Chadema mnako elekea ni kuzuri

Chadema mnako elekea ni kuzuri

sifa kubwa ya mfuasi wa chadema ni;

1. Kuvaa magwanda ya mgambo.

2. Kukunja uso huku unapiga kelele "popoooooooz bawaaaaa", hakuna kulala mpaka kieleweke, tulianza na mungu na tunamaliza na mungu.

sifa kubwa ya mpumbavu kama wewe ni kuw amramba viatu wa nnape na riz,alafu umeambiwaukiwa rafiki wa riz au nape ndio unatokamo?????
 
Kamanda naona umeamua kujifariji baada ya msongo wa mawazo.
 
ningekuona una akili kama ungeowaongelea magamba!
Sasa wee msukule ukiniona nina akili ndio itakuwaje.
Au unadhania na mimi napanga foleni ya viroba pale Togo kama wewe? waulize viongozi wako
 
Mimi ninachoogopa ni idadi kubwa ya vijana wataka commit suicide baada ya 2015 kwani ndio utakuwa mwisho wa ndoto

Na kwa jinsi hawa vijana walivyofanywa misukule, siwezi kushangaa kama wataacha wosia wazikwe na magwanda yao.
 
nimesharekebisha mkuu bungeni.

Hawa chadema ni watu wa ajabu sana, wanawakaririsha wafuasi wao maneno bila hata ya kuelewa maana yake. Sasa sijui huyo mungu anayewatuma wakafanye ugaidi, kuteka wananchi na kuwawekea watu sumu ni mungu gani!

Mungu wao atakuwa ni wa kuchora chini.

serikali yoyote uwekwa na mungu, je ni mungu yupi aliyemtuma kamuhanda kusimamia kuuwawa kwa mwangozi,ni mungu yupi aliyesimamia kutekwa kwa ulimboka na watu wa usalama,ni mungu yupi anayetoa nishani ya uongozi uliotukuka kwa igm na kova wakati watu wanalipuliwa na mabovu,polisi wao wanabambikiza watu na mafuvu ya marehemu, yaani hata akili kiduchu huna sasa si nujifie tu mshikaji
 
Nimesharekebisha mkuu bungeni.

Hawa CHADEMA ni watu wa ajabu sana, wanawakaririsha wafuasi wao maneno bila hata ya kuelewa maana yake. Sasa sijui huyo Mungu anayewatuma wakafanye ugaidi, kuteka wananchi na kuwawekea watu sumu ni Mungu gani!

Mungu wao atakuwa ni wa kuchora chini.



Sumu anajuwa ubaya wa ccm? soma hapa chini.

wakafanye ugaidi, kuteka wananchi

1. Gaid namba moja ni Ramadhani Ighondu aliyemtesa ulimboka yupo pale magogo analelewa na Mtukufu Kikwete bosi wa ccm

2. Gaid wa pili ni Kamuhanda aliamteketeza Daud mwangosi kulee Nyororo Iringa, kwa amri yake mwangosi aliteketezwa

3. Gaid namba tatu na mpanga ugaid ni Mwigulu Nchemba - ccm, Igunga, Usa river nk

4. Gaid namba nne ni ni ni ni .......ccm kupnga na kutesa wapinzani wao


kuwawekea watu sumu

Wanaowekea sumu wenzao ni ccm

1. Horace kolimba alipata kichapo cha sumu dodoma na kuishia

2. Mwakyembe mpaka leo inajuwa kilichomtokea

3. Profesa mwandonsya kamtafute umuulize vipi afya yake kwanini mgogoro

4.

5.

Kama hamfahamu historia ya chama chenu cha ccm basi mkaage kimya maana katika kutoa kwenu kommenti mnasababisha tukiweke wazi katika ubaya na matendo yake.
 
Naona vijana wa lumumba a.k.a buku 7 mnaumia sana mkiona thridi kama hizi,poleni sana na kazi.

CC:bungeni,sumu,ze marcopolo,ritz
 
Sumu anajuwa ubaya wa ccm? soma hapa chini.



1. Gaid namba moja ni Ramadhani Ighondu aliyemtesa ulimboka yupo pale magogo analelewa na Mtukufu Kikwete bosi wa ccm

2. Gaid wa pili ni Kamuhanda aliamteketeza Daud mwangosi kulee Nyororo Iringa, kwa amri yake mwangosi aliteketezwa

3. Gaid namba tatu na mpanga ugaid ni Mwigulu Nchemba - ccm, Igunga, Usa river nk

4. Gaid namba nne ni ni ni ni .......ccm kupnga na kutesa wapinzani wao




Wanaowekea sumu wenzao ni ccm

1. Horace kolimba alipata kichapo cha sumu dodoma na kuishia

2. Mwakyembe mpaka leo inajuwa kilichomtokea

3. Profesa mwandonsya kamtafute umuulize vipi afya yake kwanini mgogoro

4.

5.

Kama hamfahamu historia ya chama chenu cha ccm basi mkaage kimya maana katika kutoa kwenu kommenti mnasababisha tukiweke wazi katika ubaya na matendo yake.

Mkuu adolay, hizi habari zako ni habari za vijiweni.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu alikuwa anajaza nyomi kwenye mikutano kama mrema? Kama lipumba? Acha kuota ww. Hakuna mtanzania mjinga wa kuunga mkono magaidi
Nikuulize tu ilikuwa mwaka gani, na imepita miaka mingapi. Na tuko katika ditali ipi. Jidanganye na mambo ya miaka io. Kumbukumbu nzuri tu ni nani aliejua kuwa Gadafi atauwawa tena na wananchi wa nchi yake. Mawazo bdo hata kuchangia humu ufai bora ukae kimya
 
hizi habari zako ni habari za vijiweni.


1. Kwani mwangosi aliuliwa na nani vile? na aliyetoa amri serikali ya ccm chini ya kikwete imemchukulia hatua gani?

2. Kule Arusha Kamanda andengenye aliuwa watatu, je serikali ya ccm unaisikia kusema lolote? kama haisemi kitu lete mtazamo wako mkuu Sumu
 
Last edited by a moderator:
mkuu sumu, hebu rekebisha pale, ni popoooooozzzzz bawaaaaa sio pipoz powa... Halafu utaanzaje na mungu wakati unatembea na sumu mfukoni unataka kwenda kulisha watu? Huyo atakuwa mungu wa kuchora chini



unayoyasema yatakuhukumu na nafsi yako itakusuta tu kwa kuwa most of those supporting CCM wana maonvu yao wasioyataka kujulikana, ni kichaka cha mauaji, wizi wa kila kitu mpaka uhuru wa watu wa kuabudu, ni wachafuzi kuliko ibilisi na vichwa vyao vimejaa maangamizi na dhuluma. ambo wamesahonja hayo yote watakubaliana na mimi. kusingizia, kuhadaa watu, uongo na husda ni culture ya CCM popote. Hamna hata mmoja wa CCM atakataa hili kwa kua mbinu zote chafu na hadaa ndio utamaduni wao. wewe na sumu wako wajua fika CCM ndo kinara wa kusingizia chadema kwa maboi waliyoyafanya mkijua mtahadaa wanachi kini wananchi wa leo sio wa jana. mtajisumbua kwa kila kitu na kupandikiza vitu kini wananchi wameshajua tabia yenu na hata likitokea la kweli hawatawaamini tena kwa kuwa uongo kwenu ni uhai wa chama. nyio mnaopolute chadema kwa ujinga wa kufikiri kinyume na maumbile mtabaki na aibu zenu tu huku chadema kikipeta. yaani hamuoni mnatumia nguvu ya vyombo vya usalama, mahakama kuwaminya chadema kini wananchi hawajali wako pamoja na chadema?Anguko la CCM ni Neema kwa Tanzania na kizazi kijacho.Mmeshatafuna nchi vya kutosha ni bora muuondoke msje mkamaliza rasilimali za watanzania. mnawahusudu waarabu na wahindi mnasahau kizazi kijacho ndo maana mnahongwa mpaka nguo bila aibu.
 
1. Kwani mwangosi aliuliwa na nani vile? na aliyetoa amri serikali ya ccm chini ya kikwete imemchukulia hatua gani?

2. Kule Arusha Kamanda andengenye aliuwa watatu, je serikali ya ccm unaisikia kusema lolote? kama haisemi kitu lete mtazamo wako mkuu Sumu

Kusanya ushahidi uende mahakamani. Kwenye Dunia ya leo propaganda za namna hii hazina nafasi.

CHADEMA ni magaidi na kesi ipo mahakamani.
 
Kusanya ushahidi uende mahakamani. Kwenye Dunia ya leo propaganda za namna hii hazina nafasi.

CHADEMA ni magaidi na kesi ipo mahakamani.

Kamalize shule UDOM unashindwa kujitegemea kwa ajili ya kujoongo shule no wonder unashinda JF kujipatia vibook 7, maana hata hujui Jaji Kaduri amesema Gaidi ni DPP na serikali ya KIkwete
 
Kamalize shule UDOM unashindwa kujitegemea kwa ajili ya kujoongo shule no wonder unashinda JF kujipatia vibook 7, maana hata hujui Jaji Kaduri amesema Gaidi ni DPP na serikali ya KIkwete

:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange:
 
Dharau ndio zinawa coast CCM. na hiv hamjazoea shida mkitoka madarakani 2015 mtauza miili..CCM WILL FALL HARD LIKE A FAT BOY in 2015
 
Back
Top Bottom