nayo waliitumia bila mafanikio.But at least they tried. Watu ambao sikujua wamefata nini ikulu ni CCM B (CUF) maana walikubaliana bungeni na muswada ukapita. Anyway nimejaribu kuelezea kwa kirefu maana naona umepotoka sana au umeamua kutukwaza wana JF. Usiwapoteze wenzio nadhani thread kama hizi wapelekee UHURU PUBLICATIONS
Hebu nitajie listi ya hao wasomi!!CDM kinaongozwa na wasomi waliobobea. Hiyo ni marketing!!! Kama ulikuwa hufahamu ndiyo wenzako wanachukua points 2015!!
Una hoja na madai marehemu sana siamini kama wewe ni thinket kweli.
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia muswada wa katiba. Siku chache baadae wakaenda ikulu kuongea na rais kuhusu mswada huohuo walioukimbia bungeni. Hivi, hawa wenzetu na tabia zao za kususa, tukiwapa nchi wataweza ? CDM jifunzeni kuwa wavumilivu
wasomi wepi? Dj mwenyekiti au mzee wa din katib,mbona kwenye ccm watu kama hao wapo alafu hawana kaz kama nyinyi mnaosumbuka nao,cdm ni wachanga hawana uvumiliv na kwa hal hi cjui uchaguz wa ndan ya chama itakuaje
akili yako mbovu unazungumza ushabiki wa kijinga hili swala la kutoka nje hata ndugai aliltolea ufafanuzi bungeni na hata msajili ameshalieleza ni haki kikatiba hata maandamano yapo kisheria sasa ukileta hoja kama vile ni jambo la ajabu aaaa naogo kutoa matusi ,waulize serikali yako kipi bora au kipaumbele kimaendeleo tuna kila kitu mungu ametupa bureee,hatuna maji,umeme reli ndege hata vifaa vidogo tu vya uokoaji mafuriko dar yakitokea songe itakuaje?
Hebu nitajie listi ya hao wasomi!!
Sugu???
Lema??
Sugu ni form 4 leaver na pia ana cert ya birmingham college,Lema ana adv diploma,ebu nami naomba nisaidie ya maji marefu na ya Komba
wasomi wepi? Dj mwenyekiti au mzee wa din katib,mbona kwenye ccm watu kama hao wapo alafu hawana kaz kama nyinyi mnaosumbuka nao,cdm ni wachanga hawana uvumiliv na kwa hal hi cjui uchaguz wa ndan ya chama itakuaje
Hebu nitajie listi ya hao wasomi!!
Sugu???
Lema??
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia muswada wa katiba. Siku chache baadae wakaenda ikulu kuongea na rais kuhusu mswada huohuo walioukimbia bungeni. Hivi, hawa wenzetu na tabia zao za kususa, tukiwapa nchi wataweza ? CDM jifunzeni kuwa wavumilivu
Dj ana elimu gani vile?na katibu ni phd holder wa heshima au sio?kazi kweli kweli,yeah c.c.m wapo wengi na hawana uongoz kwy chama,ndo maana wengi wao wana amua kuuchapa usingz bungen na si kuchangia hoja,kwa vile wana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko wachangiaji wengine!vp unapoishi kuna maji safi na umeme kweli?