CHADEMA: Mzozo Taasisi vs Wanaharakati

CHADEMA: Mzozo Taasisi vs Wanaharakati

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
755
Reaction score
675
Kinachowatesa wafuasi wa CHADEMA wale wanaodhani wana ushawishi ni kuingia kwenye mfumo wa Wanaharakati, hivyo kuna mambo yanapaswa kwenda kitaasisi ila wanajikuta wanaogopa kupoteza support ya Wanaharakati. Watakuja kustuka kumekucha. Jana mmembeza na kumtukana Freeman Mbowe, Leo huyu mmemuandalia kombola gani?
IMG-20260911-WA0020.jpg

 
..Wamekosea uandishi.

..walipaswa kum-address kama Mwenyekiti wa Ccm.
Hivi vyama na hata taasisi za serikali vinakosaga PR experts, ilipaswa kuwekwa ambigous message na fupi sana hakukuwa na haja ya paragraph zote hizo kwa mtu tusiyemtambua kama Rais.
 
Kinachowatesa wafuasi wa CHADEMA wale wanaodhani wana ushawishi ni kuingia kwenye mfumo wa Wanaharakati, hivyo kuna mambo yanapaswa kwenda kitaasisi ila wanajikuta wanaogopa kupoteza support ya Wanaharakati. Watakuja kustuka kumekucha. Jana mmembeza na kumtukana Freeman Mbowe, Leo huyu mmemuandalia kombola gani?View attachment 3668386
View attachment 3668387
Hizo Salaam zilitolewa siku ileile aliyofiwa, narua ndiyo imeandikwa leo baada ya kukumbushia. Hizo habari zako za Mbowe kaa nazo
 
Kinachowatesa wafuasi wa CHADEMA wale wanaodhani wana ushawishi ni kuingia kwenye mfumo wa Wanaharakati, hivyo kuna mambo yanapaswa kwenda kitaasisi ila wanajikuta wanaogopa kupoteza support ya Wanaharakati. Watakuja kustuka kumekucha. Jana mmembeza na kumtukana Freeman Mbowe, Leo huyu mmemuandalia kombola gani?View attachment 3668386
View attachment 3668387
Hii barua ipo kwenye kurasa rasmi za Chadema?
 
Back
Top Bottom