The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,141
- 14,663
Hawapewi kwa hisani bali sheriaTangu lini mtu anaepewa mshahara na ulinzi na serikali akawa mpinzani? Kwa sasa wako huko kwa "kazi maalum"
Hawapewi kwa hisani bali sheriaTangu lini mtu anaepewa mshahara na ulinzi na serikali akawa mpinzani? Kwa sasa wako huko kwa "kazi maalum"
Rikali sio ccm,inaongozwa nao tu,mfano ukiwa unapesa mpesa 100,000 unakiwa unaidai vodacom ltd sio wanahisa kesho akibadilika mmiliki deni anawajibika mwingineKuna mtumishi yeyote wa umma hasiyelipwa na serikali (umma) ?
Kuna tofauti kati ya mke/hawalaHata chadema inapewa ruzuku na serikali lakini bado ni wapinzani