truckdriver
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 557
- 257
Mbona CUF wame gain sana huku bara
Muungano huo wala haukunufaisha CUF, CUF wamepata kura katika majimbo ambayo walikuwa na nguvu tayari bila ata ya ukawa, sehemu ambazo chadema wamelazimisha mfano mtama wote wameangukia pua.
Cuf wametwaa viti 7 bara kwa mara ya kwanza ...sasa wamefaidika na ushirikiano. Tena kikiwemo kiti kikubwa cha Tanga mjini na mtwara mjini....
chadema wamepoteza nn wakati wamewang'oa mawaziri kibao wa ccm, au wewe hufuatilii matokeo imebaki ushabiki tu.
Ata angekesha akihutubia monduli longido arumeru magh na njiro asinge kaa apate ht jimbo thx to lowassa kwa kutupa kick arusha na manyara
Mzee huyu aliamua kufanya subra tu kwa sababu alijua ngoma ya watoto haikeshi, hakika Dr Slaa kwa kupinga kwake mafisadi kupewa nafasi CDM akasimamia msimamo wake aliouamini amepata sifa kubwa sana kwa wazalendo wa Tz wamejua sasa pumba na mchele.
Nakuombea maisha marefu Dr urudi tena kufundisha vijana, kukuza vijana ambao watalitumikia Taifa siku zijazo.
UCHAMBUZI wake hauna uhalisia. Kama kuna chama kimefaidika katika umoja huu ni CUF, wamepatawabunge kibao bara. Ninaona pia CHADEMA wataongeza wabunge...tusubiri hadi mwisho.Naona Kama umewahi Sana kuchambua. Subiri matokeo yakamilike. Mimi naona chadema wabunge wanaweza kuwa wengi kuliko wa 2010. Halmashauri walizoshika mpaka sasa hv ni nying kuliko 2010. Matokeo yakikamilika unaweza kufanya analysis nzuri.
Kwani mkuu sasa hivi Zitto na ACT yake ameshinda majimbo mangapi so far,na kabla hajatoka Chadema alikuwa na madiwani wangapi kwenye jimbo lake?ila zito ni kiboko aiseevkachukua jimbo na madiwani kibaoo
Muungano huo wala haukunufaisha CUF, CUF wamepata kura katika majimbo ambayo walikuwa na nguvu tayari bila ata ya ukawa, sehemu ambazo chadema wamelazimisha mfano mtama wote wameangukia pua.
...Dr. Slaa hata angepewa kugombea urais ukawa wasingepata wabunge wengi kama waliowapata kwa Lowassa kugombea urais...Hili bado wengi hawalisemi lakini ukweli utajidhihirisha baada ya majimbo yote kutangazwa washindi....Watu watakuja kujua umahiri wa siasa alizofanya Mbowe na wenzake kumpokea Lowassa ukawa....maana mtaji wa Lowassa matokeo yake ni wabunge tele kushinda ubunge na kuongeza nguvu ya upinzani bungeni....
....watu wamebaki kuangalia matokeo y urais tu..lakini wanasahau kuwa kuna idadi kubwa ya wabunge wamepatikana ukawa kutokana na nguvu ya Lowassa maeneo husika....huu ndio mtaji wa Lowassa ambao hata Dr.Slaa hangefikia hata nusu yake.....Kwangu mimi wa kusifiwa sana ni Mbowe na wenzake (na Lowassa) kwa kazi nzuri ya kupambana na ccm(watawala) kwenye uchaguzi huu uliojaa mizengwe tele kwenye kutangaza washindi wa upinzani...
....watu wasiumie sana na ukawa kukosa urais kama ikitokea hivyo)bali waangalie matokeo mazuri ya ubunge yatakayoondoa uchuro wa ccm bungeni....hili ndilo la kujisifia upinzani....
Utakuwa mata.ko wewe mjinga sana! Yaani huoni kama Lowassa ndo kachochea haya? UKAWA imeongeza wabunge wengi sana kupitia ujio wa Lowassa, hivyo huyo babu Dr. Mihogo hatuna cha kumkumbuka!!Viti vya Chadema viliongezwa na harakati za Dr Slaa tokea mwaka 2010 alipozunguka nchi nzima kuijenga, huyo fisadi kaja na wachumia tonge tu maana wapiga kura wote wa Chadema walishakuwepo. Wengi walijiweka kando kuwapisha viongozi masilahi ambao walikubali kula matapishi yao ili visenti vya Lowassa visiwapite
...exactly....Lowassa (na wenzake) watu watakuja kumwona shujaa wa upinzani muda si mrefu...ni suala la mda tu...hili bado watu hawajalisemea.....Mkuu nimekuelewa sana, lowassa ameleta Impact kubwa Kwa upinzani ambayo dr slaa hasingeweza kuifikia