Jibu hoja. Usiangalie mtu.Kukujibu Ben nikujidhalilisha! Huna hadhi hiyo!
Sijawahi kuona kilaza aliyesoma NSUMBA km nape, unatuaibisha sana. nimeaimini kuwa akili ya darasani ina mchango mkubwa sana uraiani.
Asante kwa kuendelea kuwa msemaji wa CHADEMA....sina mengi zaidi ila naomba ufikishe salamu zangu kwa dada Vicky Kamata.
Nape na ccm wamechanganikiwa na speed ya CHAMEDA hivyo hayo ayasemayo Nape ni maneno ya mfa maji haachi kutapatapa, kumbukeni ccm wali wahi kusema vyama vya upinzani ni vya kwenye briefcase sasa leo wanaona speed ya ajabu ya CDM chini ya viongozi makini na sera makini wameanza kuita chama cha harakati, VIVA CDMChadema si chama cha harakati bali ni chama cha siasa za kweli na kina cho aminika na ndio maana kila leo huwezi kuongea bila kukitaja, kama kingekuwa cha harakati tuu wala kisinge kukosesha usingizi namna hii
hivi jk alipo sema mmuache kutegemea polisi mbona hamkuacha hadi mkawatumia kufungua case ya kigaidi hadi mka mdharirisha DPP?
Hivi filikunjombe alipo sema kuwa wenzio waache kufanya kazi zako mbona hawajaacha hadi sasa kiasi kwamba una kosa cha kusema?
Pia mangula aliposema atapambana na mafisadi hadi leo yapo na wewe ulisema pia.
naona umejenga hoja bila kukurupukajenga hoja we gaidi acha kukulupuka
mtakao changia punguzeni mapovu na matusi mjenge hojakukujibu ben nikujidhalilisha! Huna hadhi hiyo!
This is too low kwa katibu mwenezi wa chama kikubwa tena kilichopo madarakani.
Yani nimejiskia aibu utadhani mimi ndo nimeandika hii thread.
Ben mbona unatokwa povu kijana?
Relax usije ukadondosha sumu iliyoko mfukoni.
Ushauri sio lazima uufuate ila angalieni msije mkamuuzi tajiri yenu mtalala njaa
-Una audacity ipi ya kutoa ushauri kwa CHADEMA wewe?
-Kama CHADEMA kitaathirika kwa namna yoyote kwa mujibu wa mtazamo ulioueleza si ndiyo utafurahi zaidi?Next time ukiandika hapa uwe unafanya hivyo kama msomi.
-Political state ya CHADEMA kama chama cha siasa unaweza vipi kuitofautisha na political activism?Unaweza vipi kui-distinguish kwa kutumia ITIKADI ya chama hiki?
-Next time usiwe unatutia aibu vijana wenzako kwa kuandika andika tu ilimradi uonekane active.
-Hizo siasa za kudhuru watu ni zipi.Ni jambo la ajabu kabisa badala ya kunadi itikadi na sera za chama chako wewe unanadi udaku na majungu.Ndiyo siasa mpya zilizoletwa na vijana huko kwenye chama chako?Usiharibu Taswira ya vijana wa taifa hili kwa uzembe na udhaifu unaouonyesha katika kuitumikia dhamana uliyopewa na chama chako
-Umeachana na mradi wa kuzunguka kumtukana yule waziri mkuu aliyejiuzulu sasa unajaribu kutafuta umaarufu wa bei rahisi kupitia CHADEMA.Najua mfumo wa majimbo ni kitanzi kwenu,mna kazi ngumu sana sana.Get prepared!