PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,788
Ndio mzizi gani huo mwenzetu?mkuu unazungumziaa chadema gani family au acamy?
Ndio mzizi gani huo mwenzetu?mkuu unazungumziaa chadema gani family au acamy?
Ndio mzizi gani huo mwenzetu?
Mohamedi Mtoi atakuwepo?
Nzuri mkuu wangu na kwako pia.Heri ya mwaka mpya mkuu
peoplezzzzzzzzzzz
Mohamedi Mtoi atakuwepo?
Wajinga wachache hawawezi kuyumbisha, Chadema ni tegemea la Mtanzania maskini wakati ccm ni tegemea la Majangiri na Mafisadi na wahujumu uchumi.!
Tatizo siku hizi tangu muanze kutimuana hamtaki kabisa kutuwekea picha za mikutano ya chama sijui kwanini?
chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA)wilaya ya muheza tunapenda kutoa taarifa kwa makamanda wote kuwa leo tuna mkutano mkubwa wa kujenga chama utakao fanyika kata ya tingeni kuanzia saa 8 mchana,ambapo kuanzia asubuhi leo viongozi wa chadema ni msingi wamesimamia zoezi vyema,watakao unguruma leo ni katibu wa mkoa ndugu jonathan baweje,katibu wilaya lukindo mohamed,m/k wilaya mathius karuasha,m/k wa m4c (w) riziki magembe,kamanda wa wanawake(w) grace mbago na salehe mbwego mjumbe kamati ya utendaji,vivaaaa chadema muheza
Tatizo siku hizi tangu muanze kutimuana hamtaki kabisa kutuwekea picha za mikutano ya chama sijui kwanini?
ITEGAMATWI (waambie jf maana ya jina lako) uone kama hautanyanganywa uraia kesho.
chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA)wilaya ya muheza tunapenda kutoa taarifa kwa makamanda wote kuwa leo tuna mkutano mkubwa wa kujenga chama utakao fanyika kata ya tingeni kuanzia saa 8 mchana,ambapo kuanzia asubuhi leo viongozi wa chadema ni msingi wamesimamia zoezi vyema,watakao UNGURUMA leo ni katibu wa mkoa ndugu jonathan baweje,katibu wilaya lukindo mohamed,m/k wilaya mathius karuasha,m/k wa m4c (w) riziki magembe,kamanda wa wanawake(w) grace mbago na salehe mbwego mjumbe kamati ya utendaji,vivaaaa chadema muheza