Bungeni na sumu mtapiga kelele sanaa kakini chadema ni kipenzi cha wananchi...propaganda zenu zoote wananchi wamezipuuza....nyie pigieni ccm debe ila wananchi wamesema sasa baasi! Nawaonea huruma mnavyotumika kama condoms kwa malipo ya shs 7, 000 ambayo ukinunua mlo wa mchana hotelini inaisha mara moja.nyie ni wachumia tumbo mlioshindwa maisha.badala muungane na vijana wenzenu kupata viongozi makini ili kila Mwananchi anufaike na rasilimali tulizonazo nyie mnawa sapoti akina kinana wezi wa tembo na kikwete . Poleni sana maana mtakufa maskini huku akina kinana wakiwacheka.msitumike kama condoms.