Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,360
Acha uongo CDM ni ya Mbowe na Slaa, wengine wasindikizaji tu. Kwa sababu mmevurugwa hamtokubali na mtaanza matusi yenu kama kawaida yenu. I like CDM but I hate Mbowe na Slaa.
Situkani mtu, sitatukana mtu. Nipo jf jukwaa la siasa kufanya siasa; kwa maana ya kutoa mawazo yangu yanayoweza kuwa mchango mzuri ktk ujenzi wa taifa langu.
Siasa kwangu ni 'locomotive' ya maendeleo. Nilijizuia sana kuingia uwanja huu kwa sababu ya tabia ya washabiki wa siasa bado nikaona hilo halisaidii kujenga taifa. Niligundua wanasiasa hawatukani, na wakitukana wanawajibishwa. Ila mashabiki wa siasa wanaweza kutukana, wanaweza, wakati mwingine kwa tabia yao ya ushabiki wakashinikiza jamii kuchagua viongozi wezi na mafisadi. Sasa niporasimi uwanja wa siasa.
Nikitukanwa sitatukana, japo ktk hatua za kuelimisha mtu aweza fikiri nimetukana (kutokana na mtizamo wake, maana wakati mwingine neno ni tusi kutokana mtazamo wa mtu).
Please usiniite mwongo na usinijumuishe ktk kundi la waongo.