Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,326
- 92,485
And viceversa.....wana CCM kwa kweli wanadharauliwa sana humu jamvini,wanaonekana hawana ufahamu wa siasa na hawajui kinachoendelea au ni mafisadi au watoto wa mafisadi,usalama etc..
Hii si kweli
Mpaka leo humu jamvini sijawahi kuona mwananccm mwenye hoja na makini zaidi ya William Malecela, hata pale inapotokea anakejeliwa basi huwa akejeriwi kwa uccm wake bali kutokana na jina lake, lazima ukubali kwamba kuna wameshajenga chuki ya kuduma kwa mtu yeyote mwenye jina linalotokea kwenye utawala wa nchi basi uhukumiwa kwa jina lake na sio matendo yake. this is not fare.
Ila miccm mingi iliyopo humu JF ni puppets na vibaraka waliotumwa kuja kuvuruga mijadala akiwamo malaria sugu, Jeykey, Genious Brain, Ndauka, Faiza Fox, Mahesabu n.k