CHADEMA muheza kumekucha ripoti hii hapa

CHADEMA muheza kumekucha ripoti hii hapa

Magembejr

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
618
Reaction score
75
chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA)wilaya ya muheza tunapenda kutoa taarifa kwa makamanda wote kuwa leo tuna mkutano mkubwa wa kujenga chama utakao fanyika kata ya tingeni kuanzia saa 8 mchana,ambapo kuanzia asubuhi leo viongozi wa chadema ni msingi wamesimamia zoezi vyema,watakao unguruma leo ni katibu wa mkoa ndugu jonathan baweje,katibu wilaya lukindo mohamed,m/k wilaya mathius karuasha,m/k wa m4c (w) riziki magembe,kamanda wa wanawake(w) grace mbago na salehe mbwego mjumbe kamati ya utendaji,vivaaaa chadema muheza
 
Safi sana
hakuna kulala mpaka..............................
 
Wajinga wachache hawawezi kuyumbisha, Chadema ni tegemea la Mtanzania maskini wakati ccm ni tegemea la Majangiri na Mafisadi na wahujumu uchumi.!
 
mkuu unazungumziaa chadema gani family au academy?
 
chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA)wilaya ya muheza tunapenda kutoa taarifa kwa makamanda wote kuwa leo tuna mkutano mkubwa wa kujenga chama utakao fanyika kata ya tingeni kuanzia saa 8 mchana,ambapo kuanzia asubuhi leo viongozi wa chadema ni msingi wamesimamia zoezi vyema,watakao unguruma leo ni katibu wa mkoa ndugu jonathan baweje,katibu wilaya lukindo mohamed,m/k wilaya mathius karuasha,m/k wa m4c (w) riziki magembe,kamanda wa wanawake(w) grace mbago na salehe mbwego mjumbe kamati ya utendaji,vivaaaa chadema muheza
Mohamedi Mtoi atakuwepo?
 
Last edited by a moderator:
chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA)wilaya ya muheza tunapenda kutoa taarifa kwa makamanda wote kuwa leo tuna mkutano mkubwa wa kujenga chama utakao fanyika kata ya tingeni kuanzia saa 8 mchana,ambapo kuanzia asubuhi leo viongozi wa chadema ni msingi wamesimamia zoezi vyema,watakao unguruma leo ni katibu wa mkoa ndugu jonathan baweje,katibu wilaya lukindo mohamed,m/k wilaya mathius karuasha,m/k wa m4c (w) riziki magembe,kamanda wa wanawake(w) grace mbago na salehe mbwego mjumbe kamati ya utendaji,vivaaaa chadema muheza
Pigeni kazi ukombozi wa pili kutoka mikononi mwa wakoloni weusi MACCM umekaribia
 
Back
Top Bottom