CCM MABWENYENYE na CCM MAFUKARA IMEKUINGIA, nenda ukazimue kabisa na viroba
VIROBA unakunywa wewe, lema, yericko, kilewo na kibatala
CCM MABWENYENYE na CCM MAFUKARA IMEKUINGIA, nenda ukazimue kabisa na viroba
Hatokuwepo na atutaki aje...maana viongozi na wahudhuriaji wote kwenye mkutano huu ni wakristo watupu.
viroba unakunywa wewe, lema, yericko, kilewo na kibatala
nimeipenda hiyo..... Wengine wanakula bata wao wanasindikiza tukuna chama kinaitwa chadema, au unadhani ni kama huko ccm, kuna ccm mabwenyeye na siasa mafukara!
good. tuko pamoja mkuu. Huku mwanza tamko mtaliona ktk ITV tumefunga break wasaliti kujipitisha kwa jina la chadema
kamuulize msajili wa vyama vya siasaHiv sasa hivi kuna CHADEMA ngapi?
mkuu unazungumziaa chadema gani family au academy?