CHADEMA mtafakari kauli zenu

Yaani risasi ikapigwe pale magogoni(kwenye makazi ya baba jeska) na mpigaji asijulikane, kweli?
Acheni akili ndogo nyie watu, nendeni mkatubu kwanza, ili tujue mmetubu, mkishatubu endeleeni na ile ngonjera rahisi ya Tanzania ya viwanda vinginevyo vioja kama hizi ni ngumu sana kueleweka.
 
Mungu aliufisha mpango wenu wa Kishetani akawainyesha kwamba yeye ni Mungu anaeishi,na kuwa mwanadamu ni kiumbe dhaifu mbele zake licha ya kuwa ametukirimia akili na maarifa,Lisu is a living Miracle,ndio maana Hata Pogba na mwanae Manenepa wanaweweseka kwa kutoamini kilichotokea
 
Yaani risasi ikapigwe pale magogoni na mpigaji asijulikane, kweli achenibakili ndogo nyie watu nendeni mkatubu, ili tujue mmetubu ngonjera rahisi kama hizi ni ngumu sana kueleweka.
Sasa aliepiga si anajulikana leteni picha isaidie polisi!
 
Hawawezi kukujibu hili swali watarukaruka kama bisi
 
Tundu lissu katengeneza drama ya kudanganya jumuiya ya kimataifa kuwa nchi inaongozwa na dikteta matokeo yake picha imebuma na amepuuzwa!
Nadhani wewe ndio umebuma,maana CNN na BBC wameipa kua habari ya kwanza kabisa,au kwasababu wenzetu kidhungu kwenu ni sheeeeeda
 
Tatizo ndugu Lissu anafanya siasa kwa kila jambo, alijamba polisi hawana mamlaka ya kumhoji akiwa Nairobi, leo tena anaanza kulalamika. Nyie watu manataka nini?
Kweli nyie ni mazwazwa wa kiwango cha lami,Tundu Lisu si ndie aliwafundisha utaratibu wa sheria za kimataifa namna ya kumuhoji,mlitakiwa muombe kibali Kenya ndio mngeruhusiwa kwenda kumuhoji,je mlifanya hivyo?
 
Kadri siku zinavyokwenda ndivyo rangi halisi ya hawa watu tunavyozidi kuiona, kwanza niseme ni jambo baya kwa bwana Mbunge mheshimiwa kupigwa risasi hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufurahia, lakini ni jambo baya sana kwa bwana Mbunge kutumia hisia kutuhumu watu ambao hata anapozungumza anatumia dhana akihusianisha matukio, binafsi alipokuwa akitoa taarifa yake nikawa nasubiri strong evidences lakini hakuna ni dhana tu zilitawala. Siamini kabisa kwamba serikali ina watu wajinga namna hiyo ya kupiga watu risasi eti ili wawazime, na suala lenyewe limejaa siasa nyingi kiasi cha kushindwa kujua mshambuliaji alitokea wapi
 
Sasa aliepiga si anajulikana leteni picha isaidie polisi!
Akili za makinikia hz,yani mpango muupange nyinyi alafu mumfichue alieutekeleza?kumbuka sinema ya ulimboka na mtuhumiwa feki HV aliishia wapi?
 
Yeah, alijinadi anajua Kinyiramba na Kiingereza na Kiswahili akawaambia chagueni wanasema Kiswahili loooooh hakuna BBC hakuna CNN anajiona let down yeye ni star wa kimataifa. Hiyo ya polisi nakumbuka alisema "mapolisi wa Magufuli nasikia wanakuja watu kunihoji mimi ni mwanasheria najua MIGA Convention hawawezi kuja bila kibali changu kupitia kwa IGP wa Nairobi akiombwa na Serkali ya Tanzania". Kasema pia ndugu zake zake walishaandika barua serkalini lakini huko nyuma alishawakataza akisema yeye hataki fadhila. La Muhimbili sikulisikia alisema ni wazembe? Ila alisifia hospitali ya Nairibi akasema hapa hawatibiwi nje kasahau yuko nje.
 
Una ushahidi lissu mwenyewe alishakiri hao watu hawajui!
Hoja hapa siyo kuwajua washambuliaji jibu hoja kuhusu CCTV camera zilipelekwa wapi baada ya tukio? na je walinzi wa maeneo hayo walienda wapi siku ya tukio?. Kama hawakuwepo bila kuambiwa kwanini waendelee kuwa uraiani hao polisi / walinzi ? Kwanini isionekane kwamba wao ndiyo waliokula njama?
 
Unaposema haliwezi kujikamatia tu mtu yeyote unamaanisha nini?

Yani wafanye uchunguzi halafu wajikamatie mtu yeyote? Nini maana ya uchunguzi?

Na kwa sababu Tawi la CCM aka PoliCCM limemkamata Katibu wa Chadema Mara lea sababu ya kutoa picha ya Diwani aliyaongea CCM jana.

Hili ndilo Jeshi la Polisi linalofanya kazi lea weledi hongera mleta mada
 
Akili za makinikia hz,yani mpango muupange nyinyi alafu mumfichue alieutekeleza?kumbuka sinema ya ulimboka na mtuhumiwa feki HV aliishia wapi?
Mtuhumiwa mnamjua mtajeni!
 
Kama zilikuwepo ulisikia na kama ziliondolewa ulisikia zinabaki siasa tu!
 
mkuu usiwe kama kasuku wa kihindi anaekariri maneno!
Wewe ndo kasuku wa kihindi..maana akili zako zimeshikiliwa lumumba..umebaki kama drone inayoendeshwa kwa computer mahali flani..nina imani bila chenga kichwa chako kina chip implant sio ubongo wako huu..human being hawezi kuwa na mawazo haya ya kwako hata siku moja!
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini mkono wa Serikali katika suala hili la TL na kama vyombo vya Serikali vilihusika why risasi 30 na isiwe moja! Hii ni inside job ndo maana CDM wanamficha
Kukata mzizi wa fitna ni uchunguzi huru ambao serikali inauogopa kama ukoma,trying to deceive people with hoax blah blah won't work this time around. Kwa maoni yangu kama ni inside job serikali ingeshawaleta wachunguzi huru ili wahusika waumbuke. The guilty are always afraid so the saying goes.
 
CNN naBBC ndo vituo mama vya dunia vya utoaji wa habari..au na huko umeshikiliwa akili zako na lumumba usilitambue hili!??
Ha ha ha, wacha atunguliwe tena ili atokee kwenye hizo luninga. Huu ni upepo tu utapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…