sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
Piliton yawezekana una chuki na cdm japo mie si mwana cdm.Hakuna sentesi ya kuiona cdm Haifa wakati wewe hujasema nini hasa kikufa nyacho ukione hakifai?.Siku nyingine uwe una a dika mawazo mema ili tutafakari kwa undani pamoja
Usione aibu kusema upo chadema. Ni chama chako, mbona unakikanaa..hahahaa yan sikuiz wtu wanaona hay hata kusem wao ni chadema.