CHADEMA na harakati za leo

novava

New Member
Jul 12, 2011
3
1
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia muswada wa katiba. Siku chache baadae wakaenda ikulu kuongea na rais kuhusu mswada huohuo walioukimbia bungeni. Hivi, hawa wenzetu na tabia zao za kususa, tukiwapa nchi wataweza ? CDM jifunzeni kuwa wavumilivu
 
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia muswada wa katiba. Siku chache baadae wakaenda ikulu kuongea na rais kuhusu mswada huohuo walioukimbia bungeni. Hivi, hawa wenzetu na tabia zao za kususa, tukiwapa nchi wataweza ? CDM jifunzeni kuwa wavumilivu

Kapimwe akili kwanza wewe this guys are strategic and all the messages sent.
 
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia muswada wa katiba. Siku chache baadae wakaenda ikulu kuongea na rais kuhusu mswada huohuo walioukimbia bungeni. Hivi, hawa wenzetu na tabia zao za kususa, tukiwapa nchi wataweza ? CDM jifunzeni kuwa wavumilivu
akili yako na ccm ni saawa hawakusema hamtambui ebu jaribi kuwa makini na mfuatiliaji wa mambo pumbafu
 
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia muswada wa katiba. Siku chache baadae wakaenda ikulu kuongea na rais kuhusu mswada huohuo walioukimbia bungeni. Hivi, hawa wenzetu na tabia zao za kususa, tukiwapa nchi wataweza ? CDM jifunzeni kuwa wavumilivu

Hivi unaitwa nani vile
 
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia muswada wa katiba. Siku chache baadae wakaenda ikulu kuongea na rais kuhusu mswada huohuo walioukimbia bungeni. Hivi, hawa wenzetu na tabia zao za kususa, tukiwapa nchi wataweza ? CDM jifunzeni kuwa wavumilivu

Mh nadhani umechemka hapa. CDM Kupitia kwa Aikael na Wilbroad hawakusema kuwa hawamtambui rais. Issue ilikuwa ni mchakato wa kumpata raisi (uchaguzi) ndo walikataa kukubaliana nao na kwa katiba ya sasa huwezi kwenda kupinga rais mteule mahakamani. Ili kuelezea hisia zao ndo maana walitoka bungeni ili ulimwengu ujue kuwa hawakubaliani na mchakato uliomuweka JK ikulu but hawakuwa na ugomvi nae kama rais au kama JK.
Kuhusu bungeni kama unakumbuka kwenye hii bill ya katiba mpya, baada ya Tundu kusoma hotuba yake, wakina Mnyika walijaribu kuomba mwongozo wa spika lakini ama Makinda akasema wanapoteza mda, thats y wakaamua kutoka maana hawakuwa na jinsi ya kuwasilisha hoja ya kuahirisha bunge ili muswada usijadiliwe.
Nahisi wewe ni gamba maana ile move ya kwenda kwa rais was a good step. Unajua maandamano huwa ni last solution kama njia zote za kukaa mezani zimeshindikana. Sasa kama walishindwa kwa spika, the last option was the Presidaa ambayo nayo waliitumia bila mafanikio.But at least they tried. Watu ambao sikujua wamefata nini ikulu ni CCM B (CUF) maana walikubaliana bungeni na muswada ukapita. Anyway nimejaribu kuelezea kwa kirefu maana naona umepotoka sana au umeamua kutukwaza wana JF. Usiwapoteze wenzio nadhani thread kama hizi wapelekee UHURU PUBLICATIONS
 
CDM kinaongozwa na wasomi waliobobea. Hiyo ni marketing!!! Kama ulikuwa hufahamu ndiyo wenzako wanachukua points 2015!!
 
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia
muswada wa katiba. Siku chache baadae
wakaenda ikulu kuongea na rais kuhusu
mswada huohuo walioukimbia bungeni. Hivi,
hawa wenzetu na tabia zao za kususa, tuki
wapa
nchi wataweza ? CDM jifunzeni kuwa wavumilivu

Cha kushangaza posho hawasusi,ila kwa vile wafuasi wao ni vipofu juu yao wanadanganyika.
 
Cha kushangaza posho hawasusi,ila kwa vile wafuasi wao ni vipofu juu yao wanadanganyika.

Ndugu upo Bonde lipi, Msasani, kwa mtogole, kigogo au kwa Tumbo? Inaonekana akili imechanganyika na maji ya kinyesi.
 
Ndugu upo Bonde lipi, Msasani, kwa mtogole, kigogo au kwa Tumbo? Inaonekana akili imechanganyika na maji ya kinyesi.

Ha ha haa nisingejali kabisa kuwa huko kwa kuwa wanaishi watanzania kama mimi,ambao wakati
wa campaign huwa mnawafuata na kwenye hayo
maandamano yenu ndio wanaotoka.

Lakini hii haiondoi ukweli kwamba jamaa wako kimaslahi na posho zinaingia kwenye account kama kawa,
kifupi wale watu ni matajiri na kwenye hili itikadi za vyama zinawekwa pembeni wanakua wamoja
ila kwa upofu wenu mnadanganywa eti hawapokei sijui hawasaign sijui bla bla gani ujinga mtupu he he heee! Hii ndio BONGO!!!
 
Ha ha haa nisingejali kabisa kuwa huko kwa kuwa wanaishi watanzania kama mimi,ambao wakati
wa campaign huwa mnawafuata na kwenye hayo
maandamano yenu ndio wanaotoka.

Lakini hii haiondoi ukweli kwamba jamaa wako kimaslahi na posho zinaingia kwenye account kama kawa,
kifupi wale watu ni matajiri na kwenye hili itikadi za vyama zinawekwa pembeni wanakua wamoja
ila kwa upofu wenu mnadanganywa eti hawapokei sijui hawasaign sijui bla bla gani ujinga mtupu he he heee! Hii ndio BONGO!!!

wanapokea posho ambayo nani kaitoa! thubutu kum-analaiz anayetoa hii posho ambayo inaonekana nawe inakukera.
 
wanapokea posho ambayo nani kaitoa! thubutu kum-analaiz anayetoa hii posho ambayo inaonekana nawe inakukera.

He he kwanza bora umekubali kama wanapokea.

Anayetoa ni serikali ila hapa haijalishi anayetoa hawa walishajidai hawapokei sitting
allowance lakini ukweli ni kwamba jamaa wanapokea na hata hii ya laki mbili kabla ya kuibuka mbona walikuwa wanapokea,lazima
kuchanganya na za kwako (namaanisha akili)
 
Ha ha haa nisingejali kabisa kuwa huko kwa kuwa wanaishi watanzania kama mimi,ambao wakati
wa campaign huwa mnawafuata na kwenye hayo
maandamano yenu ndio wanaotoka.

Lakini hii haiondoi ukweli kwamba jamaa wako kimaslahi na posho zinaingia kwenye account kama kawa,
kifupi wale watu ni matajiri na kwenye hili itikadi za vyama zinawekwa pembeni wanakua wamoja
ila kwa upofu wenu mnadanganywa eti hawapokei sijui hawasaign sijui bla bla gani ujinga mtupu he he heee! Hii ndio BONGO!!!

Una hoja na madai marehemu sana siamini kama wewe ni thinket kweli.
 
ukweli napenda ukweli niliungana nao kwenye hili la kupinga posho...lakini kama wamekuwa ndumilakuliwi wanaongea tofauti na wanatenda tofauti. Wamekuwa popo wanatuhadaa naomba kama kuna mbunge yoyote wa chadema aliongelee hili. Huu ni usaliti kuliko wa yule ambae hakuonyesha unafiki na kuchukua posho moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom